Mkuu kwani mguu unaanzia wapi na kuishia wapi? Wewe ulitaka apige picha akiwa uchi ili uone hayo makovu? Kama una hamu sana ya kuona makovu ya risasi kwa Lissu, Nairobi sio mbali nenda kamwone na ukifika sema unaomba kuona makovu ya risasi. Kama huna nauli omba msaada utachangiwa. Hii mada ungesubiri kidogo mwaka uanze kukomaa kuliko kuileta mapema namna hii.