Wakati anaongea huyu mama, mzee mmoja tuliekuwa tuna angalia naye TV alishindwa kabisa kuzuia hasira yake akasema" kama huyu angekuwa ni mke wangu ningekupa bure". Watu wakatia ayaaaaa!
prof. tibaijuka
.Wakati anaongea huyu mama, mzee mmoja tuliekuwa tuna angalia naye TV alishindwa kabisa kuzuia hasira yake akasema" kama huyu angekuwa ni mke wangu ningekupa bure". Watu wakatia ayaaaaa!
Wakati anaongea huyu mama, mzee mmoja tuliekuwa tuna angalia naye TV alishindwa kabisa kuzuia hasira yake akasema" kama huyu angekuwa ni mke wangu ningekupa bure". Watu wakatia ayaaaaa!
chezea havard product
Hahahahahaaaaa muda ni Mwamuzi Mwaminifu asiye na upendeleo, atatujulisha tu akifika. Si mnafiki huyu
Sijaona Kosa la LUSINDE katika mjadala wa ESCROW, aliongea kwa busara sana kuliko wakati wowote ule.
Ni wapi alipotukana?
Tunaomba yeyote mwenye fununu za waliobeba fedha za Escrow kwenye vikoba atujuze.
PAC walidanganya.Bilioni 73 zilitumwa kwa TISS kwenda kwa account ya RUgemalira MKombozi benki kama sehemu ya mauzo yake kwa PAP.Mkombozi wameshatoa statement juu ya hili.Hakuna cha viroba wala rumbesa ilikuwa ni kuboresha a lie
kama yale maneno yake yakejeli ndiyo busara yake basi kazi ipo.
Umesahau yule aliyejitambulisha kwa cheo cha Mwalimu, mwalimu gani mpuuzi vile? Anawehuka tu anarekebishwa bado anasingizia Wapinzani, yaani akili zake zote zinamtuma kuwa PAC ni kamati ya Upinzani, maskini alidhani PAC ni chama kipya cha upinzani haahahahahahaha tpaul sio mbunge wako kweli yule??