World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mkuu kama mpira majina basi England,Spain na Portugal wote wangekuwa wanacheza nusu fainali na fainali miongoni mwao kila kombe la dunia!Nimeona picha hapa tayari Xavi na mke wake wapo Miami vacation!!
Mpira sio majina na team wanazochezea bali ni collectively responsibility
Ni kweli kabisa mkuu, ila ukiangalia "performance" ya hii timu ukianzia kwenye hatua ya makundi ilimfunga Algeria timu bora kabisa Afrika Bao 2-1, ikamfunga Russia Bao 1-0, ikamfunga Korea Bao 1-0 na kuzoa pointi 9 zote, utagundua kuna kitu cha ziada ambacho leo tutakiona.

USA kwa mtizamo wangu ni wazuri lakini hata kufiak kwako hapo walifika kwa kuchechemea, utaona mechi ya kwanza walimfunga Mwafrika mwenzetu kwa tabu bao 2-1, wakiokolewa kwa bao la jioni la John Brooks (dk. 86). Wakatoa sare ya kwa taabu bao 2-2 na timu chovu ya Ureno, wakafungwa na Germany bao 1-0. Pale mtu wa kuchungwa sana ni Dampsey, maana kwa mechi zote mbili za awali alifunga bao. Germany waliliona hilo wakamthibiti na matokeo yake tuliyaona. Tofauti na Belgium wao kila mtu ni hatari ukichukulia uwezo binafsi wa mchezaji.
 
Maarufu kama "Watoza kodi"maarufu kama "Sam Houston",wengi wanawajua kama USA leo hatoki hata mbane vipi
 
Mfungo wa Ramadan na soka ni ngumu sana!I feel mno hawa Algerians!Mwaka juzi nikiwa kwa babu Bububu nilifunga siku tunacheza na team ya Makunduchi yaani ilikuwa balaa hata kuupiga mpira ikawa shida!Lkn dakika ya 90 nikawainua kw abao pekee la free kick ahahahaha
haaah!! hizi ni kamba sasa, naomba nishuke kwenye hii daladala yako...
 
mbona wakongomani wale kwa hiyo hujakosea kabisa
Umeona hilo mkuu, hivyo sijakosea kuwa upande huo kabisa. Afrika bado tuna timu, ndiyo maana FIFA hawaongezi timu za kushiriki toka Afrika....
 
Umeona hilo mkuu, hivyo sijakosea kuwa upande huo kabisa. Afrika bado tuna timu, ndiyo maana FIFA hawaongezi timu za kushiriki toka Afrika....
Hhaahaha . si waafrika basi tena kameruni wanachunguzwa kwa kupanga matokeo mechi zao kombe la dunia. Mwaka huu tutaona mengi.
 
Ha ha ha haaah!! Kweli kabisa, na kuacha kuona haya mashindano ndio kitu kisichowezekana.

Hamia Brazil kwa muda japo lolote laweza kutoa muda wowote. Hata hivyo natambua una allergy na jezi za njano, sijui itakuwaje!
 
Teh teh teh teh....

Miafrika bana! Yaani haikosi visingizio.

Sijui mtaacha lini kusingizia ubaguzi wa marefa na kuukbali tu ukweli kuwa 'you suck big time'.

Mnajifariji eti mmecheza vizuri.....toka lini kucheza vizuri ikawa ndo name of the game in soccer?

The name of the game is soccer is to score goals.

Sie tulio wahalisia wa mambo tulishakubali tokea zamani kuwa kutegemea excellence kutoka kwa Mwafrika ni kuji-set up na magonjwa ya moyo na mashinikizo ya damu.

I stopped rooting for African teams 20 years ago at the world in the US.
 
Back
Top Bottom