Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,988
- 142,395
Sio story......majambaz ya Kirundi yako hivyo.....ningekupa story moja hivi ila nitakiuka miiko ya kazi yangu.
Namaanisha .......kwamba hayo masula ya muku yapo.......na yanafanya kaziiiiUnasema "sio stori" halafu hapo hapo unaandika ungenipa "story moja hivi".....which is which?
Namaanisha .......kwamba hayo masula ya muku yapo.......na yanafanya kaziiii
Ok .....hilo wasema weweMimi nasema hayapo, ni ya kufikirika tu.
Kuna wengine hadi aage dunia wanaweza enda hata wiki 2 wanakoromaga tu na nishashuhudia mmoja hata madawa hakua anayajua ila ilimchukua wiki 1 kuaga dunia ilhali dalili zote anazo.Hili neno laweza kuwa na tafsiri nyingine kwa wengine lakini kwa watu wa Tanga lina maana yake muhimu ya ugumu ujasiri na roho ngumu
Hili nililishuhudia huko Lushoto kwa watu kadhaa waliochanjiwa muku ni wagumu kuugua kuumia na kiboko ya yote kufa aliyechanjiwa muku ni mtu mwenye roho ngumu hasa akikamatwa kwa mfano kwenye tukio la ujambazi au wizi na wananchi wenye hasira kali wanaweza kumpiga mpaka wakadhani wameua lakini siku inayofuta akakutwa bado anapumua.
Muku ni mzuri Unapokuwa hai lakini ni kitu kibaya kabisa unapokaribia kuachana na dunia hii kwa maana ya kifo...watu waliochanjiwa muku hufa kwa mateso makubwa sana kutokana na madawa aliyokunywa na kufanyiwa...akifanikiwa kufa mapema basi si chini ya siku tatu na hata akipata ajali mbaya kabisa au hata kuchomwa moto au kukatwa shingo mwili wake huchukua muda mrefu mno kupo.
Ninafahamu wengi wanapenda ujasiri na kuwa na kinga ya muku lakini kumbuka mateso siku roho yako ikitaka kuachana na mwili wako
Ukiweza kafanye lakini madhara yake ndio hayo
Safi! ila kumpata atakae kupa dawa za asili sahihi ndio shida, wajanja wamekuwa wengi sana siku hizi, una pewa takataka tupu ili yeye apate tu kipato.Dawa nyingi zinatokana na miti shamba, binafsi natumia remedies tu maishani ni tiba asilia mpaka wanangu
Wazee wetu wa zamani waliyapenda saana maagano, kuna bibi mmoja alinisimulia yy alimeza hirizi ya mandondo, anakwambia jinsi ya kuimeza hadi kwenye jeneza unawekwa...nilikuaga namsikiliza namuona anatunga tu huyu hizi hadithi za afu lela ulela! Alas, kumbe haya mambo yapo. Aliteseeeka saanaa zamu yake ilipofika.Lakini pia hii ya kuugua mpaka kuoza lakini mtu hafi inatokana na maagano nadhiri na viapo hasa na nguvu za giza...huyo mtu hafi mpaka atengue hayo mambo
Kuna jamaa mmoja huwa namsikia redioni anatangaza dawa ya nguvu za kiume ina itwa Muku supa shaft [emoji28] [emoji28] [emoji28] sijui ni majina tu!!Inaitwa mzughwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Muku si kwa ajili ya kwenda kutafuta au kuanzisha ugomvi utapigwa tuu
Eeh, muku.Mmmhh! Muku
Wapigaji wa mjini hao...hicho kinachoitwa muku super shaft ni mizizi iliyosagwa inaitwa ubombo kisambaa , ni kama ile wanayouza wamasai kwenye mabarKuna jamaa mmoja huwa namsikia redioni anatangaza dawa ya nguvu za kiume ina itwa Muku supa shaft [emoji28] [emoji28] [emoji28] sijui ni majina tu!!
Hapana mkuu sio mzugwa hio mzugwa ni ya malaria, Hio ya muku ya kunywa hata mimi nilitumia ni mti fulani mgumu hata upige kazi uwe hoi vipi kesho unapga glass moja asubuhi unakuwa fiti huichemshi unaloeka tu huo mziziInaitwa mzughwa
Funguka tu Kiongoz kwani unatumia jina lako halisi?Sio story......majambaz ya Kirundi yako hivyo.....ningekupa story moja hivi ila nitakiuka miiko ya kazi yangu.
Utasababisha watani zake Mshana Jr. waje kuitafuta!!!Halafu watu hawaamini hii kitu...nenda kigoma ndio iko Kwa sana. Wao wanaita kidono...hapo hakuna cha kisu wala risasi..