Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 167,496
- 185,689
Hahaha... Kone kwanza kalivyo kazuri... Nitakupa adhabu... Na unazijua adhabu zangu... They are better and sweet same time..Nothing sweetie!
Hahaha... Kone kwanza kalivyo kazuri... Nitakupa adhabu... Na unazijua adhabu zangu... They are better and sweet same time..Nothing sweetie!
UwiiiHahaha... Kone kwanza kalivyo kazuri... Nitakupa adhabu... Na unazijua adhabu zangu... They are better and sweet same time..
Kwani waitwa nani?
Mimi nimetoka na David watatu! Nikipata mtoto nikaamua na Mume wangu kumuuta David hao ma-David watapata bichwa kudhani nimemwita mwanangu hilo jina kwa ajili yao.
Inaweza ikawa ni coincidence tu! Labda analipenda hilo jina ata kabla hajakutana nawe! Au alikua nawe kwa sababu la ilo jina![]()
Basi... Sssshhhhh nyenyere ni wengi sana... Wasije wakavamia sukari...Uwiii
Nazijua zilivo tamuuuu
Adhabu ila ni tamu kweli kweli
Uwiii
Nazijua zilivo tamuuuu
Adhabu ila ni tamu kweli kweli
habari wakuu?
kuna kitu kimenishangaza,kuna jitu tuliachana nalo,nimesikia limepata mtoto na limemwita jina sawa na la kwangu.
hivi ni halali kweli hata kama sina hati Miliki ya hilo jina?
Mbona maandishi ka yA kike mwanaume aseme "kuna lijitu niliachana nalo"Una hati miliki ya jina bob.