Wote wanaoponda Uteuzi wa Muhongo, Mwakyembe na Nape, wapo nyuma ya Lowassa na Mengi

Hata hao wawekezaji mnaowaona ndio wanafaa, wamesaidiwa na nchi zao kuwapa mitaji, dhamana na kila aina ya msaada ili waweze kupata hivyo vitalu. Kwakuwa mwisho wa cku wananufaika wote. Lakini sisi wadanganyika tuko kuwaabudu watu wa mbali, na kuwadharau watanzania. Lakini Mungu yupo na ndie anaeona hata ya rohoni ayafikiliayo mtu, amini nakuambia kama Muhongo yupo hapo kwa hila za kuwaadhibu watanzania hatadumu.
 
Ni kutokana na uteuzi wa Dr. Harrison Mwakyembe na Prof. Sospeter Muhongo kwenye baraza lake la mawaziri.
Sakata la ESCROW liliwaweka karibu sana Mengi wote waliokuwa wakipigana usiku na mchana kuhakikisha Prof. Muhongo anajiuzulu kufuatia sakata hili. Kwa sababu ya Prof. Kuminya mianya ya watu kutaka kuwa madalali wa kuwekeza kwenye gesi, Reginald Mengi akiwa mmoja wao, nguvu nyingi zilitumika kuhakikisha Mzalendo huyu na mtetezi wa Wanyonge anaenguliwa, Pesa ni kila kitu, Prof hakuona sababu ya kushindana na kwa kuzingatia msemo, "MWENYE NGUVU MPISHE" aliamua kukaa pembeni.


Mwakyembe naye hatasahau uchaguzi wa Mwaka huu. Kati ya majimbo ya CCM yalikuwa magumu mwaka huu , basi ni jimbo la Kyela. Nguvu ya pesa ni mbaya sana. Mwakyembe alitumiwa kila aina majeshi kuhakikisha kwake siasa inaishia hapo. Mungu siyo Athumani , Kapenya. Kwa mujibu wa mtonyaji wangu, kati ya Majimbo ambayo Lowassa alikuwa tayari kutumia pesa yake yote ila wabaya wake wang'oke ni pamoja na Jimbo la Kyema. Lingine ni jimbo la Mtama.


Mwakyembe ndiye aliyeongoza Kamati ya Bunge la tisa kuchunguza Kampuni tata ya kufua umeme wa Dharura ya Richmond. Ripoti ya Kamati hii ndiyo iliyomng'oa LOWASSA kutoka kwenye uwasiri mkuu.
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ndiye aliyeibua ufisadi katika ujenzi wa JENGO la Umoja wa Vijana wa CCM(UVCCM) lililoko makutano ya barabara za Morogoro na Lumumba.


Matukio ambayo kipindi cha kampeni yalihusishwa na vita ya LOWASSA na hawa wabaya wake wawili ni matukio mawili katika jimbo la Mtama, moja likiwa ni ajali ambayo NAPE aliipata kweupeee kama ile ya Mch. Mtikila na lingine ni Nape kusingiziwa kujihusisha na rushwa wakati wa Kampeni.


Wakati hayo akitokea huko jimboni Mtama, Jimboni Kyela, Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA ambaye ndiye aliyeandika Makala zaidi ya 70 kupitia zageti lake la MWANAHALISI kuwa LOWASSA ni FISADI alitumwa kwenda kumshambulia Mwakyembe. KUBENEA alishinikizwa na Chama chake kwenda kumshambulia Mwakyembe kwa vile kati ya Maadui wakubwa wa LOWASSA kwenye ulingo wa siasa, yeye alikuwa wa pili baada ya Mwakyembe.


TAHADHARI: Kwa uteuzi huu wa MUHONGO, MWAKYEMBE NA NAPE. Ni lazima Rais Magufuli afanye kazi na akina Mengi na Lowassa kwa tahadhari kubwa sana. Watamchekea kwa kumuonesha Magego yao, lakini mioyo yao haitakaa imchekee kamwe.


Wote tunaoponda Uteuzi wa Muhongo, Mwakyembe na Nape tuko nyuma tu ya akina Lowassa na Mengi. Tunafuata tu Mkumbo. Kosa la hawa ni nini? Hawana dhambi yoyote zaidi ya kuchukiwa na hao kwa sababu tu ya ukwasi wao fedha. Wanyonge wote hawa ndiyo wa kufanya nao kazi , tuwakumbatia ili wamsaidie rais wetu kufikia matamanio yetu.

hapa hamna kitu Umeandika. Lazima nikwambie UKWELI. Mengi mpaka sasa hajakamatwa aAchilia mbali kuhusishwa na Ufisadi wa aina yoyote. Swala la kumwita Mpiga dili(connotation yenye maana ya Mwizi) . Tumewasikia waarabu kibao akiwemo bakharessa nk.. wakikamatwa makontena yao pale Dar.
Dr. Mengi akiwa south afrika alipokea Cheti cha mfanya biashara aliyetukuka AABLA. DR. Mengi ni msomi. Mpaka sasa rais wako Magufuli hajatoa SABaBU za Kwanini Amewateua Wale kuwaMawaziri akiwemo Mhongo. Sababu Unazotoa unajitungia wewe Mwenyewe ili kuendeleza majungu. Hata hiyo ya Lowasa kuhusika moja kwa moja na Richmond Unajitungia hujui kitu. Hata uhusiano kati ya magufuli na Mengi hauujui. We endelea kua mtunzi wa riwaya za kusadikika, but Only gullible willl fall for this....

Na kuhusu Zengwe la kutolewa madarakani limeshawahi kumkuta Lowasa hata Mizengo Pinda Na Rais akaingilia Kati, iweje hakuingilia Kati ishu ya Mhongo ambaye mnamnadi ni innocents. ?J? Most of all NITAJIE ni Mwanasiasa yupi aliyewahi kukiri Kua amekosea tangu hii timua timua ya mawaziri na skendo??

nilitarajia watu kama nyie mtatokea
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...fuli-kweli-ccm-ni-ile-ile-2.html#post14811057

 
Namshauri Mh Rais Magufuli ili kuondoa haya majungu kuhusu uteuzi wa Prof Jembe Muhongo yanayotoka Ukawa na team baba wawili.

Ampeleke chadema, kisha amkabidhi kwa Dj Mbowe ili amsafishe kuhusu ufisadi. Baada ya hapo Mbowe awatangazie watu wake kuanzia sasa Muhongo sio fisadi. Makamanda hawana jinsi wataacha maneno maneno kisha Magufuli amlipe Mbowe gharama zake. Kisha Muhongo arudi ofisini aanze kazi yake maana hii mashine ni hatari majipu ya tanesco na madini yanaweweseka sasa hivi.

Huu ni muda wa kazi majungu ya ukawa hatuyaitaji tunataka vichwa kama Muhongo visipigwe majungu kama kipind kile. Watu wasishindwe kufanya kazi sababu ya majungu ya Chadema.
 
Ni kutokana na uteuzi wa Dr. Harrison Mwakyembe na Prof. Sospeter Muhongo kwenye baraza lake la mawaziri.
Sakata la ESCROW liliwaweka karibu sana Mengi wote waliokuwa wakipigana usiku na mchana kuhakikisha Prof. Muhongo anajiuzulu kufuatia sakata hili. Kwa sababu ya Prof. Kuminya mianya ya watu kutaka kuwa madalali wa kuwekeza kwenye gesi, Reginald Mengi akiwa mmoja wao, nguvu nyingi zilitumika kuhakikisha Mzalendo huyu na mtetezi wa Wanyonge anaenguliwa, Pesa ni kila kitu, Prof hakuona sababu ya kushindana na kwa kuzingatia msemo, "MWENYE NGUVU MPISHE" aliamua kukaa pembeni.


Mwakyembe naye hatasahau uchaguzi wa Mwaka huu. Kati ya majimbo ya CCM yalikuwa magumu mwaka huu , basi ni jimbo la Kyela. Nguvu ya pesa ni mbaya sana. Mwakyembe alitumiwa kila aina majeshi kuhakikisha kwake siasa inaishia hapo. Mungu siyo Athumani , Kapenya. Kwa mujibu wa mtonyaji wangu, kati ya Majimbo ambayo Lowassa alikuwa tayari kutumia pesa yake yote ila wabaya wake wang'oke ni pamoja na Jimbo la Kyema. Lingine ni jimbo la Mtama.


Mwakyembe ndiye aliyeongoza Kamati ya Bunge la tisa kuchunguza Kampuni tata ya kufua umeme wa Dharura ya Richmond. Ripoti ya Kamati hii ndiyo iliyomng'oa LOWASSA kutoka kwenye uwasiri mkuu.
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ndiye aliyeibua ufisadi katika ujenzi wa JENGO la Umoja wa Vijana wa CCM(UVCCM) lililoko makutano ya barabara za Morogoro na Lumumba.


Matukio ambayo kipindi cha kampeni yalihusishwa na vita ya LOWASSA na hawa wabaya wake wawili ni matukio mawili katika jimbo la Mtama, moja likiwa ni ajali ambayo NAPE aliipata kweupeee kama ile ya Mch. Mtikila na lingine ni Nape kusingiziwa kujihusisha na rushwa wakati wa Kampeni.


Wakati hayo akitokea huko jimboni Mtama, Jimboni Kyela, Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA ambaye ndiye aliyeandika Makala zaidi ya 70 kupitia zageti lake la MWANAHALISI kuwa LOWASSA ni FISADI alitumwa kwenda kumshambulia Mwakyembe. KUBENEA alishinikizwa na Chama chake kwenda kumshambulia Mwakyembe kwa vile kati ya Maadui wakubwa wa LOWASSA kwenye ulingo wa siasa, yeye alikuwa wa pili baada ya Mwakyembe.


TAHADHARI: Kwa uteuzi huu wa MUHONGO, MWAKYEMBE NA NAPE. Ni lazima Rais Magufuli afanye kazi na akina Mengi na Lowassa kwa tahadhari kubwa sana. Watamchekea kwa kumuonesha Magego yao, lakini mioyo yao haitakaa imchekee kamwe.


Wote tunaoponda Uteuzi wa Muhongo, Mwakyembe na Nape tuko nyuma tu ya akina Lowassa na Mengi. Tunafuata tu Mkumbo. Kosa la hawa ni nini? Hawana dhambi yoyote zaidi ya kuchukiwa na hao kwa sababu tu ya ukwasi wao fedha. Wanyonge wote hawa ndiyo wa kufanya nao kazi , tuwakumbatia ili wamsaidie rais wetu kufikia matamanio yetu.

Mengi au Lowassa ndio walio mlazimisha pesa za Escrow alipwe singa singa! Au ndio waliomlisha Muhongo, "Watanzania huwezo wao ni wakuwekeza kwenye viwanda vya juisi"!!

Mbona Lipumba kapinga uteuzi wa Muhongo lakini haujasema chochote!

Huu ni ule mwendelezo wa kuwahusisha watu wanaotoka upande fulani kwa sababu unajua kuna chuki dhidi yao itakusaidia wengi kukuamini kirahisi.
 
Kama hujui hata hao wageni pia ni MADALALI,kwanini basi MZAWA anyimwe kuwa dalali?Je ni wivu tu au kuna shida nyingine??Tusiweke mawazo yetu kwa wageni tu,hata sisi tunaweza,cha msingi kuwa wamoja.

Kwanu mimi ni bora mara elfu akawekeza RAIA wa TANZANIA kuliko mgeni.Tunachekwa huko nje.Tuamke sasa,chuki hizi za ukanda na itikadi hazitusaidii.Sisi sote ni watanzania na tunahaki sawa sawa ya kumiliki maliasili zetu.

Kati ya mambo yanayo tufanya Waafrika tuwe nyuma kimaendeleo ni wivu wa maendeleo dhidi ya Waafrika wenzetu.

Nchi za Ulaya, Asia, Australia na Amerika wanaonyesha upendeleo wa wazi kwa wazawa.Mfano, Muhongo angekuwa ni Muhindi nani waziri India halafu asema "Wahindi uwezo wao ni wakuwekeza kwenye viwanda vya juisi" kwa kuonyesha upendeleo kwa Waafrika kuwekeza katika gas and oil India resistance kutoaka kwa wananchi angekimbia India.

Wivu na ubinafsi ndio kikwazo kikubwa cha maendeleo Afrika.
 
kijana unapaswa kuelewa nia njema ya Mengi nayo ni wananchi kumiliki uchumi msikilize magufuli

raia wetu wanapaswa kumiliki uchumi wajiunge pamoja hata kama ni gesi wanaweza kumiliki na tutawawezesha -na hiyo ndio hoja ya mengi-

muhongo-nyie wazalendo mnaweza kuuza juice tu.

Tata nilidhani ni GT kumbe nawe una tusiasa twa uchochoroni unataji tanzania nzima iwe inshangilia kila kitu -fikra huru ndio zitatujenga sio ukibaraka na umkiamkia

Kifupi tu, MENGI HANA NIA NJEMA YOYOTE NA TANZANIA. Ninachojua mimi kuhusu Mengi ni kwamba anapenda sana kuona utawala wowote unaokuwa madarakani utambue uwepo wake. Zaidi ya hapo ni mtu wa grudges tu
 
Kila siku kuandika mambo ya kufikilika tu . Kampeni zimeisha porojo achen, mgl anafanya kazi
 
kijana unapaswa kuelewa nia njema ya Mengi nayo ni wananchi kumiliki uchumi msikilize magufuli

raia wetu wanapaswa kumiliki uchumi wajiunge pamoja hata kama ni gesi wanaweza kumiliki na tutawawezesha -na hiyo ndio hoja ya mengi-

muhongo-nyie wazalendo mnaweza kuuza juice tu.

Tata nilidhani ni GT kumbe nawe una tusiasa twa uchochoroni unataji tanzania nzima iwe inshangilia kila kitu -fikra huru ndio zitatujenga sio ukibaraka na umkiamkia
Prof.Muhongo fits the bill - na ndiye mwenye uwezo wa kusimamia Wizara hii nyeti - narudi kusema Dk.Magufuli ametumia busara sana na hekima kumrudisha jembe Muhongo kwenye usukani - wababaishaji na walanguzi/madalali hawatapenya kwenye chujio la Prof. watabaki kulalama tu na kujaribu kumchafua/majungu au kumuwekea spana kwenye kazi zake za kulikomboa Taifa letu kutoka kwenye lindi la umaskini mkubwa,Magufuli na Muhongo ni Wazalendo wa kweli hata ukiwangalia usoni uwezi kuwa na wasi wasi nao.

Namkumbusha Prof.Muhongo kwamba Watanzania tulio wengi tulikuwa tunaku ombea sana kwa Mwenyezi Mungu kutokana na Uzalendo wako uliyo tukuka,ni watu wachache tu wenye ajenda zao za SIRI ndio wanao kuona wewe mbaya kwa kuwazibia ulaji wao na utapeli ambao walikuwa wamezoa kufanya kwa muda mrefu bila ya kuhojiwa na yeyote,yaani wana an inflate view of their importance katika Taifa hili huru,msiwasikilize wanapo wajia wamevaa groves za uzalendo/uzawa and what have you - chunguza track record zao za nyuma kwanza hiyo ndio itawapa picha kamili of what they're up 2, siwa semi vibaya nataka wahache tabia zao za kutaka kuchelewesha maendeleo ya Taifa letu wakitumia lame excuses kwa kulumbana na viongozi in public pasipo na sababu za maana.

Watanzania wote wenye akili timamu tunajua linapokuja suala la gesi na mafuta TPDC inatutosha kabisa ndio taasisi yenye uwezo wa kusimamia maslahi ya Watanzania wote haiendeshwi kama mali ya Ukoo au familia.
 
Lizaboni sioni tatizo kwa Mengi kuwa dalali wa vitalu vya gas as well as udalali wake unakuwa upo kisheria...mengi anamiliki makampuni mengi tu yakiwemo ya uchimbaji madini...#

Ni kwanini Muhongo hataki wazawa wahusike kwny biashara ya gas na mafuta???

Sospeter muhongo ni waziri msomi, namkubali sana, lakinj kwa hili la kuleta dharau kwa wazawa niko tofauti nae sana#

Kwanini Watanzania hata kuwa madalali wa vitalu vvitalu na badala yake udalali udalalinywe uwageni:rolleyes:imwe
Hukumwelewa Prof Muhongo wewe. Mengi et al hawa na vigezo
 
Last edited by a moderator:
Lizaboni sioni tatizo kwa Mengi kuwa dalali wa vitalu vya gas as well as udalali wake unakuwa upo kisheria...mengi anamiliki makampuni mengi tu yakiwemo ya uchimbaji madini...#

Ni kwanini Muhongo hataki wazawa wahusike kwny biashara ya gas na mafuta???

Sospeter muhongo ni waziri msomi, namkubali sana, lakinj kwa hili la kuleta dharau kwa wazawa niko tofauti nae sana#

Kwanini Watanzania hata kuwa madalali wa vitalu vvitalu na badala yake udalali udalalinywe uwageni:rolleyes:imwe

Kuna miradi ya wzawza lakini mingine lazima tuwe wakweli hao wazawa kwanza yupi mwenye kiwanda kinachoeleweka mpaka awe na uwezo wa gesi?
 
Last edited by a moderator:
Hapana ninakukatalia Nape hafai kuwa kiongozi kwa ajili ya lugha yake mbovu, halafu katika CV yake naona mambo ya lugha, nim kweli kabisa hana haiba wala mvuto

Kwa hiyo ulitaka ateuliwe Yericko Nyerere????
 
Kuna miradi ya wzawza lakini mingine lazima tuwe wakweli hao wazawa kwanza yupi mwenye kiwanda kinachoeleweka mpaka awe na uwezo wa gesi?

Kiwanda cha nn? Sioni kama kiwanda cha kueleweka km kina uhusiano na masuala ya gas!

Ila ukweli ni kwamba wazawa wanaoweza kuwekeza kwny gas wapo, mhimu serikali iwape full support kwny financial institutions hasa zile za kimataifa, ikibidi hata WB!
 
Back
Top Bottom