Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Yan ni kama analichukiiiiiiaEti kuna jitu tuliachana nalo
Aiseeee!!najaribu kuwaza hilo jitu uliloachanaga nalo linafananaje eti!!
Yan ni kama analichukiiiiiiaEti kuna jitu tuliachana nalo
Aiseeee!!najaribu kuwaza hilo jitu uliloachanaga nalo linafananaje eti!!
Jibu mubasharaKuna watoto wa kiume kweli!
1.We mwenyewe umekili kuwa nae.Tuna uhakika gani kama huyo mtoto siyo wa kwako!?
2.Eti kampa jina langu. Hapo unajiariji kwenye mafuriko ya akili mbovu.
Umetembee dunia nzima ukajikuta we ndo una jina hilo tu?
3.Kwa taarifa yako mtoto kapewa jina la baba yake. Kama ni wewe kapewa jina lako.Kama siyo wewe hajapewa jina lako.
Kesho utakuja kutuuliza kwa nini hujamkuta bikra.
habari wakuu?
kuna kitu kimenishangaza,kuna jitu tuliachana nalo,nimesikia limepata mtoto na limemwita jina sawa na la kwangu.
hivi ni halali kweli hata kama sina hati Miliki ya hilo jina?
Hahahaha...!Km hujawahi kuwehuka basi upo mbioni
Mimi najiuliza ilikuwaje ukawa unatembea na JITU?!habari wakuu?
kuna kitu kimenishangaza,kuna jitu tuliachana nalo,nimesikia limepata mtoto na limemwita jina sawa na la kwangu.
hivi ni halali kweli hata kama sina hati Miliki ya hilo jina?

Habari za ex... Sijui jina.. Tupia paka...Heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeehhhhh! Yaaaaaaanniiii!!
Habari za ex... Sijui jina.. Tupia paka...
Hahaha # cheka kwa dharaaau #