Yakienda majina matatu, hatoboi

Yakienda majina matatu, hatoboi

Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.

Muendelee kuwa na siku njema.
Na ndiyo maana kile kizee cha msoger kilivuruga ili kumuokoa mtu wake.
 
Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.

Muendelee kuwa na siku njema.
Yaende wapi

Nyie subirini 2030… si mmesusia uchaguzi?
 
Hawezi toboa. Maana majina yataenda kwa kambi ya wazee wa chama pia.
 
Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.

Muendelee kuwa na siku njema.
CCM inahitaji Reforms na hii nchi inahitaji Reforms. Sio kwamba Mama Samia ni mbaya kihivyo. Tatizo ni kuwa tupo kwenye nyakati za mabadiliko hivyo hakuna namna propaganda zitawaokoa. Tanzania mpya yenye Haki inakuja.
 
walete tu majina matatu mama yetu wamemchosha sana watamfanya awe na shinikizo bure
najua uko karibu naye. mwambie hana kibali kwa Mungu na kwa wanadamu. Amekosa kibali ndiko shida iliko. Miaka yote amekaa kwenye uongozi wa juu kabisa wa nchi si inamtosha? Mwambieni aachie kiti kwa heshima vinginevyo ata ...
 

Attachments

  • 6140200-c1237cb95965dfa9a8f58e3ede80933.mp4
    1.4 MB
Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri.

Muendelee kuwa na siku njema.
Mimi nashauri walio karibu yake wamwambie kuwa muda wake umeisha, anafaa kwenda kupumzika kwa heshima. Asisubiri kuchokwa.
 
We ni kichaa wa siku zote, hayo majina yapeleke wewe. We nyumbu mmeshakimbia uchaguzi tulizeni makalio nyie mapoyoyo mambo ya CCM waachieni wenyewe, CCM ina wenyewe, Polepole ni garasa tu lililookotwa na Magu
Popoma la siku is who you are.
 
Back
Top Bottom