Worst architectural building along Ali Hassan Mwinyi Road!

Worst architectural building along Ali Hassan Mwinyi Road!

nilipoliona mara ya kwanza nikaona kama wanatania,na sikuamini....hakuna design pale,no rythim,hakuna lolote ni upuuzi tu,
jengo gani lile ?na wapuuzi wenzao wakalipitisha? and still mnalitetea?
 

Hahahaha aisee.
Mie mwanzoni nilidhania ni indoor basketaball court.
Hili jengo napata shida sana kulisajili akilini lakini seems Watu wa mipango-miji hawana taste ya ubunifu
 
Heee......kumbe JF ina "maachitekcha" wengi hivi!?
 
  • Thanks
Reactions: Paw

Hahahaha aisee.
Mie mwanzoni nilidhania ni indoor basketaball court.
Hili jengo napata shida sana kulisajili akilini lakini seems Watu wa mipango-miji hawana taste ya ubunifu

Mipangomiji haina kazi ya kusajili muonekano wa jengo.

Kazi yake ni kuangalia uimara wa jengo, na masharti ya zoning tu kama jengo la biashara limejengwa eneo la biashara, urefu kwenda juu kama zone ina kikomo, na umbali unaotakiwa kutoka barabarani.

Uzuri na ubaya wa muonekano wa jengo sio kazi yao
 
Nami ntapita ili nilione maana limezua gumzo, utata!
 
Mtu akikwambia anachora picha ya Michael Jackson akianza kuchora kiatu usimshambile kuwa Michael Jackson siyo kiatu. Mwache amalize kuchora kwanza. Siyo kila mchoraji anaanza na sura, wengine huanza na kiatu. Unaweza kujifunza kitu kipya kwa kuwa na subira.
Jengo halijaisha, tayari linafanyiwa ratings!!!
 
nilipoliona mara ya kwanza nikaona kama wanatania,na sikuamini....hakuna design pale,no rythim,hakuna lolote ni upuuzi tu,
jengo gani lile ?na wapuuzi wenzao wakalipitisha? and still mnalitetea?


Hahahaha aisee.
Mie mwanzoni nilidhania ni indoor basketaball court.
Hili jengo napata shida sana kulisajili akilini lakini seems Watu wa mipango-miji hawana taste ya ubunifu
asante wadau, naona kinaeleweka sasa kuwa uchafuzi wa mazingira, eyesores, ni pamoja na majengo yanayoharibu muonekano wa Jiji.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Mtu akikwambia anachora picha ya Michael Jackson akianza kuchora kiatu usimshambile kuwa Michael Jackson siyo kiatu. Mwache amalize kuchora kwanza. Siyo kila mchoraji anaanza na sura, wengine huanza na kiatu. Unaweza kujifunza kitu kipya kwa kuwa na subira.
Jengo halijaisha, tayari linafanyiwa ratings!!!
Mkuu lazima uwe na imagination ya kuproject kitu kizuri kinachokuja.

Hiyo fence tu mie homa, hakiwezi toka kitu kizuri hapo!
Ningeingia into details kwa nini jengo hilo limesanifiwa vibaya lakini wadau changieni kwanza kwa nini godown lijengwe sehemu ambayo essentially ni residential.
 
Mipangomiji haina kazi ya kusajili muonekano wa jengo.

Kazi yake ni kuangalia uimara wa jengo, na masharti ya zoning tu kama jengo la biashara limejengwa eneo la biashara, urefu kwenda juu kama zone ina kikomo, na umbali unaotakiwa kutoka barabarani.

Uzuri na ubaya wa muonekano wa jengo sio kazi yao
Tatizo kubwa la watanzania walioajiriwa ni kutetea muonekano wa kilichomo ndani ya mafaili yao ni si zaidi ya hapo.

Itahitajika juhudi kubwa kumlazimisha mtanzania kufanya mambo ya ziada ili kuendeleza kazi yake kwa manufaa ya umma.

Kwa maoni haya ya Gaijin ,itakuwa kazi kubwa kuelezea maana halisi ya Quality Assurance kwa maana ya mipango miji, kwa vile dictates za assurance hizo hazijulikani zinatoka wapi.

Nina uhakika katika miji iliyoandaliwa kisasa hilo linafanyika, uozo kama huu usingeruhusiwa mahali hapi, na ndiyo maana kunakuwepo na models za jengo ili liweze kupitishwa.
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na kuwa mimi si mchoraji wa majengo, lakini jengo hili karibu na Ubalozi wa Kenya linakera hata kulitazama!
Godown si godown , ofisi si ofisi.
Mkuu Maso, wewe tuu na wasiwasi wako, don't judge the book by its cover, subiri liishe ni wewe ndio utarudi humu kulisifu!.

Kwa Mlimani City ilipoanza ilianzaje?!.

Hiyo sehemu ya ukuta wa juu isiyo na madirisha ni eneo la ku erect billboards, likiisha kamilika, litapendeza ajabu na hata amini kuwa ndilo lile ulilolikandia humu!.
P.
 
Mkuu Maso, wewe tuu na wasiwasi wako, don't judge the book by its cover, subiri liishe ni wewe ndio utarudi humu kulisifu!.

Kwa Mlimani City ilipoanza ilianzaje?!.

Hiyo sehemu ya ukuta wa juu isiyo na madirisha ni eneo la ku erect billboards, likiisha kamilika, litapendeza ajabu na hata amini kuwa ndilo lile ulilolikandia humu!.
P.
Ha ha Ha!
Mkuu Pasco, we have all the patience!

Lakini nyota njema huonekana mapema.
 
Uwezo wa kufikiri wa mwanzisha mada na wewe ndio unaotia mashaka na wala si uwezo wa mchoraji.

Hivi kwa akili zenu, ni mchoraji ndio huamua cha kuchora au huambiwa achore kitu kitakachokuja kujengwa kutokana na matakwa ya mteja?

Huyu aliyeanzisha mada amekiri kuwa hajui ni ofisi, godown au kitu gani, lkn bado kwa akili yake fupi akaendelea kukosoa. Kwa hiyo mnataka kusema nyie ndio mna akili saana kuliko mwenye kumiliki jengo. Au mnaamini kuwa mchoraji anatakiwa ajichoree anachotaka yeye na sio kuchora alichoambiwa na mteja wake?

Kazi ipo, GTs hao!

Unajiona una akiiiiiiiili? Mchoraji anachora alichoambiwa na mteja kibunifu ndo maana anafuatwa na kulipwa ili achore, otherwise mmiliki angechora mwenyewe. Umeandika mengi lakini ukasahau kuwa mchoraji ni artist kazi ipo GT huyo.
 
hivi unajua kwa nini majengo mengi yana vioo? (green house)
 
Mtu akikwambia anachora picha ya Michael Jackson akianza kuchora kiatu usimshambile kuwa Michael Jackson siyo kiatu. Mwache amalize kuchora kwanza. Siyo kila mchoraji anaanza na sura, wengine huanza na kiatu. Unaweza kujifunza kitu kipya kwa kuwa na subira.
Jengo halijaisha, tayari linafanyiwa ratings!!!

Ukimuuliza mtu akutajie simba alivyo, halafu akanza kwa kusema Ana mkia basi jua huyo mtu hamjui simba kwasababu hata ngombe na mbuzi na wanyama wengine wana mikia!
 
Ukimuuliza mtu akutajie simba alivyo, halafu akanza kwa kusema Ana mkia basi jua huyo mtu hamjui simba kwasababu hata ngombe na mbuzi na wanyama wengine wana mikia!

Kwa maana hiyo utataka akutajie DNA sequecy ya Simba kwa sababu Simba hana kitu chochote cha pekee zaidi ya DNA sequency...
 
Nina uhakika katika miji iliyoandaliwa kisasa hilo linafanyika, uozo kama huu usingeruhusiwa mahali hapi, na ndiyo maana kunakuwepo na models za jengo ili liweze kupitishwa.

Kabla ya yote tuonyeshe huo uhakika umeupatia wapi.

Tuwekee reference na sio kutaka tuamini kauli yako kuwa ni ya ukweli usio shaka.



Tatizo kubwa la watanzania walioajiriwa ni kutetea muonekano wa kilichomo ndani ya mafaili yao ni si zaidi ya hapo.

Itahitajika juhudi kubwa kumlazimisha mtanzania kufanya mambo ya ziada ili kuendeleza kazi yake kwa manufaa ya umma.

Kwa maoni haya ya Gaijin ,itakuwa kazi kubwa kuelezea maana halisi ya Quality Assurance kwa maana ya mipango miji, kwa vile dictates za assurance hizo hazijulikani zinatoka wapi.


Hakuna katika mji wowote ule ambao watu watu wachache katika ofisi ya mipango miji wanaowaamulia wateja mionekano ya majengo yao.

Kwa sababu, kwanza hiyo ni sawa na kuingilia watu uhuru wao wa kujieleza (yes, majengo ni moja ya njia ya kujieleza). (Linganisha na: jee ni haki kwa Wizara ya Ustawi wa Jamii kutuamulia wakazi wa Tanzania namna ya kuonekana kwenye mipangilio ya mavazi yetu ya kila siku?)

Pia, watu wa mipangomiji wanaelewa kuwa miji inaevolve na kile kisichokubalika sasa kimuonekano kinaweza kuonekana kizuri katika siku za usoni. Hilo lishathibishwa na ujenzi wa yale majengo yanayoitwa modern.

Kwa hiyo kinachofanyika ni kufuata kanuni za ujenzi kwenye masuala ya uimara na usalama pamoja na zoning. Uzuri wa nje wa jengo hauwezi kuwa kazi ya mipango miji kwa sababu mbali na sababu nilizozitaja hapo kabla, beauty ni subjective. Kama kikundi cha watu mmoja hadi sita huko Wizara ya Ujenzi kinadhani jengo baya, pengine kuwa watu zaidi ya milioni wanaodhani ni zuri.

Kama upo katika mtaa ambao umepewa hadhi ya heritage, watakulazimisha muonekano wake uwe unaendana na usanifu wa enzi za majengo yaliyozunguka, lakini si vyenginevyo

Ningependa nikutanabahishe kuwa majengo ya aina hiyo unayoyalalamikia yamejaa tele katika majiji ya nchi zilizoendea

Hizi ni shopping malls zilizopo Japan na Marekani. Hayo majengo yanatofauti gani kwa nje na hilo la Bagamoyo Road?

052.jpg


mall380.jpg
 
Mtu akikwambia anachora picha ya Michael Jackson akianza kuchora kiatu usimshambile kuwa Michael Jackson siyo kiatu. Mwache amalize kuchora kwanza. Siyo kila mchoraji anaanza na sura, wengine huanza na kiatu. Unaweza kujifunza kitu kipya kwa kuwa na subira.
Jengo halijaisha, tayari linafanyiwa ratings!!!

Ukimuuliza mtu akutajie simba alivyo, halafu akanza kwa kusema Ana mkia basi jua huyo mtu hamjui simba kwasababu hata ngombe na mbuzi na wanyama wengine wana mikia!
 
masopakyindi

Huko katika miji uliyoiita "imeandaliwa kisasa", kumewahi kuwa na movement ya Expressionist Architecture.

Kwa mifano hii niliyokuwekea, ingekuwa wewe ndio Bwana Mipangomiji si ungeyapiga marufuku haya?


Goetheanum.jpg



260px-Babelsberg_Einsteinturm.jpg



LeCorbChapelleNotreDameduHautSmall.jpg



*Tanabahi

Haya ni muongoni mwa majengo yenye kuthaminiwa katika ulimwengu wa usanifu wa majengo
 
Last edited by a moderator:
masopakyindi

Huko katika miji uliyoiita "imeandaliwa kisasa", kumewahi kuwa na movement ya Expressionist Architecture.

Kwa mifano hii niliyokuwekea, ingekuwa wewe ndio Bwana Mipangomiji si ungeyapiga marufuku haya?


Goetheanum.jpg



260px-Babelsberg_Einsteinturm.jpg



LeCorbChapelleNotreDameduHautSmall.jpg



*Tanabahi

Haya ni muongoni mwa majengo yenye kuthaminiwa katika ulimwengu wa usanifu wa majengo

Mkuu uko miangomiji au vipi?
Mbona sioni pointi yako kulinganisha na mada.
Au unataka kuonyesha utetezi wako ili kuhalalisha uozo uliopo?

At any rate hiyo mifano yako ina blend vipi na "ukisasa" nilioonglea.

Kama moyoni mwako uhalali wa uozo kama wa jengo linaloongelewa ni kwa sababu mafaili ya mipango miji iko sawa basi safari ya kupata miji safi , endelevu na inayopendeza bado ni ndefu sana.
 
Last edited by a moderator:
Kabla ya yote tuonyeshe huo uhakika umeupatia wapi.

Tuwekee reference na sio kutaka tuamini kauli yako kuwa ni ya ukweli usio shaka.






Hakuna katika mji wowote ule ambao watu watu wachache katika ofisi ya mipango miji wanaowaamulia wateja mionekano ya majengo yao.

Kwa sababu, kwanza hiyo ni sawa na kuingilia watu uhuru wao wa kujieleza (yes, majengo ni moja ya njia ya kujieleza). (Linganisha na: jee ni haki kwa Wizara ya Ustawi wa Jamii kutuamulia wakazi wa Tanzania namna ya kuonekana kwenye mipangilio ya mavazi yetu ya kila siku?)

Pia, watu wa mipangomiji wanaelewa kuwa miji inaevolve na kile kisichokubalika sasa kimuonekano kinaweza kuonekana kizuri katika siku za usoni. Hilo lishathibishwa na ujenzi wa yale majengo yanayoitwa modern.

Kwa hiyo kinachofanyika ni kufuata kanuni za ujenzi kwenye masuala ya uimara na usalama pamoja na zoning. Uzuri wa nje wa jengo hauwezi kuwa kazi ya mipango miji kwa sababu mbali na sababu nilizozitaja hapo kabla, beauty ni subjective. Kama kikundi cha watu mmoja hadi sita huko Wizara ya Ujenzi kinadhani jengo baya, pengine kuwa watu zaidi ya milioni wanaodhani ni zuri.

Kama upo katika mtaa ambao umepewa hadhi ya heritage, watakulazimisha muonekano wake uwe unaendana na usanifu wa enzi za majengo yaliyozunguka, lakini si vyenginevyo

Ningependa nikutanabahishe kuwa majengo ya aina hiyo unayoyalalamikia yamejaa tele katika majiji ya nchi zilizoendea

Hizi ni shopping malls zilizopo Japan na Marekani. Hayo majengo yanatofauti gani kwa nje na hilo la Bagamoyo Road?

052.jpg


mall380.jpg

Kuna jamaa hapo awali( Lole Gwakia) kakupa kinaga ubaga kwa nini hilo jengo halina hadhi ya kuwa mall.

Nakupa changamoto la moja kwa moja , hebu onyesha parking lot kwenye jengo lilopitishwa na "wataalam" wa mipango miji, sawasawa na picha zako.
 
Back
Top Bottom