Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Unajua hawa wazee wetu, lifestyle yao miaka hiyo ilikuwa ni kuoa mke mchapakazi ili kutafuta nae maisha sasa maisha yakishapatikana yule mke ghafla anakosa mvuto anaonekana kituko wanaanza sasa kutaka kurevege walichokosa wakati wa ujana kipindi wanachafu kunuka hakuna mtu anawataka.

Ndio maana vijana now days wanashauriwa kuanza hustling mapema ila unakuwa smart unakamatia pisi kali na unakuwa unahang nazo za kutosha. Ukifika ile age unatulia na mkeo wako wa ujanani huku tayari umeshachakaza pisi kali.

Sasa wazee wanataka kulipa maisha ya ujana na huku mita ya umri inasoma age ni 70+. Huo umri sio tena wakuruka na vimada.

Huo umri wa kunywa kahawa safi, kutazama mifugo, kucheza na wajukuu, kuandaa holiday feast watoto na wajukuu waje kula sikukuu na mzee,kusafiri kufanya utalii wa ndani wa chakula na kubadili hali ya hewa. Kupanda mauwa na kuyatunza. Kufuta gari zako ziwe zinang'aa muda wote, kushauri vijana na kuwaguide.

Mzee anataka kukimbizana na vijana. Mimi yule Kylin nikipewa hapa kwanza nabidi nipate kama wiki moja hivi yya kula vizuri vyakula vya kujaza mwili nishati, ninywe maji mengi ndipo nikutane nae nimchoshe siku tatu mfululizo.

Mzee wa miaka 70+ anabwia viagra anataka kumchosha binti mbichi wa 30+.

Msyuuuuuuuuu
Hahahah full kupigwa mabooster. Poleni sana. Jitahidini muyaishi maisha haya jamani
 
Pole Jack ...mimi kama mwenyekiti msaidizi wa madangaji tanzania nimesikitishwa na hii hukumu,ila mwenzetu ulikosea sana ulitakiwa uwa include watoto wa mke wa kwanza kwenye urithi ikiwezekana mkae kama familia mjue mnagawana vipi...sasa wewe urithi wote ni wako na wanao...mbona hata haitaji ujuzi kutilia shaka haya maamuzi...??? hata kama alifanya kosa kuandika hivyo ungekua na chembe ya ubinadamu ungefikiria watoto wake wa mke wa kwanza na kumuomba Mengi aandike kwa watoto wote,ila mwenzangu sijui ni u-selfishness ama roho ya tamaa..leo unaachwa wazi...pole lakini
Na wewe umekosea.alitakiwa arithi kile alichotafuta nacho marehemu Ila vile alivyomkuta navyo asiviangalie Mana hajui vilivyopatikana.

Yaani mengi angemuoa afu amwambie kuwa tunaanza kutafuta na wewe maisha vile ni vya mke mkubwa na watoto wake.sasa wewe tunaanza zero tupambane wapange nyumba mbagala huko ya chumba na sebule waaanze kuuza maandazi karanga vitumbua na mihogo ya kuchemsha ili aonekane Kama kweli ameamua kuzeeka naye.kikawaida ukioa unaanza zero na mke mpya.
 
Ushauri kwa watoto wa Mengi...Msijitwishe Dhambi...Huyu Ni mama yenu mdogo..Kaeni nae mkubaliane wadogo zenu wale wapate matumizi yote kama Baba Yao alivyokuepo wakikua wajoin kampuni.

KWA Jack achana na matapeli wa mjini watakula japo vijisenti vidogo ulivyonavyo wakikudanganya...anzisha biashara yako una jina la mzee pambana utatoka.

JENGA harmony na wale watoto wakubwa yaishe basi ...
Ana bwana mpya siku hizi mzingu..
Watoto wanapata stahiki zao zote tu. Hata matengenezo ya magari, sijui nyumba etc ipp ndo inafanya kuhudumia
 
Sasa si useme nini kimetokea, we unadhani sisi wote ni majudge kama ww

Kwa ufupi tu ni kuwa "Mahakama kuu imetupiliaa mbali wosia wa marehemu Reginald Mengi na kumchagua mtoto wa marehemu Abdiel Mengi na kaka wa marehemu Benjamin Mengi kuwa wasimamazi wa mirathi" hivyo zile mali alizo pewa Jaqueline mengi na wanae kwenye wosia wa awali sio halali. hivyo zina gawanywa upya.
 
Marehemu hajaheshimiwa hata kidogo japo yule binti hakustahili kuwa msimamizi wa mirathi.

Tatizo ni ule wosia ulio wasilishwa ulikuwa na utata. Hata kama ulikuwa ni kweli umeandikwa na mzee mengi basi hakutumia busara kuwaondoa watoto wake kwenye mgao wa mali.
 
Dah kulamba 100% ya urithi hata watoto wa primary level wanaweza kususpect kuwa something is fishy about the whole thing.
Yaan nilikua naangalia vicheche wa insta wakiandika na kutuponda kwamba tunamwonea wivu goldigger. Katika mtandao ambao watu hawana akili ni insta. Yaan walimjaza ujinga balaa.
 
Kabisa, she was on mission

Sent using Jamii Forums mobile app
Ah kila mwanamke yupo onna mission...kuoata mwanaume mwenye mihela....wanawake wanaangalia lofe lipo wapi na sio kwamba wanapenda.

Yeye alichobugi ni kwamba kabla ya kuzaa wale watoto angempiga pin kibabu. Kwanza weka billon tatu kwenye account yangu ndio nakuzalia. Tena una mwambia kabisa mzee kuwa hizo mali za huko nyuma ulizochuma na mkewe ni haki ya hao watoto wako wakubwa. Mie niwekee fungu langu kabisa ndio nakuzalia ili nisije kuvutana shati na watoto wako.
 
Ah kila mwanamke yupo onna mission...kuoata mwanaume mwenye mihela....wanawake wanaangalia lofe lipo wapi na sio kwamba wanapenda.

Yeye alichobugi ni kwamba kabla ya kuzaa wale watoto angempiga pin kibabu. Kwanza weka billon tatu kwenye account yangu ndio nakuzalia. Tena una mwambia kabisa mzee kuwa hizo mali za huko nyuma ulizochuma na mkewe ni haki ya hao watoto wako wakubwa. Mie niwekee fungu langu kabisa ndio nakuzalia ili nisije kuvutana shati na watoto wako.
Kwani mzee alikuwa na shida sana na watoto hadi amwambie hivyo?
 
Back
Top Bottom