World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

kapteni messi nakuombea miguu ikaze isipwaye. najua unatumia akili nyingi uwapo uwanjani, wewe ni mwanaume pekee usiyetumia kichwa cha chini kufikiri. ufanye mambo basi tupenye robo hatimae nusu na mwisho finali.
 
kapteni messi nakuombea miguu ikaze isipwaye. najua unatumia akili nyingi uwapo uwanjani, wewe ni mwanaume pekee usiyetumia kichwa cha chini kufikiri. ufanye mambo basi tupenye robo hatimae nusu na mwisho finali.

Una maneno ya kitume sana...asitumie kichwa chani bali atumie kichwa cha juu kama ambavyo itampendeza baba yetu juu na mama yetu aliye chini
 
Una maneno ya kitume sana...asitumie kichwa chani bali atumie kichwa cha juu kama ambavyo itampendeza baba yetu juu na mama yetu aliye chini



Aisee hapa leo kuna ile maneno isiyoeleka

Baba yupo juu ya nini .............???

Mama aliyechini ya nii................???

Mkuu hebu tuweke sawa na haya maneno juu ya na chini ya .....
 
Hii nayo ni bonge la mechi, ila Switzerland leo wanafungashwa virago vyao.
Mhuuuuuuuum,hawa Argentina wanaomtegemea Mesi,Shakiri atawasumbua sana,back ya Swiss itamdhibiti Mesi,Shakiri atawasumbua sana leo hawa watoto wa Maradona.
 
Back
Top Bottom