klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Leo nashabikia Chile...he he he...umeona tena hiyo nyingine...bado utaandamana kesho?
TV yako ishaanza kuonesha mechi ya chile? hehehe duh hebu tupe matokeo
Leo nashabikia Chile...he he he...umeona tena hiyo nyingine...bado utaandamana kesho?
Sidhani aisee....kwa sababu haya hayajaanza leo. ni kwamba tu hapa yanapata publicity kwa sababu macho ya ulimwengu yameelekezwa huko. FIFA kama kweli wangekuwa na nia ya kusafisha huu mchezo wangekuwa wameshafanya hivyo zamani mno. Basi tu wana akili za ajabu sana. Huwezi kuona ujinga ujinga kama huu kwenye Super bowl....au hata regular season
MAREFA washatia doa ushindi wa ujerumani.....na hapa washatia doa ushindi wa argies kama watashinda.......
Wakubwa nadhani ujerumani watamfunga huyu Argentina kirahisi kabisa kwa mpira huu they cant pass zaidi ya pass 10 bila kupoteza!
Basi kimoyo moyo tuhesabie 1-0,furahi kidogo ai wewe!!..Kiukweli wanaboa marefa halafu kwenye michuano ya kutoana kama hii inaweza leta utata baadae!!
@Klorokwin, uko wapi?!bado unamsapoti mkuu juu hapo?!no amigoz wala nini!!
kuna haja ya kuanza kwa instant replay maana kuna ti
huyu sepp blatter kama hawezi kuongoza aseme bana tumpeleke INVIZIBO pale FIFA , hili soka sasa linahitaji uamuzi wa kiteknolojia (hii haina mjadala kabisa)
Hawa Mxico wakitulia wanaeza sawazisha aisee
naona mchezaji wa mexico anamsukuma wa argentina wazi wazi...hili si kosa?
Wakubwa nadhani ujerumani watamfunga huyu Argentina kirahisi kabisa kwa mpira huu they cant pass zaidi ya pass 10 bila kupoteza!
bado tunaweza tukabounce back hakikisha unabaki mpaka 90 kama sio 120Basi kimoyo moyo tuhesabie 1-0,furahi kidogo ai wewe!!..Kiukweli wanaboa marefa halafu kwenye michuano ya kutoana kama hii inaweza leta utata baadae!!
@Klorokwin, uko wapi?!bado unamsapoti mkuu juu hapo?!no amigoz wala nini!!
Ha ha ha wote wamefurahi kwa Sababu ya Dada yao lakini ni Dada yao Ndiye nina Uhakika atahitimisha Furaha yake Usiku LoL