World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Nianze kutayarisha kitoweo ikifika saa 1 nianze kuichoma huku na watch game
 
Algeria wangekutana na France kwenye 16 bora, Africa tungekuwa bado tunatesa WC!

Mpira sometime kama bahati vile! vijana jana wameoshesha soka safi sana,mjerumani alikuna kichwa balaa,ni makosa madogo madogo tu yanapaswa kurekebishwa mbona Africa tunawezaaa!!!
 
timu zangu mimi hazifungwi hovyo hovyo wewe...
Mkuu lugha zako zinakera sana kwa kweli!Algeria siyo"uchafu"ni team nzuri sana hadi Germany wanayoipa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa huu walisubiri hadi dakika 120!

Tupo pamoja tpaul na hapa tupo kama kijiji tunajadili soka kwa lugha muafaka sana!Karibu jukwaani utakutana na akina rubaman, DonDonald andate Pazi Victoire DEMBA Heaven on Earth juve2012 na wengineo ambao ni wa bishi mno hasa teams zao zikiwa zinaelekea kufungwa ahahahaha
 
automatically utajikuta unamahaba na katimu fulani kaliko baki...presha zitakuja tu.

Mshawishi aje USA,team ya ukweli isiyo na mambo ya kugombea posho!Kazini leo off tushangilie timu yetu! DEMBA hamia na ww team yenye stress free hii!Huko ulipo utakufa pressure mtu wangu
 
Last edited by a moderator:
Watu wengine wamezowea uwerema hata kama hakuna ulazima wanawerema tu aaaghr! Wanakera sasa!
Mkuu sio kosa lake bali ni kosa la malezi mabovu ya nyanya yake, na watu kama hao wababebwa na ID fake kinyume na hapo huwa wanakufa mapema bila sababu ya kifo kujulikana....
 
Nyani Ngabu hamna kukimbia leo,manake nakuona umeanza kuukwepa uzi mapemaa,tangu lini hauonekani ili tukusahau,ngoja niwakumbushe watu hapa wasikusahau manake ulitukalia rohoni waitaliano hadi tukatoka,leo bundi yupo pentagon aka team cowboys,aka USA,aka,Uncle Sam,aka wazee wa drones.vipi,Biden atakuja kushuhudia leo?mie nahisi mmebakiza mechi moja zaidi ili mrudi kwenu.
 
Last edited by a moderator:
Mshawishi aje USA,team ya ukweli isiyo na mambo ya kugombea posho!Kazini leo off tushangilie timu yetu! DEMBA hamia na ww team yenye stress free hii!Huko ulipo utakufa pressure mtu wangu

USA? sijui labda nijitahidi kuushawishi moyo
 
Mkuu sio kosa lake bali ni kosa la malezi mabovu ya nyanya yake, na watu kama hao wababebwa na ID fake kinyume na hapo huwa wanakufa mapema bila sababu ya kifo kujulikana....

Watu wenye lugha mbovu huku hatuwatakiiiiii!Tumewaachia majukwaa yooooote bado wanatufuata huku tunapoongea"soccer family?"!
Tuwakemee wakija huku kw anguvu zetu zote wasituharibie sredi yetu inayoingia ukurasa wa 800 sasa,sredi niliyojifunza mengi sana!Washindwe na walegee hao
 
USA? sijui labda nijitahidi kuushawishi moyo

USA wazuri DEMBA acheni kukariri!Wamebadilika hawa watu kama tu Algeria!Kama sio mfungo wa Ramadan mkoloni leo angeondoka na hii inakuonyesha how soccer ilivyo revolved!
 
Last edited by a moderator:
hahahahahah,bora uile kabla,USA leo wanatolewa,mimi leo team Brussels
Umetabiri vizuri mama...

Sidhani kama vifaa hivi:
Mousa Dembele (T/Spurs), Vicent Company(Man City), Lukaku(Everton), J. Vertonghen(T/Spurs), E. Hazard(Chelsea), Marouane Felaini(Man U), Dries Mertens(Napoli) vitaacha mtu akiwa hai leo...
 
Mfungo wa Ramadan na soka ni ngumu sana!I feel mno hawa Algerians!Mwaka juzi nikiwa kwa babu Bububu nilifunga siku tunacheza na team ya Makunduchi yaani ilikuwa balaa hata kuupiga mpira ikawa shida!Lkn dakika ya 90 nikawainua kw abao pekee la free kick ahahahaha
 
Umetabiri vizuri mama...

Sidhani kama vifaa hivi:
Mousa Dembele (T/Spurs), Vicent Company(Man City), Lukaku(Everton), J. Vertonghen(T/Spurs), E. Hazard(Chelsea), Marouane Felaini(Man U), Dries Mertens(Napoli) vitaacha mtu akiwa hai leo...

Mkuu kama mpira majina basi England,Spain na Portugal wote wangekuwa wanacheza nusu fainali na fainali miongoni mwao kila kombe la dunia!Nimeona picha hapa tayari Xavi na mke wake wapo Miami vacation!!
Mpira sio majina na team wanazochezea bali ni collectively responsibility
 
Nianze kutayarisha kitoweo ikifika saa 1 nianze kuichoma huku na watch game

Angalia mpira ukiwa golini kwa Uncle Sam usiweke nyama mdomoni meno yasijekuwa "hostile" kwa kiungo kingine muhimu mdomoni.
 
ok, sasa nimekuelewa
Kiwango duni ..but discipline wanayo..mfano mwanafunzi ambae hasomi but ana akili ndo Nigeria.na mwanafunzi ambae akili kidogo but anasoma sana...ndo Zambia...siku Zambia wakipata wachezaji quality ya Nigeria watu watashangaa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom