Worst architectural building along Ali Hassan Mwinyi Road!

Worst architectural building along Ali Hassan Mwinyi Road!

Uwezo wa kufikiri wa mwanzisha mada na wewe ndio unaotia mashaka na wala si uwezo wa mchoraji.

Hivi kwa akili zenu, ni mchoraji ndio huamua cha kuchora au huambiwa achore kitu kitakachokuja kujengwa kutokana na matakwa ya mteja?

Huyu aliyeanzisha mada amekiri kuwa hajui ni ofisi, godown au kitu gani, lkn bado kwa akili yake fupi akaendelea kukosoa. Kwa hiyo mnataka kusema nyie ndio mna akili saana kuliko mwenye kumiliki jengo. Au mnaamini kuwa mchoraji anatakiwa ajichoree anachotaka yeye na sio kuchora alichoambiwa na mteja wake?

Kazi ipo, GTs hao!

Sasaa wewe tuambie ni zuri au baya? Hata lingekuwa godown lina takiwa lireflect matumizi bila kuathiri uzuri.
 
Back
Top Bottom