World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

Tunachuja taarifa za kuzikubali na pia kuzikataa, maana sisi watz na Tz yetu siyo dodoki la kufyonza Kila kitu kutoka kwa mabeberu! Hili la uchumi wa Kati tumeshalijua mapema!
 
Halafu kabla kukuaga, naomba nikutume kwa huu uzi umenzishwa na Watanzania wanaoujua ukuaji wa uchumi wa hiyo, uone kipindi gani Tanzania imewahi kuikimbiza Kenya.
Hii awamu ya sasa mumebugi, bado sana Tanzania kupanda kuwa uchumi wa kati chini: Mkapa amechangia 194%; JK 96% na Magufuli 10%
Hizi data zitawasumbua ambao labda hawajasoma uchumi japo kidogo na ndiyo maana wapinzani wa maendeleo wamezichukua ili kuongopea vilaza km ww, km tutaangalia mapinduzi ya kweli ya kiuchumi kwa nchi yoyote duniani including America, China au hata France na Britain utaona kwamba nchi zote hizo zilipitia kipindi kinaitwa transition period hiki ni kipindi ambacho nchi yoyote iliyo katika harakati za kukomboa uchumi wake lazima iyumbe mana nchi inatumia rasilimali zake nyingi kutengeneza vichocheo vya kiuchumi ambapo kwa kipindi hicho mnakuwa mnatoa kingi na kuingiza kidogo hivyo ni lazima per capita ishuke, kwa mfano tukiangalia awamu ya kwanza ya Mkapa alipolithi nchi kutoka kwa Mwinyi hakuongeza vitu vipya vingi vya uchumi wa kweli zaidi aliendeleza yale yale ya mzee Mwinyi na mengine ya kawaida mfano barabara, hospitali na mengine yaliyozoeleka ambayo kila nchi hata Somalia inafanya so huwezi kutegemea nchi kuyumba, ikija awamu ya pili ya Kikwete naye pia ali play part yake lkn hakuongeza vitu vingi (miradi mikubwa mikubwa) ya kukuza uchumi wa nchi hivyo usitegemee per capita kuathirika sn, tukija awamu ya JPM amefanya miradi mingi mipya ya kiuchumi ambayo mingi ilikuwa ikijengwa na wakoloni mfano bwawa la umeme, reli, madaraja makubwa, barabara kila pembe ya nchi, hospitali kila kona, masoko kila sehemu, meli n.k ss hapo unategemea nini zaidi ya kuingia kwenye transition period? Mm ningemuona ana akili huyo muanzisha uzi km angefananisha awamu zote tatu interms projects yn nani aliyetumia pesa nyingi ktk miradi yenye tija kwa taifa, ukitaka kujua namaanisha nn just wait and see kipi kitatokea Tz after five years interms of per capita income ndio mfanye hyo comparison, and last let me tell you acheni kutapa tapa na nchi yetu cz sisi wananchi tunaona yanayofanyika na hasa sisi ambao angalau tunazijua stages za uchumi wa kweli tunaelewa Rais anafanya nini, baba nyumbani hawezi akawa anajenga nyumba kwa mshahara uleule uliokuwa unawalisha nyumbani zen mkaenjoy km mwanzoni.[/b]
 
Hizi data zitawasumbua ambao labda hawajasoma uchumi japo kidogo na ndiyo maana wapinzani wa maendeleo wamezichukua ili kuongopea vilaza km ww, km tutaangalia mapinduzi ya kweli ya kiuchumi kwa nchi yoyote duniani including America, China au hata France na Britain utaona kwamba nchi zote hizo zilipitia kipindi kinaitwa transition period hiki ni kipindi ambacho nchi yoyote iliyo katika harakati za kukomboa uchumi wake lazima iyumbe mana nchi inatumia rasilimali zake nyingi kutengeneza vichocheo vya kiuchumi ambapo kwa kipindi hicho mnakuwa mnatoa kingi na kuingiza kidogo hivyo ni lazima per capita ishuke, kwa mfano tukiangalia awamu ya kwanza ya Mkapa alipolithi nchi kutoka kwa Mwinyi hakuongeza vitu vipya vya vya uchumi wa kweli zaidi aliendeleza yale yale ya mzee Mwinyi na mengine ya kawaida mfano barabara, hospitali na mengine yaliyozoeleka ambayo kila nchi hata Somalia inafanya so huwezi kutegemea nchi kuyumba, ikija awamu ya pili ya Kikwete naye pia ali play part yake lkn hakuongeza vitu vingi (miradi mikubwa mikubwa) ya kukuza uchumi wa nchi hivyo usitegemee per capita kuathirika sn, tukija awamu ya JPM amefanya miradi mingi mipya ya kiuchumi ambayo mingi ilikuwa ikijengwa na wakoloni mfano bwawa la umeme, reli, madaraja makubwa, barabara kila pembe ya nchi, hospitali kila kona, masoko kila sehemu, n.k ss hapo unategemea nini zaidi ya kuingia kwenye transition period? Mm ningemuona ana akili huyo muanzisha uzi km angefananisha awamu zote tatu interms projects yn nani aliyetumia pesa nyingi ktk miradi yenye tija kwa taifa, ukitaka kujua namaanisha nn just wait and see kipi kitatokea Tz interms of per capita income ndio mfanye hyo comparison, and last let me tell you acheni kutapa tapa na nchi yetu cz sisi wananchi tunaona yanayofanyika na hasa sisi ambao angalau tunazijua stages za uchumi wa kweli tunaelewa Rais anafanya nini, baba nyumbani hawezi akawa anajenga nyumba kwa mshahara uleule uliokuwa unawalisha nyumbani zen mkaenjoy km mwanzoni.[/b]

Hizi insha unaandika hazina umuhimu na hakuna mwenye haja ya kuzisoma, umepewa takwimu za uhalsia, nenda kasome na utafute mtu akupe darasa ya mambo ya kiuchumi weka pembeni siasa, kwa hali ya sasa tutawaacha mbali sana, nafuu yenu awamu za hapo awali zilikua zimewasogesha.
 
Hizi insha unaandika hazina umuhimu na hakuna mwenye haja ya kuzisoma, umepewa takwimu za uhalsia, nenda kasome na utafute mtu akupe darasa ya mambo ya kiuchumi weka pembeni siasa, kwa hali ya sasa tutawaacha mbali sana, nafuu yenu awamu za hapo awali zilikua zimewasogesha.
Km ni mvivu wa kusoma basi hufai kutoa hoja na wala hufai kuwa Mwalimu mana hoja hujibiwa na hoja, ss kusoma husomi utajuaje historia ya nchi yetu? Yn ww umekurupuka ukaona figa za zimewekwa na mpinga maendeleo zikakupendeza zen unazileta humu pasipo kujua lengo la muanzisha uzi, hupaswi kupinga kitu ambacho hukijui so wachana na hii mada huijui.
 
Km ni mvivu wa kusoma basi hufai kutoa hoja na wala hufai kuwa Mwalimu mana hoja hujibiwa na hoja, ss kusoma husomi utajuaje historia ya nchi yetu? Yn ww umekurupuka ukaona figa za zimewekwa na mpinga maendeleo zikakupendeza zen unazileta humu pasipo kujua lengo la muanzisha uzi, hupaswi kupinga kitu ambacho hukijui so wachana na hii mada huijui.

Huwa nasoma vitabu vingi sana ila niko mvivu wa kusoma maneno mengi yasiyonifikirisha, napenda kutumia ubongo, hivyo ukiandika hakikisha umeshirikisha ubongo sio kujaza maneno, tatizo watu wa vijiweni huwa mnabwabwaja maneno maneno mengi bila point za msingi. Kapate darasa kwanza ndio uje kujadili na mimi chochote.
Nikupe mfano wa maandishi yaliyoandikwa na mtu anayetumia akili, pitia hili bandiko nimelisoma neno kwa neno, imewachukua miaka 5 kuongeza Dola 30
Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati?
 
Huwa nasoma vitabu vingi sana ila niko mvivu wa kusoma maneno mengi yasiyonifikirisha, napenda kutumia ubongo, hivyo ukiandika hakikisha umeshirikisha ubongo sio kujaza maneno, tatizo watu wa vijiweni huwa mnabwabwaja maneno maneno mengi bila point za msingi. Kapate darasa kwanza ndio uje kujadili na mimi chochote.
Nikupe mfano wa maandishi yaliyoandikwa na mtu anayetumia akili, pitia hili bandiko nimelisoma neno kwa neno, imewachukua miaka 5 kuongeza Dola 30
Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati?
Hahahaha ww Mk254 ni mwepesi sana kwny hoja amini nakwambia, huwezi kuwa mwana hoja mzr ww cz unasoma vile vinavyokufurahisha tu yn ww unapenda kujifariji mno pia una hoja nyepesi sn, ila tia akilini yale niliyodadavua na uelewe kwamba achana na hii mada cz huijui.
 
Hahahaha ww Mk254 ni mwepesi sana kwny hoja amini nakwambia, huwezi kuwa mwana hoja mzr ww cz unasoma vile vinavyokufurahisha tu yn ww unapenda kujifariji mno pia una hoja nyepesi sn, ila tia akilini yale niliyodadavua na uelewe kwamba achana na hii mada cz huijui.

Naona umeishiwa, humu huwa nakwenda na kila mtu kulingana na uwezo wake, soma sana hoja zangu kwa makini kisha ujitathmini level yako. Kunao huwa hata tunakesha kwa hoja zinazofikirisha, sio ubwabwaji. Anyway nakuacha maana umeishiwa, nenda ufuate huo uzi wa Zitto uone wenye elimu yao wanavyodadavua hicho mlichojiaminisha.
 
Naona umeishiwa, humu huwa nakwenda na kila mtu kulingana na uwezo wake, soma sana hoja zangu kwa makini kisha ujitathmini level yako. Kunao huwa hata tunakesha kwa hoja zinazofikirisha, sio ubwabwaji. Anyway nakuacha maana umeishiwa, nenda ufuate huo uzi wa Zitto uone wenye elimu yao wanavyodadavua hicho mlichojiaminisha.
Mbn nmekuzoea huwa una maneno ya dharau yasiyopaswa kuwa nayo msomi yeyote aliyeelimika, huwa una mihemko sn I doubt the level of education that u have.
 
Mbn nmekuzoea huwa una maneno ya dharau yasiyopaswa kuwa nayo msomi yeyote aliyeelimika, huwa una mihemko sn I doubt the level of education u are.

Ukiona maneno yangu yanakudharau basi jikague ujue kwanini kisha urekebishe, wacha kulialia, maana humu kuna baadhi huwa tunakwenda freshi tu.
 
wale ambao wanakufurahisha au cyo
Wale waoponda serikali na kueneza uwongo ndio wanaomfurahisha huyo mjinga,

Ila ukienda nae kwa hoja ataishia kuhamisha magoli na kutumia mihemuko kubishana halafu kingine hapendi mtu anayefahamu ujinga unaondelea nchini kwao,

Yupo radhi adanganye na kupotosha ili mradi ajipe matumaini,

Ndio maana huwa akiulizwa maswali hawezi jibu zaidi ya kuhamisha maswali na kujibu kitu ambacho hajaulizwa.
 
Back
Top Bottom