Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Jana sijakuona kwenye thread,nilimiss mapicha,uliwaona Brazil?
Nilikuwa occupied sana mkuu, naingia jf kwa kubip siku hizi
Jana sijakuona kwenye thread,nilimiss mapicha,uliwaona Brazil?
Niaje? upo !Mpopo anatoka
Algeria HATOKI leo,najua unadhani huyu Malafyale chizi au nn lkn I will prove you deadly wrong just before the 90 minutes Haliche akiwa anapiga la 2 bado dakika 3 soka kuisha
aljeria (waarabu) ni waafrika wenzako?
Wewe mzungu? Nawe kigeugeu hebu acha kelele
Timu zote nilizokuwa nashabikia zimetoka sasa nitaangalia mpira bila presha.
Ozil Haters mko wapi leo?
Cc Nzi, Belo, DonDonald, Prondo.
Bye bye my Africa, till the next tornament in 2018.
Bye bye my Africa, till the next tornament in 2018.
Tukana tena ili ufurahi zaidi....Siyo Mwaka Huu Tu Bali Nimeanza Kushabikia Mpira Leo......Je Una Jingine K.e.n.g.e Maji Wewe?
Nakuomba wewe na wenzako niungeni mkono leo kwa kuishangilia USA tafadhali
Bonge ya game USA vs Belgium!In God we trust kama msemo huu unavyosomeka kwenye hela za Marekani!
Tukana tena ili ufurahi zaidi....
Bonge ya game USA vs Belgium!In God we trust kama msemo huu unavyosomeka kwenye hela za Marekani!
In God we trust wanajitahidi sana toka 2002 wamekuwa wakisonga mbele kila mashindano, one day watabeba ndoo.