Ya Kikwete Yamkumba Rais Magufuli

Ya Kikwete Yamkumba Rais Magufuli

kwa hapa upinzani wana hoja ya msingi. magu aliapa kulinda katiba lakini kinyume chake anaivunja kwa mikono yake...
 
Baba yako si apelike huko Hai kwa nini awe mbowe kwani wewe ni familia yako ni maiti au Magufuli Chato amekufanya Dubai si ni tajiri wa kutupwa
Acha bhange wewe Chato huwezi kupalinganisha na Monduli wala huko Hai, Niambie kidogo tu ndiyo mfano wa mapungufu ya watu wako uliowaamini Monduli ni wilaya ya miaka mingi sana kabla ya chato lakini kuna njaa elimu na maji ni shida japokuwa mbunge wake amekuwa waziri wa maji, ardhi, na hatimaye waziri mkuu hata traffic light hakuna ila chato zipo huko hai ndiyo sisemi kabisa tabu kwenda mbele japokuwa mbunge wa huko anatamba kujua sheria na katiba sijui amewasaidia nini wanachi wa huko Mungu atahukumu ukweli na unafiki.
 
hizo sababu haziharalishi mtu anayetakia kusimamia sharia namba moja kuzivunja ndivyo madiktator walivyo duniani wanaaminisha kwamba wanasaidia wananchi ukweli ni kuwa huwa hawafuati sharia wala hawapendi kukoselewa wala kushauriwa hatutaki kwenda huko afuate utaratibu na sharia za nchi halafu aungwe mkono
SHARIA NI HUKO KWENU HAPA SHERIA BADO UNAAMINISHWA KAVUNJA SHARIA TANZANIA HUTUONGOZWI NA SHARIA NENDA SUDANI NA MASHARIKI YA KATI NDIYO UTAKUTANA NA HAYO MADUDU YAKO.
 
SHARIA NI HUKO KWENU HAPA SHERIA BADO UNAAMINISHWA KAVUNJA SHARIA TANZANIA HUTUONGOZWI NA SHARIA NENDA SUDANI NA MASHARIKI YA KATI NDIYO UTAKUTANA NA HAYO MADUDU YAKO.
mpumbavu mkubwa wewe sheria nenda wewe sudani alshabbab mkubwa wee unajuwa ukiandika sheria ukigonga space inabadirika kuwa sharia
 
Acha bhange wewe Chato huwezi kupalinganisha na Monduli wala huko Hai, Niambie kidogo tu ndiyo mfano wa mapungufu ya watu wako uliowaamini Monduli ni wilaya ya miaka mingi sana kabla ya chato lakini kuna njaa elimu na maji ni shida japokuwa mbunge wake amekuwa waziri wa maji, ardhi, na hatimaye waziri mkuu hata traffic light hakuna ila chato zipo huko hai ndiyo sisemi kabisa tabu kwenda mbele japokuwa mbunge wa huko anatamba kujua sheria na katiba sijui amewasaidia nini wanachi wa huko Mungu atahukumu ukweli na unafiki.
kwa kwa chato yenye apartment za magufuli tu ndio mji utalinganisha na wilaya gani hapa nchi a failed person at home is a failed leader ever
 
Bunge Lina sehemu mbili 1. Wabunge 2. Rais (civics ya form 2). Hivyo maamuzi ya Rais Ni maamuzi ya bunge.
 
Wenye fikra finyu hawezi kuona madhara ya kujiamlia mambo...sijui kama watu wanajua wanavyoibuka madikteta...kuna siku itaamrishwa kulala sa 1,kutoswali swala 5(iwe ijumaa tu) nk!ulizeni Zimbambwe,N/Korea walianzaje.Kibaya kutokana wengi wetu kukosa uelewa tumekuwa mashabiki wa kila kitu.Sasa hivi kuna ugumu sana wa maisha,hili ni kila kona.lakini watu wanalalamika kimya kimya.kuna majibu kama Kitwanga hakuna wakuuliza mbona bado yupo wakati wengine wamewekwa pembeni kwa tuhuma tu.Maono ya viongozi wetu yanaakisi pia upumbavu wetu.poor Tanzanians.Bora ningekuwa Somali ikajulikana moja kuliko kuwa sehemu ya nchi ililiojaa wapumbavu.Wasiojua kesho yao,
 
Utajuwa nini wewe kama kiongozi wako hajui

Utamu wa mkanasha ni kujibu hoja, kutumia nguvu ya hoja kumshinda unaye debate naye, kukimbia hoja si uungwana. Tunapobadilishana mawazo hapa wengine pia wananufaika. We sema tu, wala usiogope kama unachokijua ni ukweli na kama kimetokea. Onesha matendo pia onesha sheria iliyovunjwa. Maneno matupu yasiyo na ushahidi ni majungu yaliyotamalaki na yanaonesha chuki na husuda aliyonayo mtu moyoni. Sidhani kama wewe una chuki na kijiba. Haya jibu basi tuendelee kujadiliana
 
Hapa ndipo ninapowaona wapinzani ni wajinga. Hivi kwao sherehe za uhuru ni bora zaidi kuliko Ujenzi wa Barabara ya Mwenge to Morocco? Hivi tuna wapinzani wa aina gani katika nchi hii kiasi ambacho wanapinga hata hatua nzuri Inazochukuliwa na serikali. Najua inawauma sana kuona ujenzi wa barabara hiyo ukiendelea kwa kasi na soon itafunguliwa. Poleni sana
Hatuwezi kufanya jaribio kwenye gharama, hasa ukizingatia kwa hali ambayo serikali inavyojitahidi kubana matumizi na kukomesha mianya yote ya rusha, ila isingekuwa jitihada za kubana matumizi, basi ningependa hili Bunge livunjwe halafu uchaguzi urudiwe tuone iwapo wananchi watamwadhibu nani kati ya rais aliyetumia hela za sherehe kwenda kujenga barabara na madawati ama hawa wanahitaji hizo fedha kwa ajili ya kwenda nje kukagua nyumba za balozi, na wanao ng'ang'ania michakato, tume, etc?

Rais vunja Bunge halafu tuone nani atarudi ndani ya lile jengo.
 
Wenye fikra finyu hawezi kuona madhara ya kujiamlia mambo...sijui kama watu wanajua wanavyoibuka madikteta...kuna siku itaamrishwa kulala sa 1,kutoswali swala 5(iwe ijumaa tu) nk!ulizeni Zimbambwe,N/Korea walianzaje.Kibaya kutokana wengi wetu kukosa uelewa tumekuwa mashabiki wa kila kitu.Sasa hivi kuna ugumu sana wa maisha,hili ni kila kona.lakini watu wanalalamika kimya kimya.kuna majibu kama Kitwanga hakuna wakuuliza mbona bado yupo wakati wengine wamewekwa pembeni kwa tuhuma tu.Maono ya viongozi wetu yanaakisi pia upumbavu wetu.poor Tanzanians.Bora ningekuwa Somali ikajulikana moja kuliko kuwa sehemu ya nchi ililiojaa wapumbavu.Wasiojua kesho yao,

Kabla huajaropoka na kutoa mifano kujaza server elezea kwanza nani kajiamulia mambo bila kujali katiba na sheria na sheria zipi hizo zilizovunjwa halafu ndio tuendelee
 
Kama katiba inavunjwa ili kuwatetea wanyonge na kushughulikia mafisadi na majizi basi bora aichome moto kabisa
Queen Esther

kwa hapa upinzani wana hoja ya msingi. magu aliapa kulinda katiba lakini kinyume chake anaivunja kwa mikono yake...
 
Mbona kifungu cha kwenye katiba kimeainishwa kinachompa rais mamlaka au tayari kilishafanyiwa amendment??
 
NATAMANI BUNGE LIVUNJWE HAWA WATALII TUONE KAMA WATARUDI MJENGONI.

Queen Esther

Hatuwezi kufanya jaribio kwenye gharama, hasa ukizingatia kwa hali ambayo serikali inavyojitahidi kubana matumizi na kukomesha mianya yote ya rusha, ila isingekuwa jitihada za kubana matumizi, basi ningependa hili Bunge livunjwe halafu uchaguzi urudiwe tuone iwapo wananchi watamwadhibu nani kati ya rais aliyetumia hela za sherehe kwenda kujenga barabara na madawati ama hawa wanahitaji hizo fedha kwa ajili ya kwenda nje kukagua nyumba za balozi, na wanao ng'ang'ania michakato, tume, etc?

Rais vunja Bunge halafu tuone nani atarudi ndani ya lile jengo.
 
Hapo unakosea hivi ni busara kumwacha mgonjwa usimpe dawa mpaka aje na PF 3 wakati unaona amejeruhiwa lakini kwa akili ya kuzungusha mikono unamwambia kalete kwanza Pf3 ndipo nikutibu wakati unajua hawezi kufika kituo cha polisi atakuwa kafa kwa kuishiwa damu. Hata hivyo sikulaumu kwa mawazo yako na wewe umeona ni jambo baya kuhamisha fedha zikanunue madawa na vitanda hospitali ambazo ni milioni 500 wabunge wakizijadili zitabaki ngapi na kule zilikotakiwa kupelekwa watu watakauwa na hali gani? Sihitaji malumbano ni jambo la kupima kwa akili ya kawaida na halihitaji hata elimu ya form four kama ya Mbowe bali busara itawale.
Kwakua vinafanyika kwa Mizuka na wewe ndio vinakupandisha midadi?
 
Bunge kuwa ''live'' ni muhimu ili kuona kama wabunge wa CCM na ''Upinzani'' wanafanya kazi tuliyowatuma kuisimamia serikali kikamilifu.

Maana utendaji wa wabunge iwe ''utoto'' kama CCM wanavyosema kuhusu hatua za UKAWA kuibana serikali Bunge ni sisi wananchi tutawasaili wabunge kama wanatekeleza kazi zao wakati wa vikao vya Bunge au la.

Serikali haiwezi kuwachagulia wananchi ''kipi'' cha kilichotokea Bungeni wakione ktk TV usiku wa manane.
 
Back
Top Bottom