Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 7,592
- 23,209
Huu mchakato si tulishaumaliza? au!
HAWA NI VILAZA TU........SYSTEM ZINAWABEBAMfano Dk.Kasheku na Kibajaji.
Hii haipo. Labda aseme yeye basi.Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
Mbona tayari Sukari immowalete tu majina matatu mama yetu wamemchosha sana watamfanya awe na shinikizo bure
Bashiru Ally kakurwa aongezewe ulinzi!!Majina yapo tayari, Ni muda tuu utaelewa
kwanini wapeleke matatu mkuu wakati mwenyekiti wao anaenda kupambani muhula wake wa piliTukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
We nawe!chama kilianza 1977 hata jk hajawa mwenyekiti kitakufaje!!?ukiona ccm inakufa ujue imeamua ijiue yenyewe!!Anaweza akatoboa!! Tatizo pale juu hakuna wenye hekima! Kuna wahuni!
Hii ni mara ya tatu JK chama kinataka kumfia mikononi mwake
Katiba, Katiba, KATIBA YAOkwanini wapeleke matatu mkuu wakati mwenyekiti wao anaenda kupambani muhula wake wa pili
Tatizo Mkwere.Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
Mkuu akichaguliwa rais anakuwa wa wananchi wote wa Tanganyika hivyo sote tuna maslahi.We ni kichaa wa siku zote, hayo majina yapeleke wewe. We nyumbu mmeshakimbia uchaguzi tulizeni makalio nyie mapoyoyo mambo ya CCM waachieni wenyewe, CCM ina wenyewe, Polepole ni garasa tu lililookotwa na Magu
katiba yao imefanya nini kwani? term ya pili ya Magu majina matatu yalikua nani na nani kwani?Katiba, Katiba, KATIBA YAO
hii haiwezi kuwa kweliHata mawili tu, na la baba levo....
Baba levo anachukua
Anatakiwa kukaa pembeni na awekwe kizuizini kama Aboud jumbeTukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
Unavijua vimemo wewe?Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
Unachekesha kweli!!! Kwani vilivyokufa vimekufanye? Katafute nchi nyingine uone jinsi vyama vyao tawala vilivyopotea kwenye ulingo wa kisiasa!We nawe!chama kilianza 1977 hata jk hajawa mwenyekiti kitakufaje!!?ukiona ccm inakufa ujue imeamua ijiue yenyewe!!
Hayo ndiyo majina yanayotakiwa.kwani akina mwashambwa, chiembe, choicevariable wanasemaje?
Tiss za hiyo nchi waliamua kuviua hivyo vyama!pale ambapo viongozi wenye dhamana wanaposhindwa kufuata maelekezo ya wenye dola!Unachekesha kweli!!! Kwani vilivyokufa vimekufanye? Katafute nchi nyingine uone jinsi vyama vyao tawala vilivyopotea kwenye ulingo wa kisiasa!
Hizo Ndo Siasa Za Maji TakaTukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.
Muendelee kuwa na siku njema.
Fara.We ni kichaa wa siku zote, hayo majina yapeleke wewe. We nyumbu mmeshakimbia uchaguzi tulizeni makalio nyie mapoyoyo mambo ya CCM waachieni wenyewe, CCM ina wenyewe, Polepole ni garasa tu lililookotwa na Magu