Yahusu: Majini mahaba...

Yahusu: Majini mahaba...

hahahaaaa!! pole sana...! afu haya madude yakisemwa sana ndio yanakuja!

sasa kama na yenyewe ni roho, that means yako everywhere, hata hapo ulipo yapo,

nadhani sasa muda ufike yaanze kupewa uraia! lol.

whaat! Usintishe bana!! Khaa ! Wapewe nini? Mi stak hata kuyajadili !!
 
Dawa kali na yenye NGUVU ya ma Djinnn na Ma shetani yoooote hayo sio nyingine ni YESU KRISTO
Yaani uki sema "In the name of the LORD JESUS CHRIST, Get away demon!!!!"
Ungeweza kuona jinsi linavyoondoka kwa mwendo wa Rocket.
8) 8) 8) 8) 8( 8) 8)
 
Dawa kali na yenye NGUVU ya ma Djinnn na Ma shetani yoooote hayo sio nyingine ni YESU KRISTO
Yaani uki sema "In the name of the LORD JESUS CHRIST, Get away demon!!!!"
Ungeweza kuona jinsi linavyoondoka kwa mwendo wa Rocket.
8) 8) 8) 8) 8( 8) 8)
mkuu leo nimesikiliza kipindi cha njia panda, clouds fm, jamaa alikuwa anazungumzia kuhusu majini na jinsi alivyokutana na lucifer, jamaa kaelezea eti kule ujijini alikoenda, ei majini sio mabaya kama yanavyokuwa huku juu kwetu! sura na mwili kadai eti ni kama mwanadamu, yani sisi tulivyo! hmm!

Alipomfikia lucifer, hmm! aisee its untold, jamaa kadai eti he is suraless! that means anabadilika badilika kila sekunde, mara mzungu, mchina, mwafrika, nk!

hawa jamaa wanaodai kwenda kuzimu sijui huwa wanasema kweli ama wanatunga? bado sijaamini kweli kuna mtu kakutana na lucifer eye to eye..
 
aisee.. pole sana dada.. tuzidi kumuomba Mwenyezi Mungu atuepushie mbali.

nimenyetishiwa kwamba hawa viumbe wamejaa zaidi huku pwani na mikoa yake...!!

sasa sijui hawa wenyeji wanaishi vipi nao?

Asante kakaangu... ni kwa neema tu na rehema tunaishi ila katika upande wa ulimwengu wa roho kunatisha aisee!!!
 
mkuu leo nimesikiliza kipindi cha njia panda, clouds fm, jamaa alikuwa anazungumzia kuhusu majini na jinsi alivyokutana na lucifer, jamaa kaelezea eti kule ujijini alikoenda, ei majini sio mabaya kama yanavyokuwa huku juu kwetu! sura na mwili kadai eti ni kama mwanadamu, yani sisi tulivyo! hmm!

Alipomfikia lucifer, hmm! aisee its untold, jamaa kadai eti he is suraless! that means anabadilika badilika kila sekunde, mara mzungu, mchina, mwafrika, nk!

hawa jamaa wanaodai kwenda kuzimu sijui huwa wanasema kweli ama wanatunga? bado sijaamini kweli kuna mtu kakutana na lucifer eye to eye..

Hivi hiko kipindi hakina marudio!??
 
Majini ni viumbe kama walivyo wanadamu, kati ya hao majini kuna wachamungu na kuna wale wasiomcha Mungu kama unavyoona wanadamu kuna wanao sali na wengine ndo hawanaga habari.
Majini ambao hwanaga habari na Mungu ndo wanaitwa mashetani ambao ndo miongoni mwa wanaowadhuru wanadamu na hawa majini mahaba

Majini yana matamanio kama wanadamu na yanazaliana pia na kuba pia, Majini yana uwezo wa kupita ktk ukuta wa nyumba kama hamna kitu vile yaan kama umelala ovyo ndani anakuona. Majini mahaba huvutiwa na watu wasionaga na habari na Mungu kama wazinifu kwan wao hizo ndo tabia zao. Pia kwa watu ambao mara nyingi hupenda kukaa sehemu iliyotulia peke yake kwa mda mrefu basi utampata mwenzio. Majini wapo wengi yaani wana shape tofauti ila wanauwezo wa kujibadilisha kuwa vitu tofauti tofauti
Jini ana uwezo wa kuishi hata katika kucha poleni mnaopenda kufuga kucha. Mashetani kukaa pia sehemu chafu kama chooni na majalalani. AKIKUPA JINI MAHABA ANA UWEZO WA KUKUFANYA WEWE UNA MUONA WENZIO HAWA MUONI. YAANI MANKUA KAMA MKE NA MUME TENA na hatopenda asogee mwengine kwan bond ime balance
 
ILA kutokana na Qur'an malaika na majini ni vitu viwili tofauti vyenye asili tofauti. Majini yana matamanio kama wanadamu, wanakula na kuzaliana pia ila malaika hawana matamania, hawali wala hawazaliani. Iblisi alikua miongoni mwa viumbe vitakatifu lakini hakuwa miongoni mwa malaika ila ni miongoni mwa majini kwan anasifa za majini ikiwemo material aliyotengenezewa iblisi ni sawa na ya majini.
Jini mahaba au kiumbe chochote kiitwacho jini ni malaika walio muasi mwenyezi Mungu Isaya 14:12 pia soma waefeso 6:10-14 Mara nyingi huja kwa wanadamu kwa sura ya kibinadamu maana uwezo walio pewa Mungu hakuunyang'anya aliwaachia.
Tuba
Ni kumpokea YESU Kristo kuwa bwana na mwokozi wa maisha yako ndio suluhisho la matatizo hesabu 23:23 hakuna uchawi katika Israel wala uganga katika yakobo. Maana yake kwa wanao mwamini Mungu hakuna uchawi wala nguvu yeyote ya Giza itakayo pambana nawe. Soma yohana 14:1-6
 
Jesus Christ!

hivi ni nani aliyeyapa ruhusa majini kuvaa mwili wa mwanadamu?

mkuu nimestushwa sana hii habari! inakuwaje majini yanunuliwe e-bay? naomba ufafanuzi tafadhali!
swali la nyongeza:
inamaana wanafanyiwa shipping kama bidhaa nyingine?
 
Mkuu si majini yote yataenda motoni, kuna tofauti kati ya majini na mashetani. mashetani ni maovu
nimekutana na hii katika pita pita hapa jf...

credit to mama porojo wa hapa hapa mjengoni....

Majini au mapepo ni viumbe ambavyo havionekani kwa macho, ni viumbe kama malaika isipokuwa majini na mapepo yalifukuzwa mbinguni pamoja na shetani baada ya kuasi, na yalitupwa duniani yakisubiri siku ya mwisho ya hukumu.

Shetani na majini, wanajua kabisa kuwa jehanum ya moto ipo kwa ajili yao, ndiyo maana wanafanya kila mbinu wasiingie peke yao huko jehanum, shetani ni mwongo, laghai anawatumia sana wachawi, waganga wa kienyeji, wasoma nyota kupandikiza majini, kuiba nyota yako ya mafanikio, kuchukua watu misukule nk.

Kuna aina nyingi za majini baadhi yake ni kama:-

1) Murafari - hili ni jini linalozuia mafanikio ya kupata fedha, mafanikio ya elimu nk.
2) Latifu - hili jini linaloleta ufukara, mateso, hata ukipata pesa matumizi yake yanakuwa ni hovyo
3) Jahari - Jini anayetumiwa kuiba mali na kuzuia biashara kustawi
4) Hasinani - jini hili ni la fujo, ulevi wa pombe, bangi na dawa za kulevya
5) Jube - jini hili linasababisha utasa
6) Subiani - jini la ajali, linasababisha wanawake kutokupata siku zao, na kunyonya damu za akina mama siku zao za hedhi ambapo wanapata maumivu makali sana.
7) Sumil - jini hili huangamiza mimba changa
8) Waidadat - jini hili husababisha wanaume kuvaa hereni kusuka nywele na kutoga masikio.
9) Alibadiri - jini la kifo, likikupata kifo hutokea wakati wowote.
10) Anzura - Linawazuia vijana wa kike na kiume kuolewa/kuoa
11) Maimuna - linawakamata wanaume wenye ndoa zao hadi ndoa inavunjika
12) Makata - linasababisha vifo vya mfululizo kwenye familia
13) Faziur - jini la maandishi. Unaletewa barua ukiisoma tayari umelikwaa
14)Subha - jini hili linasababisha mtu kuwa na kiburi sana na kujiinua.
15) Maulan - jini linalofanya watu kuwa kichaa, au mtu ananuka wakati wowote
16) Al-maul - jini hili linamfanya mtu kuwa ombaomba
17) Zuhura au Zohari - Jini la fujo
18) Araba - Jini hili linafanya mtu apende sana ubani
19) Farkh - jini hili linatumwa hasa kwa wakristo kuangalia kama ana kinga (Wokovu)
20) Baradi - jini hili likikupata basi ndoa yako ni lazima itavunjika.
21) Shamsu - jini hili huvaa umbile la binadamu kwa sura yoyote.(sasa hivi mitaani majini haya yapo mengi sana)
22) Abuni - jini wa hasira
23) Kaimu - jini la kutambua nyota za watu
24) Tajuruni - jini la utajiri wa kichawi - ni lazima utoe kafara ya mwanao, mkeo au kufanya tendo la ndoa na mama yako mzazi
25) Al-taliki - jini hili linapoteza watu katika mazingira ya kutatanisha
26) Naluju - linasimamia lugha
27) Janatusi - linatumwa alfajiri kabla ya adhana kuleta usingizi kwa Wakristo wasifanye sala
28) Riyaron - jini hili linamfanya mtu afanye kila kazi peke yake
29) Zaitun - Jini hili linasababisha wasichana kuwa na maringo
30) Ruyati - jini linalosimamia ndoto mbaya
31) Al-rahabu - jini linalosababisha hitilafu ya umeme
32) Hadharaji - jini hili linafanya kazi ya kukata kichwa cha mtu ili wapate damu
33) Anazihaji - jini hili ndilo linachukua roho yako ukifa kwenye dhambi
34) Nghruk - linasababisha maafa
35)Munkara - jini la makaburini
36) Takadhuru - jini linaloleta mali za masharti.
37) Rabindi - jini la Waislamu pekee yao ili wafanye fujo.
38) Balishebe - jini la magonjwa yasiyopona
39) Sajiduri - jini linalokusaidia kupata pesa, kisha zinapotea kwa haraka
40) Rumiran - linasimamia uwongo
41) Lairlihabi - linasimamia hofu, kutojiamini na kukata tamaa
42) Rohani - jini la mateso na fujo
43) Betrah - jini hili linasimamia mapambo, kwa mwanamke huwa anajipamba isivyo kawaida, halikadhalika mwanaume
44)Hanshari - linatumiwa sana na waarabu kulinda maduka yao
45) Walihuni - linazunguka nyumba likilinda biashara
46) Kurasih - jini la kupoteza fahamu
47) Tarik - huondoa amani nyumbani, kazini. Linafanya watu wasielewane
48) Atha - mungu wa kiarabu wa kuabudu sanamu
49) Munakir - linapoteza watu kimiujiza
50) Malik - jini la kumiliki biashara
51) Ghatabu - jini la kulainisha macho wa wanawake. Wanakuwa wanarembua
52) Khatuh - jini la uchawi wa kuchukua kucha, nywele na nguo za ndani
53) Fanken - jini hili linasimamia mtu kuzunguza kiswahili cha pwani
54) Zamzam - jini la marashi na kusimamia mikataba ya imani. Mkristo anaposilimishwa basi hutupiwa jini hili kupofushwa akili yake.
55) Mukitala - linatumwa kuangalia kinga za watu
56) Laufili - jini la uvivu
57) Al-khah - linakula damu iliyoganda
58 Abasaa - jini la hasira wivu na jeuri
59) Aherumi - jini la homa za mara kwa mara
60) Muba - jini la maradhi ya kuambikiza
61) Kamariram - jini hili linatoa kinga kwa majambazi
62) Zubiran - jini la uongo na uzushi
63) Abadi - Jini la wizi, umalaya na ujambazi
64) Muzamili- jini la matambiko ya kiarabu
65) Ruhadi - jini la wizi, umalaya na umasikini
66 Usuran - jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
67)Tubuyali - jini hili linamfanya mtu kuiba vitu vya ndani ya nyumba. Haibi nje ya nyumba
68) Zirach - jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
69) Ashuran - jini la utasa na maradhi ya akina mama

Kinga ya majini haya ni nyepesi ni KUOKOKA na kusimama katika neno la Mungu. Kama unayo dalili yoyote iliyosababishwa na majini hayo hapo juu na umeokoka, taja jina la hilo jini, ni lazima litaitika, kisha liwashie moto.

Kama hujaokoka usiyarushie mawe au moto yatakuumiza. Mwuone kiongozi yeyote wa kanisa akuongoze sala ya toba, kisha anza kuwasha moto, hakika yatakimbia na kuacha biashara, kazi, ndoa, na watoto wako huru.
 
Mkuu si majini yote yataenda motoni, kuna tofauti kati ya majini na mashetani. mashetani ni maovu

what? mkuu unajua akini ulichokisema ni nini?

kuna jini ambalo limeshika amri 10 za Mungu?
 
what? mkuu unajua akini ulichokisema ni nini?

kuna jini ambalo limeshika amri 10 za Mungu?

Unafaham tofaut kat ya majini na mashetan? Kwan hata mtu anaweza kuwa shetan vile vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom