Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,301
Wadau ninavideo inayoonyesha yaliyojiri Diamond Jubelee kuhusu Tamko la waislam lakini nashindwa ku-upload msaada please.....
Note*
Video hii itasaidia kusikia kwa masikio sababu zilizopelekea kutoka kwa tamko ili kubalance mnapotoa comments zenu.
Ndugu zanguni nimeshindwa ku upload video clip ya yaliyojiri kwenye tamko la masheikh kujibu tamko la maaskofu kutokana na ukubwa wa file. Nimeona niwaleteeni summary na mwenye kutaka kujua zaidi atafute CD zinauzwa nje ya misikiti mikubwa kama mtoro, kiblateni na mingineo ni vizuri kwa mkristo na mwislam afahamu kilichojiri kuliko kusikiliza fitna. Sisi ni wamoja badi tudumishe umoja wetu kwa maneno na sio unafiki!
Summary:
Kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005 CCM iliwaahidi waislam Mahakama ya kadhi na OIC. Waziri Benard Membe waziri wa mambo ya nje analihutubia bunge anasema "serikali imezuchunguza na imeona hakuna tataizo Tanzania kujiunga na OIC. Membe anaitwa na Polycap Membe anaambiwa njoo, Membe anaenda kwa Pengo walicho zungumza hakijulikani na alipotoka akarudi Dodoma akasema kama kuna jambo serikali halitaki kusikia basi ni OIC" Swali "msimamo wa serikali kutoitaka OIC ni wa Serikali au Pengo?"
Swali nani ana nguvu Serikali au Kanisa?"
Sikiliza, pengo kamwita Membe kamwambia njoo kiongozi wa dini amemwita kiongozi wa serikali kaitwa na kiongozi wa dini amekwenda viongozi wa kiislam kwa kujua nafasi yao wakaona sisi tumfate tusimwite wakaenda kwa membe wakaonana na PS wakamwambia Membe yupo? akasema yupo mwambie Masheikh wamekuja wanataka kuonana na wewe PS anarudi anawajibu hana nafasi ya kuonana na na Masheikh. Kiongozi wa kanisa akimwita kiongozi wa Serikali anaenda masheikh wakimfata hataki kuonana nao" Swali nchi hii nani ana nguvu? masheikh au kanisa?
Misamaha ya kodi.
Serikali imetaka kuopeleka mswada wa misamaha ya kodi Kanisa likachachamaa Srikali ilifuta mswada haikufuta mswada?"
Hatari ya pili ni ubaguzi wa kiuchumi.
Watz wote tunatoa kodi lakini sehemu kubwa ya pato la taifa linawanufaisha wakristo na taasisi zao zaidi kuliko waislam. Ubaguzi katika mambo ya uchumi.
Serikali kila siku inatuambia tunashukuru makanisa kwasababu yanasaidia serikali kuendesha huduma ya jamaii, mapadri na maaskofu tunawashukuru sana bila nyiyi hudama za jamii zingekuwa ngumu sana tunawashukuru kwa mashirika ya kiristo kwa kuisaidia serikali.
Swali hivi kweli Kanisa linaisadia serikali au serikali inaisadia kanisa? Inakuwaje? Serikali inakusanya kodi zikishakusanya wilayani haina hosp badala ya serikali kujenga hosp inachukua pesa inayapa kanisa kujenga hospital serikali yenyewe haijengi hospital hivi hapa nani kamsaidia nani?
Serikali katika kata hii haina shule badala ya kujenga inaipa kanisa pesa kujenga shule halafu baada ya kujenga Serikali inarudi kuishukuru kanisa yeye ndio anakusaidia wewe yaani yule uliempa mapesa ndio anakusaidia wewe sijui mnaelewa? hivi nani anamsaidia nani?
Kanisa inakuwa na uchumi wa aina tatu
1. Limepewa hela na serikali ikajenga kanisa
2. hosp ikijengwa vifaa vyote vya hosp havina kodi
3. Sio wanaotibiwa wanatibiwa bure (wanalipa)!
Nani anamsadia nani?
Shule:
Serikali katika bajeti yake lazma itenge pesa zitakazoenda kanisani kisa inaendesha shule. Serikali haijengi shule inategemea zinazojengwa na kanisa, mimi na wewe kama waislam tunakatwa kodi Serikali inaipa kanisa ili ijenge shule. zikishajenga shule kuna mfumo unaowazuia waislam wasizidi 10% kodi yetu inajenga shule waislam wanaambiwa wasizidi 10% kwa kodi yetu" Haya si maskhara madogo leo watoto wetu hawaendi shule lakini shule zinaendeshwa na kodi yetu. " mimi natoka mwanza sehemu kubwa ya mishahara ya hospital ya bugando inalipwa na serikali sehemu kubwa ya vivyaa vya hosp vimesamehewa kodi sehemu kubwa ya ukarabati wa hosp unasaidiwa na serikali na bado raia kujiandikisha tu ni 20,000 - 150,000 kujiandikisha tu baDO MAMBO MENGINE. oNA KANISA LINAVYOTENGENEZA PESA KWA KODI ZETU.
MoU
Mwaka 92' Kanisa limeitana na Serikali Wakatoliki wamemwita Josephat Lekulu askofu wa Arusha Serikali wakamwita Edward Lowasa na waprotestant wakamwita mwakilishi wao wakatengeneza makubaliano ya kugawana hela ya nchi....sheikh wa nchi hii hakutwa hata mmoja!!!!!Hawatuiti wanagawana kimyakimya Waislam hawamo.
Chini ya mfumo kristo, watajenga hiki kinafumuka kama uyoga wenzetu wanahela wenzao kutoka nje watawaletea zenu zikija magaidi hawa zimetoka uwarabuni kamata magaidi hawa! mnakaribia kukamuana mpaka uadui unazidi khaa sheikh jana elfu kumi na leo elfu kumi "posho"
Clip ni ndefu sana yameongelewa mengi sana ila hayo ni kwa uchache sana mwenye kuweza atafute CD mimi nimenunua jana baada ya sala ya ijumaa msikiti wa Vetenari.
Note*
Video hii itasaidia kusikia kwa masikio sababu zilizopelekea kutoka kwa tamko ili kubalance mnapotoa comments zenu.
Ndugu zanguni nimeshindwa ku upload video clip ya yaliyojiri kwenye tamko la masheikh kujibu tamko la maaskofu kutokana na ukubwa wa file. Nimeona niwaleteeni summary na mwenye kutaka kujua zaidi atafute CD zinauzwa nje ya misikiti mikubwa kama mtoro, kiblateni na mingineo ni vizuri kwa mkristo na mwislam afahamu kilichojiri kuliko kusikiliza fitna. Sisi ni wamoja badi tudumishe umoja wetu kwa maneno na sio unafiki!
Summary:
Kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005 CCM iliwaahidi waislam Mahakama ya kadhi na OIC. Waziri Benard Membe waziri wa mambo ya nje analihutubia bunge anasema "serikali imezuchunguza na imeona hakuna tataizo Tanzania kujiunga na OIC. Membe anaitwa na Polycap Membe anaambiwa njoo, Membe anaenda kwa Pengo walicho zungumza hakijulikani na alipotoka akarudi Dodoma akasema kama kuna jambo serikali halitaki kusikia basi ni OIC" Swali "msimamo wa serikali kutoitaka OIC ni wa Serikali au Pengo?"
Swali nani ana nguvu Serikali au Kanisa?"
Sikiliza, pengo kamwita Membe kamwambia njoo kiongozi wa dini amemwita kiongozi wa serikali kaitwa na kiongozi wa dini amekwenda viongozi wa kiislam kwa kujua nafasi yao wakaona sisi tumfate tusimwite wakaenda kwa membe wakaonana na PS wakamwambia Membe yupo? akasema yupo mwambie Masheikh wamekuja wanataka kuonana na wewe PS anarudi anawajibu hana nafasi ya kuonana na na Masheikh. Kiongozi wa kanisa akimwita kiongozi wa Serikali anaenda masheikh wakimfata hataki kuonana nao" Swali nchi hii nani ana nguvu? masheikh au kanisa?
Misamaha ya kodi.
Serikali imetaka kuopeleka mswada wa misamaha ya kodi Kanisa likachachamaa Srikali ilifuta mswada haikufuta mswada?"
Hatari ya pili ni ubaguzi wa kiuchumi.
Watz wote tunatoa kodi lakini sehemu kubwa ya pato la taifa linawanufaisha wakristo na taasisi zao zaidi kuliko waislam. Ubaguzi katika mambo ya uchumi.
Serikali kila siku inatuambia tunashukuru makanisa kwasababu yanasaidia serikali kuendesha huduma ya jamaii, mapadri na maaskofu tunawashukuru sana bila nyiyi hudama za jamii zingekuwa ngumu sana tunawashukuru kwa mashirika ya kiristo kwa kuisaidia serikali.
Swali hivi kweli Kanisa linaisadia serikali au serikali inaisadia kanisa? Inakuwaje? Serikali inakusanya kodi zikishakusanya wilayani haina hosp badala ya serikali kujenga hosp inachukua pesa inayapa kanisa kujenga hospital serikali yenyewe haijengi hospital hivi hapa nani kamsaidia nani?
Serikali katika kata hii haina shule badala ya kujenga inaipa kanisa pesa kujenga shule halafu baada ya kujenga Serikali inarudi kuishukuru kanisa yeye ndio anakusaidia wewe yaani yule uliempa mapesa ndio anakusaidia wewe sijui mnaelewa? hivi nani anamsaidia nani?
Kanisa inakuwa na uchumi wa aina tatu
1. Limepewa hela na serikali ikajenga kanisa
2. hosp ikijengwa vifaa vyote vya hosp havina kodi
3. Sio wanaotibiwa wanatibiwa bure (wanalipa)!
Nani anamsadia nani?
Shule:
Serikali katika bajeti yake lazma itenge pesa zitakazoenda kanisani kisa inaendesha shule. Serikali haijengi shule inategemea zinazojengwa na kanisa, mimi na wewe kama waislam tunakatwa kodi Serikali inaipa kanisa ili ijenge shule. zikishajenga shule kuna mfumo unaowazuia waislam wasizidi 10% kodi yetu inajenga shule waislam wanaambiwa wasizidi 10% kwa kodi yetu" Haya si maskhara madogo leo watoto wetu hawaendi shule lakini shule zinaendeshwa na kodi yetu. " mimi natoka mwanza sehemu kubwa ya mishahara ya hospital ya bugando inalipwa na serikali sehemu kubwa ya vivyaa vya hosp vimesamehewa kodi sehemu kubwa ya ukarabati wa hosp unasaidiwa na serikali na bado raia kujiandikisha tu ni 20,000 - 150,000 kujiandikisha tu baDO MAMBO MENGINE. oNA KANISA LINAVYOTENGENEZA PESA KWA KODI ZETU.
MoU
Mwaka 92' Kanisa limeitana na Serikali Wakatoliki wamemwita Josephat Lekulu askofu wa Arusha Serikali wakamwita Edward Lowasa na waprotestant wakamwita mwakilishi wao wakatengeneza makubaliano ya kugawana hela ya nchi....sheikh wa nchi hii hakutwa hata mmoja!!!!!Hawatuiti wanagawana kimyakimya Waislam hawamo.
Chini ya mfumo kristo, watajenga hiki kinafumuka kama uyoga wenzetu wanahela wenzao kutoka nje watawaletea zenu zikija magaidi hawa zimetoka uwarabuni kamata magaidi hawa! mnakaribia kukamuana mpaka uadui unazidi khaa sheikh jana elfu kumi na leo elfu kumi "posho"
Clip ni ndefu sana yameongelewa mengi sana ila hayo ni kwa uchache sana mwenye kuweza atafute CD mimi nimenunua jana baada ya sala ya ijumaa msikiti wa Vetenari.