Yaaan ndoa imenishinda asee

Yaaan ndoa imenishinda asee

Kama kichwa cha habari kinasema wadau

Mimi ndoa imenishinda fikiria huyuu mwanamke tumezaa watoto 2 lakini asaivii kabadilika ety akitoka kuoga mimi ananiambia nitoke nje nitamchungulia hii ni haki kweli
Ikikushinda utashindwa na kila kitu. Badilisha matatizo kuwa fursa. Tumia hiyo kama fursa yakubadilisha utulivu wako wa ndani (inner peace) ili ikakusaidie hata kwenye maisha ya nje ya ndoa. Matatizo hayakimbiwi, unakabiliana nayo na utashinda mpaka utajishangaa.
 
Kama kichwa cha habari kinasema wadau

Mimi ndoa imenishinda fikiria huyuu mwanamke tumezaa watoto 2 lakini asaivii kabadilika ety akitoka kuoga mimi ananiambia nitoke nje nitamchungulia hii ni haki kweli
Haijakushinda ni mind set yako tu imenasa negativity za ndoa nyingine sasa inaapply na kwako..
 
Kama kichwa cha habari kinasema wadau

Mimi ndoa imenishinda fikiria huyuu mwanamke tumezaa watoto 2 lakini asaivii kabadilika ety akitoka kuoga mimi ananiambia nitoke nje nitamchungulia hii ni haki kweli
Tuanzie hapa,kwani hao watoto 2 wakati mnawatafuta mlikuwa mmevaa nguo...
 
Back
Top Bottom