Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,633
- 5,606
Sijui nani aliwaita waamini 'kondoo' nadhani tatizo lilianzia hapa! Kondoo wanafatafata bila akili
Mwalimu umeniacha hapo, are they taking USA dollars 500 million per annum?
Another issue ambayo mie naweza nika kubaliana na huyu Meneja Mzalendo wa Barrick, hizi kampuni zina transparency ya hali ya juu sina. Halafu lazima zi-pass investor assessment kuhusu mambo yote katika good governance, transparency, worker's benefits, na community development.
Ila tu kuna vipi ambavyo huwa havisemwi, hizi deal kuzipata vile vile kuna zile ten percent ambazo huenda kwenye secret accounts, maybe hii mikataba hupindwa wakati huu. Unajua board of directors sometimes lazima wachukue risk kupata deal ili wawafurahishe shareholders. Do you get me? It is survival kwa directors.
But the big questions comes on the side of our non charistmatic government officials when they accept such clauses in contracts!!
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa...
Naomba kueleweshwa kuwa ni vigezo vipi mtu anatumia kujiita Nabii na Mtume kwa pamoja? Au huwa ni wanaitwa na waumini?
Nilisoma divinity na nilivyofundishwa ni kuwa sifa ya Nabii ni kwamba lazima awe na uwezo kuforetell n foresee yaani aweze kuona na kusema mambo yajayo...Je na hawa wa sikuhizi na walio wengi hivi wanaweza kufanya hayo?
Does the Bible says "YE SHALL RAISE THE DEAD"? Yes, it does.Naona kuna members humu ni wanachama waaminifu au ni wafaidikaji wa hawa manabii na mitume ndio maana tunapishana lugha! Kukariri vifungu vya Biblia na kuvitafsiri kwa uhalisia wake ni vitu viwili tofauti
Naona kuna members humu ni wanachama waaminifu au ni wafaidikaji wa hawa manabii na mitume ndio maana tunapishana lugha! Kukariri vifungu vya Biblia na kuvitafsiri kwa uhalisia wake ni vitu viwili tofauti
Mi nisichanie chochote lakina yaweza kua uko mbali na WOKOVU
TanzaniaLaw naomba nikujibu kwa mara ya tatu kwamba sipingani na kifungu chochote ndani ya Biblia bali napingana na mafundisho yatolewayo na hawa manabii na mitume! Tafadhali jaribu kunielewa katika hilo na vema ukaweka interest zako katika hiliDoes the Bible says "YE SHALL RAISE THE DEAD"? Yes, it does.
Here is the proof from the infallible word of God. Matthew 10:8 Heal the sick, cleanse the lepers, raise the dead, cast out devils: freely ye have received, freely give.
Vile vile nemulo unabii hujipi mwenyewe bali hutokea kwa uweza wake Mungu! Hawa wetu hawa wa siku hizi ni changa la macho na mawakala wakubwa wa ibilisi kuanzia ibada zao mpaka matendo yao! Neno linasema hivi 'BALI MTAWATAMBUA KWA MATENDO YAO'
Sasa hivi ni mwendo wa kurudisha nguvu za Kiume, kutafuta Mume/Kuolewa, utajiri, kusafisha nyota.....Hawana tofauti na waganga a kienyeji..
Ukisoma biblia utagundua mtoa mada ni mshamba wa kiroho....... Yesu aliagiza kufufua wafu na ingekua ni usanii tungejua..... Stop cheating us
Ukisoma biblia utagundua mtoa mada ni mshamba wa kiroho....... Yesu aliagiza kufufua wafu na ingekua ni usanii tungejua..... Stop cheating us
Hapana sijadanganya mtu na sijamlazimisha mtu kuamini lolote haya ni maoni yako! Hii kitu inayoitwa ushamba wa kiroho ndio naisikia kwako lakini hebu nijibu haya maswali machache
1: je Yesu aliruhusu kutoza ujira kwa kumsaidia mtu tatizo lake?
2: Je Yesu baada ya kutenda miujiza alijitangaza na kujisifu?
3: Je Yesu aliishi maisha machafu yaliyojaa starehe ma mambo ya kidunia?
4: Je Yesu alikuwa na kashfa mbali mbali kama walizo nazo manabii na mitume wa leo?
5: Je Yesu alijilimbikizia Mali na kuwaacha maskini wakiteseka?
Nijibu hayo machache tuu! Umejibu bila kutafakari narudia kusema tena SIPINGANI NA Mafundisho ya BIBLIA bali mafundisho ya hawa manabii na mitume wa Leo! Kama huu ndio ushamba wa kiroho basi sipo pekeyangu
Kijana Mpole ingekua enzi za Yesu ungeitwa Kijana Mpumbava tena na Yesu mwenyewe. Mtoa mada sio mshamba wa Kiroho kwasababu pia Biblia imeandikwa na Imetabiriwa kua Kutakua na manabii wa uongo tena tumeonywa tujihadhari nao (labda kama hivyo vifungu hujawahi visikia maana ungekua unasoma usinge andika hayo uloandika). Na mtoa mada anawaongelea hao manabii wa uongo. Sibishi kua Yesu aliagiza kufufua ila hao wafufuaji ni feki!!!! Kama ni wafufuaji kweli siku waende Muhimbili Mochwari wakachukue maiti moja waifufue hapo nitaamini ila sitalishama dhehebu langu.
Kufufua ni karama na sio kila mtu anayo, kama ilivyo kwenye kuombea sio kila mtu anakarama ya kuponya wagonjwa etc.
Sijui kama umenielewa (Ukiendelea kubisha nitarudi tu argue kwa vifungu).....Stop being fooled.
Kaka Mshana....kwa kweli kama ndo hivyo washamba wa kiroho tupo wengi aiseee. Hawa waumini hua wanakuaga wabishi kweli na full kupindisha Biblia...hawaambiwi wala hawaoni. Ntarudi kesho na Vifungu. Kio Chedi.