wirewizard1
Senior Member
- Jun 28, 2015
- 160
- 26
Ccm ni ile ile ....oooh. Ni...ile ile hamna mpya...nilikuwa nasubiri baraza la mawaziri kwa hamu...!!!!Sasa nishaona usanii wa JPM....NAPE..MWIGULU...MAKAMBA ...MUHONGO...MWAKIEMBE...Hawa watu si wana kashfa mbalimbali..?????!!!!!!! Ina maana hamna watu wengine????!!!!!!Sasa watu hawa wakifanya wizi tena MAGUFULI ataweza kuwafukuza hawa?????