Nashangaa waliofurahi Dkt. Dorothy Gwajima kuondolewa Wizara ya Afya

Mayor Quimby

JF-Expert Member
Mar 13, 2021
2,716
5,752
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajilinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza mfananisha na Ummy Mwalimu kwenye section ya usimamizi wa sector ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya afya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
 
Mh,wewe utakuwa ni Doroth Gwajima Kama siyo Basi chawa wake!!
Katika wataalamu Tanzania huyo mtu sio poa kwenye afya and more; she is a genius.

Dorothy Gwajima ni mtaalamu ambae angeweza iboresha hiyo wizara basi tu. Kumuelewa inataka ujue misingi ya management ya wizara ya afya.

I remember some fool tried to lie to her whilst doing inventory auditing on medicines.

During the process not to be taken as an idiot the woman quoted ‘Schrödinger’s equation’ in auditing process when numbers dint add up.

To appreciate her sarcasm you ought to understand the auditing process, how she implied quantum physics and what she was trying to say (either way it tells you the woman has depth).

Yaani kabisa huyo mtu unaweza mfananisha na Ummy Mwalimu that is just beyond me.
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara ifya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa ata raisi, makamu au waziri mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu wizara ya afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah

Kwa nini wizara ya afya awe Gwajima tu? Kule bungeni kuna mabingwa wa afya kumzidi huyo Gwajima wako, sijui ni mama yako, dada yako au mke wako! Naona unahangaika naye sana hadi kiswahili chako ulichoandika humu ni hovyo sana! Gwajima si anayo wizara, shida ni nini hapa? Kama ni mtaalamu sana basi arudi hospitali akasimamie masuala ya wagonjwa na kuwatibu! Usilete pumba zako hapa!
 
Kwa nini wizara ya afya awe Gwajima tu? Kule bungeni kuna mabingwa wa afya kumzidi huyo Gwajima wako, sijui ni mama yako, dada yako au mke wako! Naona unahangaika naye sana hadi kiswahili chako ulichoandika humu ni hovyo sana! Gwajima si anayo wizara, shida ni nini hapa? Kama ni mtaalamu sana basi arudi hospitali akasimamie masuala ya wagonjwa na kuwatibu! Usilete pumba zako hapa!
Wazungu wana msemo wao ‘it all easy if you know it’

In your little pathetic head unafikiri kuongoza wizara ya afya kama uropokaji wa Ummy Mwalimu ambae anawafurahisha wajinga kama hawa chini 👇 kujiropkea

Hivi umeshaona post kama hizi za hawa wataalamu uchwara ambao wanajua robo ya physiocal conditioning and how the body is affected.

Achilia mbali management ya wizara ya afya ambayo ni very regulated, to troubleshoot inataka uelewa wa WHO policies and how the government has chosen to implement.

On top of that hata kwenye hospital tu kufikiia juu lazima uwe na managerial skills let alone kupanda wizarani.

That is to say mtu yeyote anaejaribu kumlinganisha Dr Gwajima na Ummy kwenye hiyo wizara ujue hilo jamaa ni thenge kweli.

Nachukia sana tabia za watanzania kuwachukulia wataalamu poa, wakati kuwatengeneza inachukua miaka halafu kuwavunjia heshima.

Nimekutukana matusi yote bila ya kuwapa urahisi wakunipa ban Yaani unaweza mfananisha Ummy na Dorothy ungekuwa karibu yangu ningekupiga kabali ya shingo.
 
Gwajima+Mollel=Rubbish

Ummy+Mollel=Rubbish

2019,2020 pigeni nyungu kuleni na malimao Corona haipo!!!

2021,2020 Jamani tuchanje Tanzania sio kisiwa hadi sasa tuna vifo 750!!!!
Ni kwa sababu uelewi succession planning hadi kufika nafasi ya ukuregenzi kwenye wizara yeyote.

Subiri bima ya afya ya lazima ndio akili zako zitakuwa sawa.
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara ifya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa ata raisi, makamu au waziri mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu wizara ya afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Kweli kiingereza ni janga
 
Usitulaumu sisi watanzania wa hspa chinangali wanyonge..

Ila TO BE HONEST SHIDA YA TZ ni WATANZANIA
Kabisa

Inarudi kwenye uelewa wa mambo.

Hakuna mtu mwenye akili timamu wa uelewa wa jinsi wizara ya afya inavyotakiwa kusimamiwa ataweza sema kuna mtu bora zaidi ya Dr Gwajima.

But then inataka uelewa wa medical knowledge and management policies to appreciate.
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara ifya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa ata raisi, makamu au waziri mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu wizara ya afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Ummy nadhani ana godfather kwenye system ila hana sifa ya uwaziri.
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara ifya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa ata raisi, makamu au waziri mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu wizara ya afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Kwani hivi sasa Dkt. Gwajima bado ni Waziri wa Afya? Watu ( Mamlaka ) ya DCEA tafadhali ongezeni bidii katika Kupambana na Matumizi ya Dawa za Kulevya ( hasa Bangi ) kwa Watanzania kwani hali inazidi kuwa mbaya kama ya huyu Mleta Mada ( Uzi )
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara ifya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa ata raisi, makamu au waziri mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu wizara ya afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Go hang, ungejua watu tulivyokuwa tumemchoka yule Koko sura ya kuku kienyeji na mdomo mchafu usingesema lolote!
Ummy bin Mama Korona hata sura na presentation yake inatufanya tunapata matumaini! Good riddance, Dorothy sura kama mume wake na Kipara akawasaidie watu wa kwao huko kwa wanyiramba!
 
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara ifya.

Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa ata raisi, makamu au waziri mkuu.

Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.

The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.

Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.

Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.

Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.

Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.

Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.

Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu wizara ya afya.

You people deserve what you get

Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.

I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Yule Kilaza Marope Junior na Nishati anajua hata Maana ya Umeme kwani ?
 
Katika wataalamu Tanzania huyo mtu sio poa kwenye afya and more; she is a genius.

Dorothy Gwajima ni mtaalamu ambae angeweza iboresha hiyo wizara basi tu. Kumuelewa inataka ujue misingi ya management ya wizara ya afya.

I remember some fool tried to lie to her whilst doing inventory auditing on medicines.

During the process not to be taken as an idiot the woman quoted ‘Schrödinger’s equation’ in auditing process when numbers dint add up.

To appreciate the joke you ought to understand the auditing process, how she implied quantum physics and what it she was trying to say (either way it tells you the woman has depth).

Yaani kabisa huyo mtu unaweza mfananisha na Ummy Mwalimu that is just beyond me.
Go hang! She is out and that's what matters. Kazi kuropoka ropoka tu! Nonsense
 
Katika wataalamu Tanzania huyo mtu sio poa kwenye afya and more; she is a genius.

Dorothy Gwajima ni mtaalamu ambae angeweza iboresha hiyo wizara basi tu. Kumuelewa inataka ujue misingi ya management ya wizara ya afya.

I remember some fool tried to lie to her whilst doing inventory auditing on medicines.

During the process not to be taken as an idiot the woman quoted ‘Schrödinger’s equation’ in auditing process when numbers dint add up.

To appreciate the joke you ought to understand the auditing process, how she implied quantum physics and what it she was trying to say (either way it tells you the woman has depth).

Yaani kabisa huyo mtu unaweza mfananisha na Ummy Mwalimu that is just beyond me.
Huyu huyu aliyekuwa ana advocate Kula Kachumbari kama Kinga dhidi ya COVID-19, Ndio Giniaz
 
Wazungu wana msemo wao ‘it all easy if you know it’

In your little pathetic head unafikiri kuongoza wizara ya afya kama uropokaji wa Ummy Mwalimu ambae anawafurahisha wajinga kama hawa chini kujiropkea



Hivi umeshaona post kama hizi za hawa wataalamu uchwara ambao wanajua robo ya physiocal conditioning and how the body is affected.

Achilia mbali management ya wizara ya afya ambayo ni very regulated, to troubleshoot inataka uelewa wa WHO policies and how the government has chosen to implement.

On top of that hata kwenye hospital tu kufikiia juu lazima uwe na managerial skills let alone kupanda wizarani.

That is to say mtu yeyote anaejaribu kumlinganisha Dr Gwajima na Ummy kwenye hiyo wizara ujue hilo jamaa ni thenge kweli.

Nachukia sana tabia za watanzania kuwachukulia wataalamu poa, wakati kuwatengeneza inachukua miaka halafu kuwavunjia heshima.

Nimekutukana matusi yote bila ya kuwapa urahisi wakunipa ban Yaani unaweza mfananisha Ummy na Dorothy ungekuwa karibu yangu ningekupiga kabali ya shingo.
Hapa Doroth Gwajima ana tofauti Gani Sasa na hao Wataalam Uchwara
1700456953.jpg
 
Back
Top Bottom