Worst architectural building along Ali Hassan Mwinyi Road!

Worst architectural building along Ali Hassan Mwinyi Road!

Uwezo wa kufikiri wa mwanzisha mada na wewe ndio unaotia mashaka na wala si uwezo wa mchoraji.

Hivi kwa akili zenu, ni mchoraji ndio huamua cha kuchora au huambiwa achore kitu kitakachokuja kujengwa kutokana na matakwa ya mteja?

Huyu aliyeanzisha mada amekiri kuwa hajui ni ofisi, godown au kitu gani, lkn bado kwa akili yake fupi akaendelea kukosoa. Kwa hiyo mnataka kusema nyie ndio mna akili saana kuliko mwenye kumiliki jengo. Au mnaamini kuwa mchoraji anatakiwa ajichoree anachotaka yeye na sio kuchora alichoambiwa na mteja wake?

Kazi ipo, GTs hao!

Kwa hiyo kwa akili yako fupi kazi ya mchoraji ni kuchora tu kama robot - yaani akibonyezwa tu anachora bila hata kutumia ubunifu wowote wala weledi aliousomea na kuufanyia kazi kwa miaka mingi. Wewe sio tu kuwa una akili fupi bali hujui hata mchakato wa uchoraji wa jengo, majukumu ya mchoraji na ujenzi wenyewe ukoje.
 
"Houses are built to live in, and not to look on."

Francis Bacon, '1st Baron Verulam' (1561 - 1626)
English Philosopher & Statesman

Mkuu you are advised to live this phrase.....
"Architecture is the mother of all arts and the finest architecture has the tendency to stir the soul.

It is not only about bricks, drawings and paint but there should be a lot of application of mind and soul into it, to make it a great piece of architecture.

According to Michael Graves "architecture is about the cultural setting and the ambience".

Only a trained eye can identify the beauty that is hidden behind a good work of architecture.

An architect is the drawer of dreams because it is like a piece of frozen music that is in space. The difference between an architect and an artist is that an artist works with his heart whereas an architect works with his head.

Architecture stands against the odds of time and passes from generation to generation like a piece of marvel such as the TajMahal."

Take a deep breath and give that a think, stay blessed mkuu!
 
Bwana we, it takes fools to develop ,draw and build a mall on a main highway like AH Mwinyi rd.
It takes bigger fools at the City Hall to approve them!
Results
- no parking
-difficult access and egress
-long ensuing ques
-padestrians will be knocked over frequently and more vehicular accidents

Call it a lose-lose scenario.

False analysis.
Most modern buildings are being built with the underground parking facility.
Some mall buildings looks like godown depending on its ground size and the site map
Last but not the list is the budget.
 
attachment.php
 
False analysis.
Most modern buildings are being built with the underground parking facility.
Some mall buildings looks like godown depending on its ground size and the site map
Last but not the list is the budget.

Hapa due architectural diligence haikufanyika.
When you talk of MOST buildings, we are talking of THIS building, so please refer to the present and live scenario.

Bwana we, it takes fools to develop ,draw and build a mall on a main highway like AH Mwinyi rd.
It takes bigger fools at the City Hall to approve them!
Results
- no parking
-difficult access and egress
-long ensuing ques
-padestrians will be knocked over frequently and more vehicular accidents

Call it a lose-lose scenario.
 
Sheria namba ngapi hiyo mkuu?

Kaa ujue kuwa ni mteja hueleza mahitaji yake na mchoraji huchora. Sasa wewe mchoraji bingwa ukiambiwa uchore Kanisa utachora msikiti kwa kuwa hapo karibu kuna misikiti mingi imezunguka. Gharama ya kujenga majengo haifanani, kumbuka hilo nalo pia.

Wakati Mafuta House inajengwa, niambie majengo mengine yanayozunguka ambayo yanafanana na Mafuta House

Chukua like mkuu wewe ndio GT
 
Watu kwa kujifanya wanajua kazi za wenzao tu hawajambo
Wakati wao hata kuchora fido dido kazi

Bwana mudogo inaelekea wewe ndiyo hujui kinachoongelewa hapa, kama kikombe cha shule hiyo kilikupita we sepa tu.
Vibwagizo vilivyopo ni vya uhakika.
Architects like their works to be appreciated, if not, kufuga kuku like the rest of you can be an option.
 
Kwa hiyo kwa akili yako fupi kazi ya mchoraji ni kuchora tu kama robot - yaani akibonyezwa tu anachora bila hata kutumia ubunifu wowote wala weledi aliousomea na kuufanyia kazi kwa miaka mingi. Wewe sio tu kuwa una akili fupi bali hujui hata mchakato wa uchoraji wa jengo, majukumu ya mchoraji na ujenzi wenyewe ukoje.

Mwenye akili nzuri na ndefu ni wewe usiyejua hapo pamejengwa nini na bado unakosoa. Yaani unajifanya wewe na huyo masikio mwenzako ndio mna akili saaaaana kuliko mwenye jengo hilo.

Architect kazi yake sio kupamba kaburi. Kwa mfano, hilo jengo kama linavyoonekana, yawezekana ni ofisi kwenye ground na juu ni storage facilities. Sasa nyinyi mafundi mdomo mnadhani mnajua zaidi mahitaji ya mwenye jengo kiasi cha kuleta principles zenu za kutunga.

Nimemuuliza huyo mwenzako anayejifanya yeye ndio bingwa wa sheria ni sheria namba ngapi imevunjwa kakaa kimya kwenye hilo anachofanya ni kujaza maneno ya kwenye khanga.

Mimi nakuhakikishia kwamba, MWENYE JENGO ANAJUA ZAIDI MAHITAJI YAKE KULIKO MIDOMO YENU INAVYOWEZA KUMKOSOA
 
Na wewe mtoa mada kwa nini umekifotoa kistarlet changu bila idhini!! Hii si ni kuingilia uhuru binafsi....utanilipa ngoja niwatafute wanasheria wangu
 
Bwana mudogo inaelekea wewe ndiyo hujui kinachoongelewa hapa, kama kikombe cha shule hiyo kilikupita we sepa tu.
Vibwagizo vilivyopo ni vya uhakika.
Architects like their works to be appreciated, if not, kufuga kuku like the rest of you can be an option.

Sasa ndio umeongea nini?
 
Mkuu you are advised to live this phrase.....

An architect is the drawer of dreams because it is like a piece of frozen music that is in space. The difference between an architect and an artist is that an artist works with his heart whereas an architect works with his head.

Take a deep breath and give that a think, stay blessed mkuu!

Umeandika kitu ambacho mwenyewe hukielewi, sasa ngoja nikueleweshe.

Architect hasomei kurembesha jengo, si hivyo. Architect anatakiwa ku - meet technical expectation ya kitu kinachojengwa.

Nafikiri mwenye jengo ndio anajua zaidi ni nini anaplan kufanya hapo. Sasa kama alimwambia Architect kuwa anataka shopping stalls kwenye ground floor na juu kuwe na sehemu ya kustawisha UYOGA ambao ndio utauzwa hapo chini, kuna haja ya mwenye jengo kujali kwamba macho yako yanakereka?

Acha kujitia ufundi mwingi kwenye kazi za watu. Unaweza kuona mtu ameunda gari baya kabisa kwa sura, ukaanza kuleta maneno mengi ya kijinga kama haya baadae unakuta hilo gari ni bullet proof na material mazito ndio yalikuwa muafaka.


Nimekuuliza sheria namba ngapi inakataza kujenga jengo lisilofanana na mengine yaliopo hujajibu.
 
Je halikufurahishi?. Kama unapita pale ukiwa unaendesha gari uwe unafumba macho usilione!
 
Umeandika kitu ambacho mwenyewe hukielewi, sasa ngoja nikueleweshe.

Architect hasomei kurembesha jengo, si hivyo. Architect anatakiwa ku - meet technical expectation ya kitu kinachojengwa.

Nafikiri mwenye jengo ndio anajua zaidi ni nini anaplan kufanya hapo. Sasa kama alimwambia Architect kuwa anataka shopping stalls kwenye ground floor na juu kuwe na sehemu ya kustawisha UYOGA ambao ndio utauzwa hapo chini, kuna haja ya mwenye jengo kujali kwamba macho yako yanakereka?

Acha kujitia ufundi mwingi kwenye kazi za watu. Unaweza kuona mtu ameunda gari baya kabisa kwa sura, ukaanza kuleta maneno mengi ya kijinga kama haya baadae unakuta hilo gari ni bullet proof na material mazito ndio yalikuwa muafaka.


Nimekuuliza sheria namba ngapi inakataza kujenga jengo lisilofanana na mengine yaliopo hujajibu.
Si watu wote wanafanya kazi idara ya sheria kutambua na kuwa na akili nzuri tu ya kutambua kitu kibovu.
Kitu kibovu hakihalalishwi na sheria nzuri.

Kama wewe akili hiyo huna ni bahati mbaya sana kwako
Sasa kama huna utaalam wa kuchangia hapa ni vema ukalipumzisha kopo lako la madongo kuinama.

Nimeona kuna posti ya architect hapo juu yenye mawazo yenye mantiki, sasa wewe huna akili ya kukutosha kuchambua mambo haya kwa vile training yako haikuruhusu.

KEEP QUITE WHEN BRAINS ARE AT WORK!
 
Si watu wote wanafanya kazi idara ya sheria kutambua na kuwa na akili nzuri tu ya kutambua kitu kibovu.
Kitu kibovu hakihalalishwi na sheria nzuri.

Kama wewe akili hiyo huna ni bahati mbaya sana kwako
Sasa kama huna utaalam wa kuchangia hapa ni vema ukalipumzisha kopo lako la madongo kuinama.

Nimeona kuna posti ya architect hapo juu yenye mawazo yenye mantiki, sasa wewe huna akili ya kukutosha kuchambua mambo haya kwa vile training yako haikuruhusu.

KEEP QUITE WHEN BRAINS ARE AT WORK!

Sijaelewa unachosema, naona mipovu tu.

Kumbe hilo jengo ni BOVU?

Kama huyo aliyetoa hayo mawao unayoyaita mazuri ni Architect, basi kumbuka aliyechora lile jengo naye ni Architect. Tofauti yao ni kwamba, mmoja ana dhamana ya ku - meet Technical Expectations za kinachotakiwa kufanyika kwenye jengo na mwingine anaongea kukufurahisha wewe.

Nakukumbusha tena kuwa ANAYEJENGA JENGO NDIO ANAYEJUA ANATAKA KUFANYA NINI, ANAHITAJI JENGO LA NAMNA GANI na nadhani hilo litatimia.
 
Hilo monstrosity linafaa kuitwa "Nyangumi House".

Tuangalie, labda wanaweza kuli rescue na finishing maana halijaisha bado.

Ila limekaa ki-nyambizi nyambizi.
 
Umeandika kitu ambacho mwenyewe hukielewi, sasa ngoja nikueleweshe.

Architect hasomei kurembesha jengo, si hivyo. Architect anatakiwa ku - meet technical expectation ya kitu kinachojengwa.

Nafikiri mwenye jengo ndio anajua zaidi ni nini anaplan kufanya hapo. Sasa kama alimwambia Architect kuwa anataka shopping stalls kwenye ground floor na juu kuwe na sehemu ya kustawisha UYOGA ambao ndio utauzwa hapo chini, kuna haja ya mwenye jengo kujali kwamba macho yako yanakereka?

Acha kujitia ufundi mwingi kwenye kazi za watu. Unaweza kuona mtu ameunda gari baya kabisa kwa sura, ukaanza kuleta maneno mengi ya kijinga kama haya baadae unakuta hilo gari ni bullet proof na material mazito ndio yalikuwa muafaka.


Nimekuuliza sheria namba ngapi inakataza kujenga jengo lisilofanana na mengine yaliopo hujajibu.

Ha ha ha !!
Inaelekea mkuu wewe ndiye umechora uozo huo na kuuweka mbele ya kadamnasi.

No doubt huo ni uozo ghali sana on prime land!
Kama ulisomea pale Ardhi basi inaelekea lecturers wako hawakufanya kazi inayotazamiwa, you have failed to win at least my heart.

Watu kama wewe hawatafutwi baada ya kazi kama hiyo.

If at all you might call yourself a proffessional it is your duty to advise your client and produce the best possible design given the prime plot, otherwise nyie ndo mtakuwa contracted kujenga pit latrines hata city centre!!

Kama umetoka shule na mawazo ya kufuga uyoga kwenye prime plot kama along AH Minyi rd, basi you are gone mad, bonkers! And proffessionally corrupt and incompetent!

This is Part I
(Part II nakuletea shule uliyopaswa kuifahamu)
 
Na wewe mtoa mada kwa nini umekifotoa kistarlet changu bila idhini!! Hii si ni kuingilia uhuru binafsi....utanilipa ngoja niwatafute wanasheria wangu
Ha ha ha!!
Kunradhi chalii wangu!
 
Back
Top Bottom