johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,005
- 142,040
Ukweli mchungu japo Zitto Kabwe na Abdul Nondo naweza kuwakwaza lakini ACT Wazalendo ndio chama chenye Nguvu Zanzibar na ni chama chao kwa sasa, Wabunge na Wawakilishi wote ni Wazanzibari.
Na huko Kanda ya Ziwa Victoria kama sampuli tumeiona CHADEMA inavyokubalika kwa Watanganyika
CCM inabaki kuwa Chama cha Muungano wa TANU na ASP
Ahsanteni!
Na huko Kanda ya Ziwa Victoria kama sampuli tumeiona CHADEMA inavyokubalika kwa Watanganyika
CCM inabaki kuwa Chama cha Muungano wa TANU na ASP
Ahsanteni!