teh teh teh....WC hii utajiju
hivi baada ya kutolewa NORTH KOREA ,umeamua kushabikia timu gani? hheeheh
Yaani michuano hii controversy zinazoweza kuondolewa na instant replay zinaharibu kabisa huu mchezo. Hivi ni mimi ninayeziona hizi controversy au?
duh! kamanda naona upepo umegeuka ghafla.so far so good..............
Nitashangaa sana kama baada ya WC, kabla ya mwisho wa mwaka huu FIFA hawataanza kutumia video technology ili kuondoa kabisa matatizo kama hayo.
Nitashangaa sana kama baada ya WC, kabla ya mwisho wa mwaka huu FIFA hawataanza kutumia video technology ili kuondoa kabisa matatizo kama hayo.
Too late..ila kilichonishangaza ni kuwa refa kama alidata!! Waitaliano hao!