Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,746
- 46,269
CHADEMA ni chama cha siasa mimi kama raia na uwezo wa kuhoji kama wewe unavyohoji matumizi ya serikali ya CCM, hakuna majungu hapo!Mnaishi kwa majungu ambayo hayajawahi kutukatisha tamaa hata siku moja. Ninyi mnaita propaganda kumbe majungu matupu!