World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Wachezaji wa Argentina, England ni sawa na wachezaji wetu wa Afrika, wote wanatamba katika ligi za Ulaya wakienda katika nchi zao wanakuwa midabwada. kina Di Maria, Messi, Aguero, Higuani wanavyopelekwa puta na Watengeneza Saa.
 
Naona beki ya Uswiss leo wamejitahidi sana kuhakikisha Messi hapati nafasi ya kujipanga na kutumia mguu wa kushoto kushoot
 
Leo ajentina ana mechi ngumu sana hasa safi ya ulinzi. shakiri mzeee wa kuteleza atafanya mambo. Kikubwa ajentina apigwe za haraka haraka kipindi cha kwanza.

Dakika za mwisho ndo za maumivu
 
Back
Top Bottom