World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

mkuu nadhani droo itawapeleka au ?

Mkuu hata wakifungwa 1-0 halafu Austr amfunge serbia 3-0 watavuka. Ngoma ipo kwa Germany maana wao wataingia na mentality moja tu ushindi. Ghana walipata nafasi kwenye mechi na Austr ambayo baada ya kesho wataijutia sana.
 
South Africa wameweka historia lol....!! Ila mie hao SA, Nigeria na Ivory Coast siwafagilii watolewe tuu... Ghana itabidi wafanye mambo dah maana nimeongea sana uchafu kwa baadhi ya watu itakuwa noma wasipopita.
 
_48145735_malouda_getty.jpg



_48146201_gallas.jpg




Jamaa alikataa kumpa mkono Alberto Parreira wa Sauzi...huyu kocha ana matatizo aisee...


_48146425_domenech.jpg
 
Kala Uche awapa Nigeria bao la kwanza dakika ya 12...


_48148049_uche_goal.jpg


South Korea wakakomboa baada ya dakika 26....

_48148050_sk_goal.jpg


Kisha wakaongeza la pili....

_48148051_sk_goal2.jpg


Wapuuzi wakaanza kukosa mabao ya wazi.....

_48148052_yakubu.jpg
 
Asavali ya mie sikuangalia hizi mechi mshenzi..Miafrika bana..hao walimu wazungu wamekuja kuvuna tu kwene jasho la kodi za Wanyonge wa Waafrika. Afrika yote ni shamba la bibi PERIOD. Kuanzia Cameroon, Nigeria, Ivory Coast, South Africa wimbo ni uleule tu.
 
imebidi niugulie kwanza kabla sijaingia humu leo hii............yaani hawa ma-Ogah wenzangu wameni-let down kichizi...sina hamu.........huyu Yakubu lazima kacheza 419 sibure babake..........
 
Asavali ya mie sikuangalia hizi mechi mshenzi..Miafrika bana..hao walimu wazungu wamekuja kuvuna tu kwene jasho la kodi za Wanyonge wa Waafrika. Afrika yote ni shamba la bibi PERIOD. Kuanzia Cameroon, Nigeria, Ivory Coast, South Africa wimbo ni uleule tu.

Abdulhalim sometimez tutawasingizia walimu ..sie wenyewe vichwa vigumu tu:A S 33:
 
Pambaafu kubwa zao, hao wote walosababisha Naija kutolewa, hivi Yakubu na Martin's wana matatizo gani, kushindwa kuweka kimiani mipira kama ile wamerogwaa? Aisee inaudhi sana kwa watu wenye roho ndogo ile ni kesi kubwa isiyo na hukumu zaidi ya kutenganishwa kwa mwili na uhai, Sisi sijui tuna mitindio au vipi, mbona nafasi za chee tunazichezea, hatujifunzi hata siku moja na japo kuwaonea inda wale wanaofanikiwa?
 
Bado tuko katika kitendawili kikubwa kwa nnchi nyingi za kiafrica kusonga mbele na hii ni kutokana na waafrica kutotumia akili zaidi na kutumia chakula wanachokula camp
 
Abdulhalim sometimez tutawasingizia walimu ..sie wenyewe vichwa vigumu tu:A S 33:
Mwalimu wa timu anawajibu mkubwa ktk nidhamu ya mchezo ya timu yake. Kwa mechi nilizoangalia, sioni kama walionesha mbinu zozote za kustahili kulipwa kiMaximoMaximo..ni upuuzi tu kwa kwenda mbele.
 
Jana kabla ya mechi za mwisho la makundi nilitoa thread yangu hapa nikasema AFRICA WAS NOT READY FOR 2010 WORLD CUP ! -lakini Kuna watu hawataki kukubali UKWELI wameiondoa - maana ukweli huwa UNAWAUMA. yaani Unaandaa mashindano hata kwenye best 16 hakuna timu ya africa inaingia ni aibu.

Kuna watu wasioelewa mpira wanategemea eti Ghana atatoa droo na German msahau - sisi tunaojua mpira tumeshajua kwamba hakuna timu ya africa itapita kwenda stage 2.

mimi nataangalia Brazil, Argentina, Spain na Itary wakicheza sina muda na ngozi nyeusi - mseme msemavyo ila mpira sisi waafrica hatujui tuwaachie wenzetu.
 
Algeria ni Jiwe walilolikaa Waashi sasa litakuwa Jiwe kuu la Pembeni. Mark my word Algeria leo anatinga Makundi

Jana Nimefurahi Argentina kushinda ila nimechukizwa na Nigeria kushindwa. Nawatakia Kila la Kheri Argentina maana I can't afford to miss the soccer passionate Diego Armando Maradona akiwa katika Benchi la Ufundi akipiga samasoti kwa Midadi
 
Back
Top Bottom