🤣🤣🤣🤣🤣Ulitakiwa kuolewa wewe basi tu ulikurupuka
Bado hajasema 😂
Sina neno chiefNi mm wasemajeee
Hahahaaa huyo atakuwa mvulana wa dar vijisababu havina maanaRudi tu kwa wazazi wako mwaya....
Hilo bafu liko wapi, acha utotoKama kichwa cha habari kinasema wadau
Mimi ndoa imenishinda fikiria huyuu mwanamke tumezaa watoto 2 lakini asaivii kabadilika ety akitoka kuoga mimi ananiambia nitoke nje nitamchungulia hii ni haki kweli
Mpe mwongozo banaaa