X wangu amemuita mwanae jina langu

X wangu amemuita mwanae jina langu

"....Kuna tofauti kubwa kati ya jina lako na jina sawa na la kwako haihitaji cheti cha kuzaliwa kujua hili..."

Majola Ninde
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Yan huwa najiuliza tu, haya mauzi yanayoletwa humu tunashea khs watu fulani fulani, haijawahi kutokea kwmb anaeongelewa yuko humu nae akajua kuwa anasemwa yy ht km ID zetu ni fake!?
 
~~>>Unamuita jitu lkn ulimvulia nguo akazamisha dudu yake.
 
Unajuaje kama hilo ni jina la marehemu karithishwa? Acha kujipa matumaini....!!kwaiyo sasa hapo unataka kusema kwamba unapendwa ....bado anakufikiria or what?
 
Kama unajua huna hatimiliki ya jina unapost ili iweje...alafu unamwita x wako lijitu kwa nn...kwani hakuwah kukufikisha kileleni..
Ww ndo lijitu...lione hilooo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom