X wangu amemuita mwanae jina langu

X wangu amemuita mwanae jina langu

habari wakuu?
kuna kitu kimenishangaza,kuna jitu tuliachana nalo,nimesikia limepata mtoto na limemwita jina sawa na la kwangu.
hivi ni halali kweli hata kama sina hati Miliki ya hilo jina?
Kamwita jina lako kwani ww ndio wa kwanza kuitwa jina hilo duniani?, acha ulimbukeni, kamwita jina hilo kama ambavyo wazazi wako walikuita jina hilo bila kujali ni nani aliitwa kabla yako. Vinginevyo itakuwa kila anayeita mwanae jina kama lako utahoji mara x wangu, mara jirani yangu n.k
 
haya haya tunayoyaiga kutoka ughaibuni au kuna lingine ????
 
Kuna watoto wa kiume kweli!

1.We mwenyewe umekili kuwa nae.Tuna uhakika gani kama huyo mtoto siyo wa kwako!?

2.Eti kampa jina langu. Hapo unajiariji kwenye mafuriko ya akili mbovu.
Umetembee dunia nzima ukajikuta we ndo una jina hilo tu?

3.Kwa taarifa yako mtoto kapewa jina la baba yake. Kama ni wewe kapewa jina lako.Kama siyo wewe hajapewa jina lako.
Kesho utakuja kutuuliza kwa nini hujamkuta bikra.
 
Eti kuna jitu tuliachana nalo

Aiseeee!!najaribu kuwaza hilo jitu uliloachanaga nalo linafananaje eti!!

Nyoka hampandi mjusi.
Hivyo basi,lijitu=Kenge.
Kenge kapandwa mtu.
Mtu= kenge wa mwaloni. Hivyo basi,
Lijitu lilipendwa na kenge wa mwaloni
 
"...Ukiona umeachana na mtu na bado unafuatilia mambo yake jua wivu unakusumbua..."

Mwanaasha Ali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom