Yaliyo nikuta kwenye daladala

Yaliyo nikuta kwenye daladala

Mkuu hicho kilio akikitoa mwanaume haipendezi hata kidogo

Twende mtaa wa pili chapchap sana nikakupige mpaka uvimbe tumbo

Hako kamlio hakyamama najaribu kuimajini ukikatoa wakati naniliu inananiliu....

Hapo ushakuwa mzee i cant imagine ulivyokuwa kijana baru baru swagger zako zilikuwaje
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi hik hik hik hik hik hik
 
Eeeeh serikali yetu tusikie waja wako.........muondoe dumping fee kila mtu amiliki gari.......
 
Pole sana mkuu ina maana mkono wako ulikuwa sawa na msumeno au misumari?

Kuna baadhi ya wanawake hawana adabu kabisa! Umetumia busara ya hali ya juu kumuacha na kunyamaza! Huo ndio uanaume!
 
Pole sana. Ila mbna unakaa mbali hvyo? Hamia makumbusho au kijitonyama. Huko utakutana na mikasa kila siku. Maana mm rafiki yangu aliamua kumkunja dada mmoja na kumpa vibao kabisa.
 
Ha ha ha! Nimecheka sana hiyo method. Changing of Liability into an asset! Mgosi mbinu hizo wanazo wachache sana na hawa vijana wa siku hizi ndio hawana kabisa.

Ni kweli Mpwa yaani wakati wengine wanaona opportunities wao wanaona problems na hili liko kila mahali aiseee. nakuhakikishia ningekuwa mimi huyo angekuwa wangu tu tena at zero cost
 
Tena haswa ile ya zaidi ya miaka 10 ndio maumivu makali.

Na wote tuseme amen..........
Kuna gari za $550 + ushuru sawa na bei........kila mtanzania ataonja pepo ujue........
 
Pengine "kikwapa" kilifoka, u can't know, dsm joto
 
Bora hata hvyo ningekuwa navyo sikuwa navyo au ningekuwa nimemnyoshea vidole lakini hata


Pole watu wapi kimwili tu akili zao zipo mbaaali sana! Pia hujaibiwa maana watu wajanja sana anakukoromea ukiwa washangaa kumbe pana mtu anakwibia hapo haha!
 
Hiyo si name calling, ni id mention. Which is allowed.


.....duh, wewe utakuwa bushloya tu hakuna kingine, umenifurahisha kwa kuhalalisha makosa, unafaa kuwa Mzee wa baraza
 
Back
Top Bottom