Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 2,716
- 5,752
Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.
Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.
Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.
The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.
Halafu kesho unajilinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.
Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.
Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza mfananisha na Ummy Mwalimu kwenye section ya usimamizi wa sector ya afya.
Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya afya kushinda Dorothy Gwajima.
Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.
Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.
You people deserve what you get
Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.
I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.
Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.
The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.
Halafu kesho unajilinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.
Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.
Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza mfananisha na Ummy Mwalimu kwenye section ya usimamizi wa sector ya afya.
Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya afya kushinda Dorothy Gwajima.
Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.
Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.
You people deserve what you get
Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.
I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah