World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

waingereza leo wanakwambia wanachotaka ni ushindi tu....iwe own goal,goli la mkono,ugoko hawajali.....sasa kama SLOVENIA watahimili ule mkiki kama wa BOLTON/BLACKBURN PL itakuwa game nzuri sana....vinginevyo SLOVENIA anaweza kutoka yy round hii maanake USA huko kwa ALGERIA hio ni vita zaidi ya mpira..................
 
england team:james a cole,upson,terry,johnson barry,lampard,gerrald,milner defoe,rooney

naona DEFOE anaweza kuwa hero leo................
 
moz-screenshot.png
inaonekana leo DEFOE NA MILNER WATAANZA............!
 
HA HA HA!HAINA KWERE...hata hivyo nilikuwa naogopa mwekezaji,halafu hako ka-familia marafiki zako naona nina mkosi nako sana,kila nikija lazima israeli aondoke na roho ya mmpja wapo...

hivi nikija tena atakufa nani?

hahahahahahah kama nikucheka leo Teamo umenichekesha vya kutosha asante sana ...mpaka watu wananishangaa hapa ..Nadhani sasa usije tena hii ni more than dangerous :israel::israel:
ushindi kwa nani leo?
 
Yes mkuu hii ni Jihad - Capello anasema kazi yake yote ya miaka miwili itaamuliwa leo baada ya dk 90. Leo ni either you die but England Must win - wacha tungoje mtanange.
 
Yes mkuu hii ni Jihad - Capello anasema kazi yake yote ya miaka miwili itaamuliwa leo baada ya dk 90. Leo ni either you die but England Must win - wacha tungoje mtanange.

muingereza akitemwa leo ,kibarua cha kapello kinaota mbawa.
 
heskey benchi......naona wamegundua wanahitaji kitu kingine zaidi ya nguvu tu...defoe ana vitu vingine including snap shots kali............

nashangaa kapello ndio anaona leo, to me Defoe ni above ya heskey kwa kila kitu except mieleka, nadhani walikuwa wanampanga heskey kwavile english football iko physical zaidi kuliko skills.
 
Nasikia kuna matatizo ya umeme ,na mawasiliano ya simu zimeanza kuwa shida ,ulizia :crazy:
 
muingereza akitemwa leo ,kibarua cha kapello kinaota mbawa.

kaka kauli yako ni ya kweli kabisa - Capello mguu nje ndani - leo ni leo wacha tusubiri pia combination ya Gerald na Lampard kama leo italeta mazao mazuri. Hii combination katika midfield imewasumbua sana makocha wa timu hii. its like they can't play together ingawa ni vigumu kuamini why watu hawa mahili wakiwa na club zao wasifanye mambo wakiwa pamoja?
 
Back
Top Bottom