Sijui kinachowachelewesha huko motuary. Kuna chalii mmoja anayo ile bendera ya kwanza kabisa (ile ya Edwin mtei na bob makani) anapanda na kushuka hapa langoni akitroti, amekuwa kivutio cha nguvu
rip mashujaa wetu
annina
Polisi mmoja nilimuona moshi kapita kapanda mkokoteni kama kibaka anasema "wera wera, tupo pamoja"
Duh!!! Vituko haviishi
huu uwanjani hautatosha maana mpaka sasa uko full.. Na bado watu wanazi kumiminika..viongozi wa dini wameshafika pia mtei, rwakatale , wabunge wa arusha wamejipanga kupokea wageni
Siyo kwamba polisi wote wanaipenda ccm au serikali iliyopo, wengi huwa wanalazimishwa kufanya vitendo vya kidhalimu na kisha kupewe posho kidogo au kuahidiwa vyeo hewa