Yaliyo nikuta kwenye daladala

Yaliyo nikuta kwenye daladala

Ingawa nilikuwa na hasira za kumpga hata kofi lakini niliamua nisijibu chochote hadi mwisho wa safari angu
Ukisikia hekima basi hii ndo hekima mkuu ulifanya jambo jema
 
Eeeeh serikali yetu tusikie waja wako.........muondoe dumping fee kila mtu amiliki gari.......

Kila mtu akimiliki gari na vibara bara vyetu hivi, hizo jam si itakuwa balaa??!! Stress zitahama toka kwa wapanda dala dala kwenda kwa wenye magari!
 
Huyo mwanamke alikupimia sana..usiwe mpole kupita kiasi watu watakuchezea sanaaa. Endana na mazingira.
 
Sipendi daladala iliyojaa,tangu nilipobanwa na mashangingi,wa Mbele yangu anasugua kwa makalio,UUME wangu kwa kusudi !
 
hongera mzee wa humu kumpa makavu live yule dada..(mzee keshasikia)
 
Pole sn hawa dada zetu wengi wao wanajiona wao ndyo kila kitu
 
isingekuwa Tanzania ningesema alikuwa Nyani Ngabu pengine ndio mwenyewe yuko likizo
 
Last edited by a moderator:
watu kuto tofauti mm mara nying nikiingiaga dala dala ilo jaa mfano mm nina siti utaskia dada njo nikupakate mm nikae na kweli so kaka jua watu wengune visilan tuu

Heee....huwa unapakatwa? tuone pic!!!
 
kuna 'kitu' ulimgusa nacho..._ umesema mikono haikumgusa, miguu iko chini, usawa wa kiti alichokalia ndo kuna 'kitu' kilimgusa. Halafu ukiwa kwenye daladala punguza kuangalia akiandikacho mtu kwa cm yake..
 
kijana mimi nilijitahidi kukutetea kwenye daladala halafu unakuja kunizalilisha huku MMU? kumbuka tulipofika Tip Top nilijaribu kukupunguzia hasira juu ya huyo binti, uzuri nimekushika sura nitakukamata tu na utajuta kukaa Dar es saalam.

Nisamehe kama ndo ww mm sikutaka kuficha kitu sababu mchango wako niliukubali sana sana
 
Back
Top Bottom