Worst architectural building along Ali Hassan Mwinyi Road!

Worst architectural building along Ali Hassan Mwinyi Road!

Mkuu uko miangomiji au vipi?
Mbona sioni pointi yako kulinganisha na mada.
Au unataka kuonyesha utetezi wako ili kuhalalisha uozo uliopo?

At any rate hiyo mifano yako ina blend vipi na "ukisasa" nilioonglea.

Kama moyoni mwako uhalali wa uozo kama wa jengo linaloongelewa ni kwa sababu mafaili ya mipango miji iko sawa basi safari ya kupata miji safi , endelevu na inayopendeza bado ni ndefu sana.

Nilidhani utakuja na ushahidi wa huko ulikoupata uhakika kuwa katika Miji yenye mpangilio wa kisasa wanaangalia uzuri na urembo wa jengo, kumbe wapi umebaki na matusi ya rejareja

I double dare you uje na ushahidi unaoonyesha kuwa upo mji huo duniani sasa hivi ambapo mamlaka ya mipangomiji inaweza kuziwia kibali kwa sababu jengo ni mbaya kimuonekano.

*Nimekuwekea hayo majengo kwa sababu yapo katika Miji kuanzia, Berlin, Munich, London, New York hadi Tokyo ambayo ni miji ya kisasa

Laa kama hiyo si ya kisasa kwa mtazamo wako, tupe definition ya kisasa uitakayo wewe tukupe ushahidi wa uwepo wa majengo "eyesore" kama ulivyoyaita.




Kuna jamaa hapo awali( Lole Gwakia) kakupa kinaga ubaga kwa nini hilo jengo halina hadhi ya kuwa mall.

Nakupa changamoto la moja kwa moja , hebu onyesha parking lot kwenye jengo lilopitishwa na "wataalam" wa mipango miji, sawasawa na picha zako.

Kwa hiyo sasa hoja ni ukosefu wa parking na sio u"eyesore" wake?

Nimekuletea ushahidi wa malls zinavyoonekana huko ambako nadharia nzima ya mipango Miji ilipoanzia kabla ya hata Dar-Es-Salaam ku-exist, umeamua kuja na hadithi nyengine

Kutupia lawama ofisi za mipangomiji kwenye hili ni kuonyesha sifa ya Mtanzania tu, blaming everybody else but himself.

Kosa-kama lipo ni la architect na client wake, si la mipangomiji kabisa.
 
Nilidhani utakuja na ushahidi wa huko ulikoupata uhakika kuwa katika Miji yenye mpangilio wa kisasa wanaangalia uzuri na urembo wa jengo, kumbe wapi umebaki na matusi ya rejareja

I double dare you uje na ushahidi unaoonyesha kuwa upo mji huo duniani sasa hivi ambapo mamlaka ya mipangomiji inaweza kuziwia kibali kwa sababu jengo ni mbaya kimuonekano.

*Nimekuwekea hayo majengo kwa sababu yapo katika Miji kuanzia, Berlin, Munich, London, New York hadi Tokyo ambayo ni miji ya kisasa

Laa kama hiyo si ya kisasa kwa mtazamo wako, tupe definition ya kisasa uitakayo wewe tukupe ushahidi wa uwepo wa majengo "eyesore" kama ulivyoyaita.






Kwa hiyo sasa hoja ni ukosefu wa parking na sio u"eyesore" wake?

Nimekuletea ushahidi wa malls zinavyoonekana huko ambako nadharia nzima ya mipango Miji ilipoanzia kabla ya hata Dar-Es-Salaam ku-exist, umeamua kuja na hadithi nyengine

Kutupia lawama ofisi za mipangomiji kwenye hili ni kuonyesha sifa ya Mtanzania tu, blaming everybody else but himself.

Kosa-kama lipo ni la architect na client wake, si la mipangomiji kabisa.

Umeanza ligi hapa. :becky::becky::becky: kuna ukweli na unayosema lakini jengo limekaa kama power plant tena ya north korea.
 
Nilidhani utakuja na ushahidi wa huko ulikoupata uhakika kuwa katika Miji yenye mpangilio wa kisasa wanaangalia uzuri na urembo wa jengo, kumbe wapi umebaki na matusi ya rejareja

I double dare you uje na ushahidi unaoonyesha kuwa upo mji huo duniani sasa hivi ambapo mamlaka ya mipangomiji inaweza kuziwia kibali kwa sababu jengo ni mbaya kimuonekano.

*Nimekuwekea hayo majengo kwa sababu yapo katika Miji kuanzia, Berlin, Munich, London, New York hadi Tokyo ambayo ni miji ya kisasa

Laa kama hiyo si ya kisasa kwa mtazamo wako, tupe definition ya kisasa uitakayo wewe tukupe ushahidi wa uwepo wa majengo "eyesore" kama ulivyoyaita.






Kwa hiyo sasa hoja ni ukosefu wa parking na sio u"eyesore" wake?

Nimekuletea ushahidi wa malls zinavyoonekana huko ambako nadharia nzima ya mipango Miji ilipoanzia kabla ya hata Dar-Es-Salaam ku-exist, umeamua kuja na hadithi nyengine

Kutupia lawama ofisi za mipangomiji kwenye hili ni kuonyesha sifa ya Mtanzania tu, blaming everybody else but himself.

Kosa-kama lipo ni la architect na client wake, si la mipangomiji kabisa.

Jengo lile its both, an eyesore na vile vile its not fuctional.
Maneno mengi hayatabadili ukweli huo.
 
Jengo lile its both, an eyesore na vile vile its not fuctional.
Maneno mengi hayatabadili ukweli huo.

Hiyo kuhusu kuwa eyesore tumeshaona kuwa huna hoja inayoweza kubeba lawama zako kwa mipangomiji.

Tuje kwenye functionality yake sasa

Unaposema ni not functional unakusudia nini?

Weka wazi tujadili
 
Umeanza ligi hapa. :becky::becky::becky: kuna ukweli na unayosema lakini jengo limekaa kama power plant tena ya north korea.

Chikishia jiji hiloo
ImageUploadedByTapatalk1359902477.239738.jpg
 
Mambo yote bongo bana. Umeishaiona mall ya Kariakoo?

Mall la Kariakoo ukitaka kwenda shurti uwe na gumboots, scrubs and surgical gloves

Kweli mambo yote yapo Bongo

😀
 
Mall la Kariakoo ukitaka kwenda shurti uwe na gumboots, scrubs and surgical gloves

Kweli mambo yote yapo Bongo

😀

Acha kusema sema Kariakoo bana. Kariakoo haipo kwenye muungano Au wewe CCM?
 
Hiyo kuhusu kuwa eyesore tumeshaona kuwa huna hoja inayoweza kubeba lawama zako kwa mipangomiji.

Tuje kwenye functionality yake sasa

Unaposema ni not functional unakusudia nini?

Weka wazi tujadili
Just stay put.
Nondo kwa hao mediocre "proffessionals" wa mipango miji inakuja.
Jengo hilo la AH Mwinyi ni kielekezo tu.
Just stay put.
 
Huyu ndo alifaanya kazi cheki mjengo huo,ni NYUMBA YA MWALIM HUKO KIJIJI CHA SOFU WILAYA YA KISARAWE
Nyumba ya mwalim.jpg
 
Umeanza ligi hapa. :becky::becky::becky: kuna ukweli na unayosema lakini jengo limekaa kama power plant tena ya north korea.
Ha ha ha !! Hii ni kali! Lakini kweli tupu.
 
Nilidhani utakuja na ushahidi wa huko ulikoupata uhakika kuwa katika Miji yenye mpangilio wa kisasa wanaangalia uzuri na urembo wa jengo, kumbe wapi umebaki na matusi ya rejareja

I double dare you uje na ushahidi unaoonyesha kuwa upo mji huo duniani sasa hivi ambapo mamlaka ya mipangomiji inaweza kuziwia kibali kwa sababu jengo ni mbaya kimuonekano.

*Nimekuwekea hayo majengo kwa sababu yapo katika Miji kuanzia, Berlin, Munich, London, New York hadi Tokyo ambayo ni miji ya kisasa

Laa kama hiyo si ya kisasa kwa mtazamo wako, tupe definition ya kisasa uitakayo wewe tukupe ushahidi wa uwepo wa majengo "eyesore" kama ulivyoyaita.






Kwa hiyo sasa hoja ni ukosefu wa parking na sio u"eyesore" wake?

Nimekuletea ushahidi wa malls zinavyoonekana huko ambako nadharia nzima ya mipango Miji ilipoanzia kabla ya hata Dar-Es-Salaam ku-exist, umeamua kuja na hadithi nyengine

Kutupia lawama ofisi za mipangomiji kwenye hili ni kuonyesha sifa ya Mtanzania tu, blaming everybody else but himself.

Kosa-kama lipo ni la architect na client wake, si la mipangomiji kabisa.
Mkuu inelekea base yako ya information ni finyu, na iko based on solely what you only want to hear.
Ili kupresent argument yangu lazima twende na facts.
  • Jengo la AH mwinyi rd ni baya,a monstrous eyesore, kwa vyovyote vile
  • Jengo hili limepitishwa na wataalam wetu wa mipangomiji
  • Jengo hili lipo sambamba na a major transportation artery ya CBD ya jiji la DSM, na kwa wakati wowote haliwezi kuruhusiwa ku interfere na function hiyo ya barabara kama mjor artery ya jiji.
  • Eneo hili lilikuwa a RESIDENTIAL area kwa senior Govt officials
  • Jengo hili halina parking lot ku support influx ya magari makubwa au madogo yanayoweza kuwa accomodated hapo lilipojengwa jengo.
Baada ya kusema hayo, mimi ningeongeza ya fuatayo:
  1. Uozo wa jengo hili hauwezi kutenganishwa na rushwa iliyokithiri katika idara zote za mippangomiji jijini Dsm
  2. Utetezi kwa jengo hili hauhalalishi matumizi mbaya ya eneo hili ambalo linataka kuhalalisha ukaribu wa barabara kwa matumizi ya kibiashara
  3. Hatari ya kugeuza barabara ya AH Mwinyi toka status ya kuwa an arterial highway na kuwa a normal street ambayo ina ingilliana na function ya barabara hiyo naona hilo haliko bayana kwa vilaza walioko ofisi za mipangomiji.
  4. Ni ujinga na kwa kweli kukosa imagination kufikiri kuwa maofisa wa mipangomiji hawana kazi yoyote ku control arcitectural requirements za majengo yanayopelekwa kwao kwa vibali na ruksa ya kujengwa.
  5. utetezi wa Gaijin , ni narrow minded na hata mifano yake imejikita katika miji ambayo ni ya ulaya. Nungemshauri aanglie juhudi za maksudi zilizotumika kujenga miji kama Chandirgah, huko India, na ndiyo pengine anaweza kuelewa mchango wa architecture kwa town planning.
Bado ninasema kati ya proffessionls wanaotuangusha nchini ni hao katika fani ya mipangomiji, hawako objective, rushwa kibao, na end result ni kama jengo linaloonekana pale AH Mwinyi rd, jengo halina mvuto, ni baya,matumizi yake ni utata mtupu, lakini kuna watu wenye uthubutu wa kulitetea.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu inelekea base yako ya information ni finyu, na iko based on solely what you only want to hear.
Ili kupresent argument yangu lazima twende na facts.
  • Jengo la AH mwinyi rd ni baya,a monstrous eyesore, kwa vyovyote vile
  • Jengo hili limepitishwa na wataalam wetu wa mipangomiji
  • Jengo hili lipo sambamba na a major transportation artery ya CBD ya jiji la DSM, na kwa wakati wowote haliwezi kuruhusiwa ku interfere na function hiyo ya barabara kama mjor artery ya jiji.
  • Eneo hili lilikuwa a RESIDENTIAL area kwa senior Govt officials
  • Jengo hili halina parking lot ku support influx ya magari makubwa au madogo yanayoweza kuwa accomodated hapo lilipojengwa jengo.
Baada ya kusema hayo, mimi ningeongeza ya fuatayo:
  1. Uozo wa jengo hili hauwezi kutenganishwa na rushwa iliyokithiri katika idara zote za mippangomiji jijini Dsm
  2. Utetezi kwa jengo hili hauhalalishi matumizi mbaya ya eneo hili ambalo linataka kuhalalisha ukaribu wa barabara kwa matumizi ya kibiashara
  3. Hatari ya kugeuza barabara ya AH Mwinyi toka status ya kuwa an arterial highway na kuwa a normal street ambayo ina ingilliana na function ya barabara hiyo naona hilo haliko bayana kwa vilaza walioko ofisi za mipangomiji.
  4. Ni ujinga na kwa kweli kukosa imagination kufikiri kuwa maofisa wa mipangomiji hawana kazi yoyote ku control arcitectural requirements za majengo yanayopelekwa kwao kwa vibali na ruksa ya kujengwa.
  5. utetezi wa Gaijin , ni narrow minded na hata mifano yake imejikita katika miji ambayo ni ya ulaya. Nungemshauri aanglie juhudi za maksudi zilizotumika kujenga miji kama Chandirgah, huko India, na ndiyo pengine anaweza kuelewa mchango wa architecture kwa town planning.
Bado ninasema kati ya proffessionls wanaotuangusha nchini ni hao katika fani ya mipangomiji, hawako objective, rushwa kibao, na end result ni kama jengo linaloonekana pale AH Mwinyi rd, jengo halina mvuto, ni baya,matumizi yake ni utata mtupu, lakini kuna watu wenye uthubutu wa kulitetea.

1. Ubaya na uzuri wa nje wa jengo ni subjective na mipangomiji haina haki wala wajibu wa kuamua hilo

2. Ili lipate kibali cha ujenzi, limepitishwa na mipangomiji ila sio kwa kuangalia uzuri wake wa nje kwa sababu si kazi yao

3. Matumizi mabaya ya eneo kwa mujibu wa nani? Inawezekana kweli kukawa na matumizi mabaya lakini Hadi hapa hujaonyesha ushahidi wa hilo

4. Hujaonyesha lina interfere vipi na function ya barabara bado, hata kama ni kweli

5. Sheria za zoning za residential areas zinaeuhusu uwepo wa maduka makubwa kama hayo, migahawa, pubs, schools, social halls. Kwa hiyo sio kuwa hakuna ajabu kuwepo kwa mall eneo la residence, bali inakwenda sambamba na mipangomiji katika Miji ya kisasa


6. Halina parking kwa sababu kwenye picha hii haionekani au kuna vyanzo vyengine vya ushahidi wako? Ukiambiwa kuna underground parking jee utasemaje?

Baada ya kusema hayo, kwa picha hii moja iliyoletwa, hatuwezi kuhukumu makosa ya mipangomiji hata kama yapo.

Muonekano wa nje wa jengo si kazi ya mipangomiji ya duniani kote, na haitakaa iwe kazi ya mipangomiji ya Tanzania, ever.

*Tanabahi
1. "upana" wa akili yako unaokuendesha kutaka mipangomiji iangalie uzuri wa nje wa jengo unapingana na kanuni na taratibu za kisasa za mipangomiji zilizoanzishwa karne ya 18 na kuendelea kufanyiwa marekebisho hadi sasa.

Kaa chini ujipime, nani mwenye mtazamo finyu baina ya wewe au magwiji wa mipangomiji maelfu kadhaa wa tangu karne hizo hadi sasa

2. Mifano ya miji ya Ulaya na Asia, katika nchi zilizoendelea huitaki wakati wewe ndie uliekuja na hadithi za miji ya kisasa, unataka mfano wa Bamako au Timbuktu?
 
Last edited by a moderator:
1. Ubaya na uzuri wa nje wa jengo ni subjective na mipangomiji haina haki wala wajibu wa kuamua hilo

2. Ili lipate kibali cha ujenzi, limepitishwa na mipangomiji ila sio kwa kuangalia uzuri wake wa nje kwa sababu si kazi yao

3. Matumizi mabaya ya eneo kwa mujibu wa nani? Inawezekana kweli kukawa na matumizi mabaya lakini Hadi hapa hujaonyesha ushahidi wa hilo

4. Hujaonyesha lina interfere vipi na function ya barabara bado, hata kama ni kweli

5. Sheria za zoning za residential areas zinaeuhusu uwepo wa maduka makubwa kama hayo, migahawa, pubs, schools, social halls. Kwa hiyo sio kuwa hakuna ajabu kuwepo kwa mall eneo la residence, bali inakwenda sambamba na mipangomiji katika Miji ya kisasa


6. Halina parking kwa sababu kwenye picha hii haionekani au kuna vyanzo vyengine vya ushahidi wako? Ukiambiwa kuna underground parking jee utasemaje?

Baada ya kusema hayo, kwa picha hii moja iliyoletwa, hatuwezi kuhukumu makosa ya mipangomiji hata kama yapo.

Muonekano wa nje wa jengo si kazi ya mipangomiji ya duniani kote, na haitakaa iwe kazi ya mipangomiji ya Tanzania, ever.

*Tanabahi
1. "upana" wa akili yako unaokuendesha kutaka mipangomiji iangalie uzuri wa nje wa jengo unapingana na kanuni na taratibu za kisasa za mipangomiji zilizoanzishwa karne ya 18 na kuendelea kufanyiwa marekebisho hadi sasa.

Kaa chini ujipime, nani mwenye mtazamo finyu baina ya wewe au magwiji wa mipangomiji maelfu kadhaa wa tangu karne hizo hadi sasa

2. Mifano ya miji ya Ulaya na Asia, katika nchi zilizoendelea huitaki wakati wewe ndie uliekuja na hadithi za miji ya kisasa, unataka mfano wa Bamako au Timbuktu?

Watu wanaoshughulikia ardhi, mipangomiji, vibali vya ujenzi, pamoja na polisi, na wale wa mahakama- probably one of the most corrupt personell in govt services.

They are impermeable to reasoning, for want of monetary gains.

Sasa endelea kubishana na mambo ambayo ni obvious even to the layman,msukumo wa watu kama ninyi unaeleweka.
Kama sababu zote "huzielewi" then I am at loss shule ilipandaje.

Tukirudi kwenye the hard conlusion, jengo lile la AH Mwinyi ni uozo, uliochangiwa na watu wa mipangomiji, kwenye sehemu residential,zilizokuwa nyumba za umma.

Na kufika hapo lilipo ni lazima pesaimetembea.
 
Hiyo kuhusu kuwa eyesore tumeshaona kuwa huna hoja inayoweza kubeba lawama zako kwa mipangomiji.

Tuje kwenye functionality yake sasa

Unaposema ni not functional unakusudia nini?

Weka wazi tujadili

Mbona ilishakuwa mentioned hapa mwanzoni kabisa!
Kama uko mipangomiji imekula kwako.
Bwana we, it takes fools to develop ,draw and build a mall on a main highway like AH Mwinyi rd.
It takes bigger fools at the City Hall to approve them!
Results
- no parking
-difficult access and egress
-long ensuing ques
-padestrians will be knocked over frequently and more vehicular accidents

Call it a lose-lose scenario.
 
Watu wanaoshughulikia ardhi, mipangomiji, vibali vya ujenzi, pamoja na polisi, na wale wa mahakama- probably one of the most corrupt personell in govt services.

They are impermeable to reasoning, for want of monetary gains.

Sasa endelea kubishana na mambo ambayo ni obvious even to the layman,msukumo wa watu kama ninyi unaeleweka.
Kama sababu zote "huzielewi" then I am at loss shule ilipandaje.

Tukirudi kwenye the hard conlusion, jengo lile la AH Mwinyi ni uozo, uliochangiwa na watu wa mipangomiji, kwenye sehemu residential,zilizokuwa nyumba za umma.

Na kufika hapo lilipo ni lazima pesaimetembea.

It might be true lakini haiondoi ukweli kwamba si kazi ya mipangomiji duniani kote kutathmini uzuri wa nje wa jengo.

Kwa hiyo mbali na makosa waliyonayo, hilo si moja kati yayo

Ujenzi wa department stores, supermarkets or malls kwenye residential area pia si moja ya kosa la mipangomiji.

Ahsante
 
It might be true lakini haiondoi ukweli kwamba si kazi ya mipangomiji duniani kote kutathmini uzuri wa nje wa jengo.

Kwa hiyo mbali na makosa waliyonayo, hilo si moja kati yayo

Ujenzi wa department stores, supermarkets or malls kwenye residential area pia si moja ya kosa la mipangomiji.

Ahsante

Stand your ground mkuu, however shaky!
I will stand mine, and lets agree to disagree.

My notion is, our Government agencies can do better than allowing these eyesores sprawling all over!

Nchi hii ni yetu sote uozo kama huu ukiruhusiwa kuendelea, kwa sababu yoyote ile, vizazi vijavyo ni lazima vitatushangaa.
 
Back
Top Bottom