BY MJEDA ALIOPO FRONTLINE CHINI YA FIELD MARSHALL GWAJIMA
Mwambie wananchi wanataka kuona matokeo ya vitendo na aache tabia ya kutembea na huo mtandio wa bendera ya Taifa otherwise na yeye ataonekana kama wakina Kangi Lugora!!! So far so good let her be herself; aachane na mambo ya kuiga ya kuonesha uzalendo kwa mavazi, it is superficial and unimpressive!!