Yaliyo nikuta kwenye daladala

Yaliyo nikuta kwenye daladala

Last edited by a moderator:
daladala zina mambo sana.asante kwa kushare na sisi hilo jambo maana mzee huyo alimpa makavu dada duu aliyedhani atapewa support na wengine.akomeeee!!!
 
Yaan huyu aloleta haki sawa kakomesha kweli unamkuta dada anakutukana maneno mabaya wengine hatujui mineno bas ukimgusa tu utauza had kaptula,lenyewe lakwanza police na likifika huko bas mwanaume hatakama wewe nimwenye haki inakua mtihani da natamani kushuka na listor wacha tu kwakua bado lipo mahakaman, ila hawawatu wamepewa uhuru mno na vimaneno vya ku pest kwa MIGOMBA ni taab mtaani
 
Habari

Ipo hivi jana nilikuwa nimetoka zangu kinondoni narudi home kimara- suka nilipofika usalama nikaanza kutafuta daladala ya kwenda suka kama ww mwenyeji wa dar utakuwa unajua usafiri wa kwenda mbezi usiku unavosumbua sijazoea kugombania daladala lakini baada ya kukaa sa 1kituoni bila kupata gari ikabidi nikubaliane na hali halisi ya kugombania,ikaja daladala ambayo ilikuwa inaishia suka ndipo nilipo amua kuingia hvyo hvyo bila kujali.

Kiukweli tulikuwa tumebanana sana hakkuwa na namna sababu ilikuwa kama sa 2 usiku inaenda sa 3 nilisimama usawa wa kiti ambacho dada mmoja mweupe alikuwa kakaa hapo kwa jinsi tulivyo banana niliamua kugeukia kutazama dirisha sasa mkono mmoja ulipita juu ya kichwa cha yule dada na nikashika nguzo ya dirisha mkono wa kulia ukashika kiti kilicho kuwa mbele ya yule dada na hata gari ingedunda vipi nisingeweza kumgusa.

Nilizubaa mbele kumuangalia mzee mmoja ambae alikuwa na smartphone huawei kilicho fanya nizubae kuangalia ile simu ni kuwa yule mzee alikuwa kama wa miaka 55 hadi 60 hivi lakini nilishangaa kuona aki click JF application na kufika hadi kwenye jukwaa la MMU na kufungua.

Lakini nilishindwa kuona ni uzi gani aliufungua kwani nilishutuliwa na vibao viwili vya mkononi kutoka kwa yule dada na akanza kuongea we kaka vipi unataka kunitoboa macho utanizaa ukinifanya nikiwa kipofu alinifokea sana bila kuelewa kosa langu ni lipi na akanivyonza sana hata mama angu mzazi hajawahi nifokea vile abiria wote walishikwa na butwaa kuona yule dada alivyo kuwa akinifokea na kuongea maneno yasiyo na hekima nilipandwa sana na hasira nikashindwa kuongea hata sikumjibu kitu nilimwangalia usoni kama dakika 1 hivi nikajisema moyoni malipo ni hapa hapa duniani.

Ndipo abiria wakanza kumsema yule dada na kumuonya kuacha hiyo tabia

Yule mzee wa MMU alikuwa mstari wa mbele sana kumsema yule dada sijui anatumia ID gani humu ningemtaja lakini bila shaka huu uzi anausoma na atakuwa shahidi wa kile kilicho tokea na kuja kushuhudia hapa nilipenda san alivyo mpa makavu yule dada lengo langu lilikuwa ni kufika manzese nishuke kwa hasira nilizo kuwa nazo lakini sikushuka kwa jinsi abiria walivyo mshambulia yule dada akiwepo mzee wetu wa humi MMU nilimsikia akisema ndo maana yeye kamua kumuozesha binti yake kwa laki 2 kwasababu ya tabia za ajabu za akina dada walizo nazo na kuhofia isije siku wakachana afu akashindwa kurudisha mahali.

Mzee najua unanisikia please njoo uwe shahidi wa haya bahati mbaya kimara mwisho yule mzee alishuka.

Inaniuma sana kwa alichonifanyia yule dada sitamsahau leo hadi kesho kwanini anifanyie vile mm binadamu mwenzake,mimi nilimkosea nini kama alikuwa hataki kubanwa kwanini alipanda daladala ni kujiona au nini inaniuma sana nyie akina dada sijui nani ali walaani.

Eeeh Mungu baba msamehe kwani halijui alitendalo

Pole kwa kupigwa!
 
Habari

Ipo hivi jana nilikuwa nimetoka zangu kinondoni narudi home kimara- suka nilipofika usalama nikaanza kutafuta daladala ya kwenda suka kama ww mwenyeji wa dar utakuwa unajua usafiri wa kwenda mbezi usiku unavosumbua sijazoea kugombania daladala lakini baada ya kukaa sa 1kituoni bila kupata gari ikabidi nikubaliane na hali halisi ya kugombania,ikaja daladala ambayo ilikuwa inaishia suka ndipo nilipo amua kuingia hvyo hvyo bila kujali.

Kiukweli tulikuwa tumebanana sana hakkuwa na namna sababu ilikuwa kama sa 2 usiku inaenda sa 3 nilisimama usawa wa kiti ambacho dada mmoja mweupe alikuwa kakaa hapo kwa jinsi tulivyo banana niliamua kugeukia kutazama dirisha sasa mkono mmoja ulipita juu ya kichwa cha yule dada na nikashika nguzo ya dirisha mkono wa kulia ukashika kiti kilicho kuwa mbele ya yule dada na hata gari ingedunda vipi nisingeweza kumgusa.

Nilizubaa mbele kumuangalia mzee mmoja ambae alikuwa na smartphone huawei kilicho fanya nizubae kuangalia ile simu ni kuwa yule mzee alikuwa kama wa miaka 55 hadi 60 hivi lakini nilishangaa kuona aki click JF application na kufika hadi kwenye jukwaa la MMU na kufungua.

Lakini nilishindwa kuona ni uzi gani aliufungua kwani nilishutuliwa na vibao viwili vya mkononi kutoka kwa yule dada na akanza kuongea we kaka vipi unataka kunitoboa macho utanizaa ukinifanya nikiwa kipofu alinifokea sana bila kuelewa kosa langu ni lipi na akanivyonza sana hata mama angu mzazi hajawahi nifokea vile abiria wote walishikwa na butwaa kuona yule dada alivyo kuwa akinifokea na kuongea maneno yasiyo na hekima nilipandwa sana na hasira nikashindwa kuongea hata sikumjibu kitu nilimwangalia usoni kama dakika 1 hivi nikajisema moyoni malipo ni hapa hapa duniani.

Ndipo abiria wakanza kumsema yule dada na kumuonya kuacha hiyo tabia

Yule mzee wa MMU alikuwa mstari wa mbele sana kumsema yule dada sijui anatumia ID gani humu ningemtaja lakini bila shaka huu uzi anausoma na atakuwa shahidi wa kile kilicho tokea na kuja kushuhudia hapa nilipenda san alivyo mpa makavu yule dada lengo langu lilikuwa ni kufika manzese nishuke kwa hasira nilizo kuwa nazo lakini sikushuka kwa jinsi abiria walivyo mshambulia yule dada akiwepo mzee wetu wa humi MMU nilimsikia akisema ndo maana yeye kamua kumuozesha binti yake kwa laki 2 kwasababu ya tabia za ajabu za akina dada walizo nazo na kuhofia isije siku wakachana afu akashindwa kurudisha mahali.

Mzee najua unanisikia please njoo uwe shahidi wa haya bahati mbaya kimara mwisho yule mzee alishuka.

Inaniuma sana kwa alichonifanyia yule dada sitamsahau leo hadi kesho kwanini anifanyie vile mm binadamu mwenzake,mimi nilimkosea nini kama alikuwa hataki kubanwa kwanini alipanda daladala ni kujiona au nini inaniuma sana nyie akina dada sijui nani ali walaani.

Eeeh Mungu baba msamehe kwani halijui alitendalo



kwa kweli yule binti alinichefua sana kijana wangu ila kwa mashambulizi yale hakika hatarudia tena kokote aendako

pole sana kijana wangu ila nq wewe tabia yakuchungulia simu za watu sio tabia njema hata kidogo
 
Hahahaha ahsante kwa hili promo. Linanisaidia sana kule PM. Kuna mchuchu nshauambia ntaupeleka Nigeria kwenye show ya Davido.

Nadhani atakuwa Mtambuzi au KakaKiiza. Mijamaa ni mibazazi sijapata kuona.

Ha ha haaaa! Hapo umegusa ikulu..
^^
 
Last edited by a moderator:
hahahhahahahahhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa babu jamani

nakuja kuchukua gawio langu nawe walikupa zile za tegeta es........... ni hizo babu au?
Njoo basi nikugawiemu hutu tupensheni kabla hatujaisha!!! Si unajua nakuzimiaga wakati ule nikiwa bado hendisamu!!!
 
Waniita babu wataka kuninyima nini lkn ladyfurahia ? Sio escrow, Ni FAO la uzeeni tu. Mvi tu ndio zinaonesha uzee ila kwingine koote mimi ni kijana wa miaka 26.
hahahhahahahahhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa babu jamani

nakuja kuchukua gawio langu nawe walikupa zile za tegeta es........... ni hizo babu au?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom