Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
Nyoooo! Hapo ulipo hata ela ya kununulia andazi hunaninachangia 750,000/= sasa hivi.....
Nyoooo! Hapo ulipo hata ela ya kununulia andazi hunaninachangia 750,000/= sasa hivi.....
Wahuni akina sugu, et al wamepewa nafasi kutoa lugha za kihuni mbele ya kadamnasi, mbele ya watz. Ndio mana wengi wanaita chama hiki cha wasanii na waganga njaa. Kundi la walioshindwa..
Muwashauri hizo fedha wazipeleke kwenye madawatiMtaanzisha thread nyingi sana leo ..........
Lipumba amekacha
Mbowe ni kiongozi wa Kitaifa..
Tena leo kadhihirisha kuwa yeye ni teja kweliSugu teja.
Sugu teja.
Programu za CHADEMA ni za kitapeli,Hii Program inakwenda kukimaliza chama cja Magamba..
Naona unakalili maneno ya mtu aliyekimbia umandeTumekutana hapa kupeleka kilio kwa watanzania wenzetu , kuwa Mwenyezi Mungu ametupa kila sababu ya kujibadilisha taifa hili, Mungu haiku kusudio taifa hili liwe la kulia ila ni taifa la asili na Mazoea , tunapenda kuwaomba mambo mawili makubwa , umoja wetu katika UKAWA ni umoja ambao tunaamino ni mpango wa Mungu ......Mbowe
Porojo..unaiumbua chagadema kwa lugha zako hizi za kipuuziPole kwa kutojitambua, kojoa ukalale, hii ngoma ni ya wakubwa, watoto wenzio washalala
"Mzarau mwiba mguu huota tende".