World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Duh maradona anapenda soka si mchezo....jamaa ana passion haswaaa......
 
mpaka nimepata kigugumizi cha kutype alafu nigeria wanaenda kukosa goli la wazi ni upuuzi wa hali ya juu.


watu wanashindwa ku-press mbele ya goli mpaka noma.hawabebeki.

He he hii ngoma inaisha 2-o in favour of Argentina..Bora nitalala vizuri !Umemuona Maradona alivyofurahi,raha ya ushindi!
Hao Naigeria ni vile kama unavyosema hawabebeki na imetoka mpaka 2014,he he..
 
Hivi na ghana si lazima apate pt{s} ili aendelee.......na yeye anaweza kufunga virago grp stage.......
 
I'm sorry to say kesho ni safari ya Ghana,mtakaoishangilia poleni mapema!..wanacheza na Ujerumani iliyofungwa na Serbia lakini itaifunga Ghana!..Mie nimeanza kuhudhunika kuanzia sasa ili kesho niwe fiti!..
Jamani Naigeria wanarudi kwao hivi hivi kula fufu!..Imetoka ikirudi pancha,ha ha!Kwaherini mpaka mechi za 2mr!
 
hii ya leo inauma kuliko , dah kweli waafrika tumelogwa na marehemu

Tujikubali tu ndiyo tulivyo na tusijaribu kuthibitisha vitu ambavyo haviwezekani au ni bahati tu!..huyo marehemu bora angefufuka kufuta laan,lol katuachia zigo la milele..
 
I'm sorry to say kesho ni safari ya Ghana,mtakaoishangilia poleni mapema!..wanacheza na Ujerumani iliyofungwa na Serbia lakini itaifunga Ghana!..Mie nimeanza kuhudhunika kuanzia sasa ili kesho niwe fiti!..
Jamani Naigeria wanarudi kwao hivi hivi kula fufu!..Imetoka ikirudi pancha,ha ha!Kwaherini mpaka mechi za 2mr!

Ghana hawakuwa na sababu ya kutoa draw na Australia kabisa.Australia walipewa redcard mapema lakini Ghana wakajifanya wazimu mechi nzima.

na ni lazima waifunge Germany hili wapite kazi hipo.
 
Tujikubali tu ndiyo tulivyo na tusijaribu kuthibitisha vitu ambavyo haviwezekani au ni bahati tu!..huyo marehemu bora angefufuka kufuta laan,lol katuachia zigo la milele..

hehehehe muhimu kesho muingereza afungishwe virago tu, Muingereza akisonga raundi ya 2 ,kuna hatari nikauza TV yangu.
 
Ghana hawakuwa na sababu ya kutoa draw na Australia kabisa.Australia walipewa redcard mapema lakini Ghana wakajifanya wazimu mechi nzima.

na ni lazima waifunge Germany hili wapite kazi hipo.

mkuu nadhani droo itawapeleka au ?
 
Hivi na ghana si lazima apate pt{s} ili aendelee.......na yeye anaweza kufunga virago grp stage.......

Kuna timu moja hatuiongelei sana kama siyo ya Africa, Algeria. Algeria inaweza fanya maajabu kwa jinsi nilivyoona mpira wao dhidi ya England wanaweza kumlaza USA na wakati huohuo England akamcharaza Slovenia kipigo cha hasira goli saba.
 
Back
Top Bottom