miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,417
- 10,973
Atagaiwa kidogo anachostahili tu.Duh huo mgao unaweza kulia kama si kucheka.Wasimamizi wanaweza kumgawiya share ndogo sana.
Atagaiwa kidogo anachostahili tu.Duh huo mgao unaweza kulia kama si kucheka.Wasimamizi wanaweza kumgawiya share ndogo sana.
Alibalance sababu ya msibaJk anajaribu kubalance mambo. Or else angekua ndani...
Hahahah full kupigwa mabooster. Poleni sana. Jitahidini muyaishi maisha haya jamaniUnajua hawa wazee wetu, lifestyle yao miaka hiyo ilikuwa ni kuoa mke mchapakazi ili kutafuta nae maisha sasa maisha yakishapatikana yule mke ghafla anakosa mvuto anaonekana kituko wanaanza sasa kutaka kurevege walichokosa wakati wa ujana kipindi wanachafu kunuka hakuna mtu anawataka.
Ndio maana vijana now days wanashauriwa kuanza hustling mapema ila unakuwa smart unakamatia pisi kali na unakuwa unahang nazo za kutosha. Ukifika ile age unatulia na mkeo wako wa ujanani huku tayari umeshachakaza pisi kali.
Sasa wazee wanataka kulipa maisha ya ujana na huku mita ya umri inasoma age ni 70+. Huo umri sio tena wakuruka na vimada.
Huo umri wa kunywa kahawa safi, kutazama mifugo, kucheza na wajukuu, kuandaa holiday feast watoto na wajukuu waje kula sikukuu na mzee,kusafiri kufanya utalii wa ndani wa chakula na kubadili hali ya hewa. Kupanda mauwa na kuyatunza. Kufuta gari zako ziwe zinang'aa muda wote, kushauri vijana na kuwaguide.
Mzee anataka kukimbizana na vijana. Mimi yule Kylin nikipewa hapa kwanza nabidi nipate kama wiki moja hivi yya kula vizuri vyakula vya kujaza mwili nishati, ninywe maji mengi ndipo nikutane nae nimchoshe siku tatu mfululizo.
Mzee wa miaka 70+ anabwia viagra anataka kumchosha binti mbichi wa 30+.
Msyuuuuuuuuu
Na wewe umekosea.alitakiwa arithi kile alichotafuta nacho marehemu Ila vile alivyomkuta navyo asiviangalie Mana hajui vilivyopatikana.Pole Jack ...mimi kama mwenyekiti msaidizi wa madangaji tanzania nimesikitishwa na hii hukumu,ila mwenzetu ulikosea sana ulitakiwa uwa include watoto wa mke wa kwanza kwenye urithi ikiwezekana mkae kama familia mjue mnagawana vipi...sasa wewe urithi wote ni wako na wanao...mbona hata haitaji ujuzi kutilia shaka haya maamuzi...??? hata kama alifanya kosa kuandika hivyo ungekua na chembe ya ubinadamu ungefikiria watoto wake wa mke wa kwanza na kumuomba Mengi aandike kwa watoto wote,ila mwenzangu sijui ni u-selfishness ama roho ya tamaa..leo unaachwa wazi...pole lakini
Hahaha mkuu nisamehe plz nisameheWakiwatazama akina kim Kardashian au akina Jlo wanaona hapana na sisi yale maisha Iazima tunaishi. Anasahau kuwa wale wenzake ni Golf fish yeye ni kibua.
Ni upuuzi tu. Mirathi si kitu cha kugombania,halafu anajiweza asipoangalia atakufa hao watoto anaowatafutia haki zao wapate tabu.Ana kauli yake eti anatafuta haki za wototo wake
Yes. Na hata sasa. Ili kuepusha aibu.
Sasa si useme nini kimetokea, we unadhani sisi wote ni majudge kama ww
Hakuna hicho kitu mkuu. Unachozungumza ni ndoa dhahania ambayo kimsingi sio ndoa kamili lakini pia hata hiyo haikamiliki kwa kukaa miezi 6 tu.Mkuu mtafute mwanasheria akupe updates kuhusu kukaa na mwanamke miezi 6 hata kama mjafunga ndoa.
Ana bwana mpya siku hizi mzingu..Ushauri kwa watoto wa Mengi...Msijitwishe Dhambi...Huyu Ni mama yenu mdogo..Kaeni nae mkubaliane wadogo zenu wale wapate matumizi yote kama Baba Yao alivyokuepo wakikua wajoin kampuni.
KWA Jack achana na matapeli wa mjini watakula japo vijisenti vidogo ulivyonavyo wakikudanganya...anzisha biashara yako una jina la mzee pambana utatoka.
JENGA harmony na wale watoto wakubwa yaishe basi ...
Hakuna hicho kitu mkuu. Unachozungumza ni ndoa dhahania ambayo kimsingi sio ndoa kamili lakini pia hata hiyo haikamiliki kwa kukaa miezi 6 tu.
Sasa si useme nini kimetokea, we unadhani sisi wote ni majudge kama ww
He noma sana, tatzo mfano wake umvaa uhuskmzabzab leo hii amekuwa mama?
Yes. Very. Jk ananikwaza sana kufukia mambo. Roho yake nzuri inatunyima furaha wengine ili kuficha aibuSo, possibly hapa kutakuwa na habari ya homicide kama uchunguzi yakinifu ukifanyika.
Marehemu hajaheshimiwa hata kidogo japo yule binti hakustahili kuwa msimamizi wa mirathi.
Yaan nilikua naangalia vicheche wa insta wakiandika na kutuponda kwamba tunamwonea wivu goldigger. Katika mtandao ambao watu hawana akili ni insta. Yaan walimjaza ujinga balaa.Dah kulamba 100% ya urithi hata watoto wa primary level wanaweza kususpect kuwa something is fishy about the whole thing.
Ah kila mwanamke yupo onna mission...kuoata mwanaume mwenye mihela....wanawake wanaangalia lofe lipo wapi na sio kwamba wanapenda.
Kwani mzee alikuwa na shida sana na watoto hadi amwambie hivyo?Ah kila mwanamke yupo onna mission...kuoata mwanaume mwenye mihela....wanawake wanaangalia lofe lipo wapi na sio kwamba wanapenda.
Yeye alichobugi ni kwamba kabla ya kuzaa wale watoto angempiga pin kibabu. Kwanza weka billon tatu kwenye account yangu ndio nakuzalia. Tena una mwambia kabisa mzee kuwa hizo mali za huko nyuma ulizochuma na mkewe ni haki ya hao watoto wako wakubwa. Mie niwekee fungu langu kabisa ndio nakuzalia ili nisije kuvutana shati na watoto wako.
Ukishaona mdada anatembea na mtu mzima au mume wa mtu ujue huyo hana aibu kbs. Unaanzaje kumvulia baba yako nguo!?Kuna wadada hawana aibu kabisa aisee.