Yahusu: Majini mahaba...

Ignorance at its best

Kwa mwendo huu watz hatutoendelea
 
Ignorance at its best

Kwa mwendo huu watz hatutoendelea

Kama huna experience na kitu unapiga kimya.Sio lazima uponde kila kitu.Haya mambo yapo.Kwa wale yanayowasumbua elimu inawasaidia kutoka matatizoni
 
Mkuu Mzizi Mkavu, umesema Majini yalikuwepi miaka miaka mingi kabla ya binadamu kuumbwa, sasa nafahamu kuna Majini mpaka ya Kimaasai (sio mizimu ) je? walianza kuzaliwa Majini ya Kimaasai kabla ya binadamu?
Inaonyesha wewe hujasoma jinsi nilivyo andika hapo juu? ninakujibu Tena Taifa la Majini limegawanyika katika makabila Milioni Sabini na mbili (72,000,000) na wana uwezo wa kujifunza lugha yeyote wanaoitaka kidonto
 

Nashukuru sana Mkuu kwani hata mimi nimejifunza vitu vingi kwa post hii.
 
Tatizo imani yangu ngumu sana.

Huwezi amini siamini katika hii kitu
 
Naomba sana wataalamu waje jamani mtaalam sogea huku kuna kaz
 
Ulikutana naye ana kwa ana na nani? jini mahaba? Akiwa katika umbile gani? la paka au?

Nilikua na rafiki yangu, tunatembea then rafiki yangu akaniambia tumepishana na mwanamke ananiangalia kama ananijua but mimi sikumwona then ikabidi nigeuke ndipo nikakuta kasimama muda, tukawa tunaangaliana bila mtu kuongea kwa muda.
 
Ukweli ni kwamba watu wengi wana matatizo haya na mpaka mtu kuamini anakua keshavurugwa kila kitu.
 
Majini au jini, ndiye huyo pepo au malaika waliofukuzwa mbinguni na kungoja kutupwa motoni pamoja na Ibilisi
[MT 25:41].
 
nijibu swali langu la msingi, ulijuaje yeye ni jini?

Story ni ndefu kifupi kaniachanisha na mke wangu wa kwanza, then majuzi akapanda kwa mke wangu wa sasa wakati mke wangu hana hizo mambo, then akaanza kuongea vile alivyosababisha kuniachabisha na mke wangu wa kwanza na kwamba hata mke wangu wa sasa kamwingilia kwenye mahusiano yake hivyo lazima tuachane na kwamba hakuna ntachofanya kikafanikiwa, baada ya miaka 6 nikaamini kuwa ni kweli jini ananisumbua. Achilia mbali matukio mengi ambayo nlikua baptizing.
 
ina maana wote wanaoachana na wake zao wana majini?

na una hakika gani kilichompanda mkeo ni jini?

 
alikuwaje? Naulijuaje umekutana na jini?

Baada ya kama week kupita toka nlipokutana naye nikajikuta kila ikifika Ijumaa naenda msikitini nasubiri Waislam watoke msikitini then naanza kuwauliza kuhusu Majini, mwanzoni nlikua sijui kwa nini, na sikujua msukumo huo naupata wapi wakati mimi ni Mkristu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…