KabisaNadhani anakosa washauri wenye akili na busara.
Yeye anavyowachosha wenziwe hapo magogoni? Hadi dawasco mchezo ehhhwalete tu majina matatu mama yetu wamemchosha sana watamfanya awe na shinikizo bure
Wote wanabububjikwa na machozi ya machungu na shidakwani akina mwashambwa, chiembe, choicevariable wanasemaje?
Hata 5 hatoboiTukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
Hii mbona iko wazi kabisa ndo maana alijipitisha chap kwa fastaa😂Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
Waliompandisha pale wanaweza kumshusha pia acha kibri mkuu hujui duniaDamu mwatoka nyie. Mama tupo naye mpaka 30 hakuna kenge wakuzuia
Wataanguka Kwa Pressurekwani akina mwashambwa, chiembe, choicevariable wanasemaje?
Shida yetu sisi ni kutokumuona huyo chiba na kikundi cha mashoga wenzie wakiingia ikulu hilo tu basi. Hayo mengine yote ni sherehe kwetu.Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
Hivi atakubali kutoka nje?Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
😂😂😂😂Hata mawili tu, na la baba levo....
Baba levo anachukua
Hili walikwisha liona kitambo, ndio wakaja na uhuni ule.Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
Huu muhula ni wa Hayati Magu unaisha, yy kasaidia kuvusha kama mwenza wake;kwanini wapeleke matatu mkuu wakati mwenyekiti wao anaenda kupambani muhula wake wa pili
katiba ya tanzania ibara ya 40 --- inasema kapiga muhula moja mmojaHuu muhula ni wa Hayati Magu unaisha, yy kasaidia kuvusha kama mwenza wake;
sasa Muhula wake wa pili kivipi?
kataa wahuni
😂😂😂😂Hata mawili tu, na la baba levo....
Baba levo anachukua