Yaliyo nikuta kwenye daladala

Yaliyo nikuta kwenye daladala

hahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaa jamani umeniacha hoi kabisa

kwahyo unatafuta mtu wa kula nae hizo hela za FAO
basi tukutane leo pale serena hotel tukajivinjari
Waniita babu wataka kuninyima nini lkn ladyfurahia ? Sio escrow, Ni FAO la uzeeni tu. Mvi tu ndio zinaonesha uzee ila kwingine koote mimi ni kijana wa miaka 26.
 
Hahahaha ahsante kwa hili promo. Linanisaidia sana kule PM. Kuna mchuchu nshauambia ntaupeleka Nigeria kwenye show ya Davido.

Nadhani atakuwa Mtambuzi au KakaKiiza. Mijamaa ni mibazazi sijapata kuona.
Mkuu mzee ndege ya chini au umesahau ulitaka kutapika kwa speed!hii daladala hapana!
 
Back
Top Bottom