njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,368
- 5,512
imetulia hii dr....hebu nipe habari zaidi.....
alishinda huyu.....? vipi kuhusu swaumu......?......alimudu....?
hapo yupo na anjela jelimo kutoka kenya sijui kama aliambulia kitu.
hivi ni Angela au Janet Jelimo....?....inanimix.....ila nadhani hii haikuwa Olympic......
naona unaleta strory za mbongo etcl lets cut the cra.p as long as she
is Muslim ni mwenzangu! do you have any problem with that..?
says the guy who just happened to have an Arab name "Abdulhalim" chukua hatua anza kubadili jina kwanza
I think ni Filbert Bayi
Preta dada sina maelezo zaidi ila nimeipenda sababu hakujali media na maneno ya watu kwamba yupo tofauti ..some people they are ashamed being different huyu dada alikuwa proud .
nakumbuka yule mtanzania Olympic "nimesahahu jina lake" enzi zile za nyerere pamoja kwamba alivunjika mguu haku quit aliendelea kukimbia though alikuwa wa mwisho alipata heshima nilipokuwa Tianjin kile kipindi cha matayarisho ya Olympic beijing wachina walikuwa wanamtumia kama inspirational kwa wachezaji wao "kuna maneno aliongea nimeyasahau" ..