Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Home B! Goli mbili ....siamini hilo kuwezekana.....!
So sad FIFA is antitechnology........
Inawezekana Home B.....Mexico wanetawala kiungo so far na wana washambuliaji watatu wana asi sana pale mbele....Dos Santos,Hernandes na mwingine nimemsahau jina.....nina wasi wasi beki ya Argies kama itahimili kasi ya Mexico