everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,037
F - football
I - is not
F - for
A - africans:sly:
Mhhhhhhhhhh!!! Sijakubaliana na wewe, sisi waafrika tukijichukia wenyewe hakuna atakayetupenda milele,tunatakiwa kwanza tuanze kujikubali wenyewe,jamani eee mie kama mwafrika najikubali ile mbayaaaa!!!! Angalia hii WC ngozi nyeusi kny kila taifa haijakosa kutikisa nyavu. Ni makosa madogomadogo tu ya kurekebisha ila soccer tunaweza.