World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

Shida inakuja pale mwanauchumi anapochanganya uchumi na siasa heheheheheeee unachekesha sn ww yn unaongea bila aibu eti wakati wa Jk ndo tulikuwa tunawapa homa kwa kuwa uchumi wetu ulikuwa unakuwa kwa 7% ss mbn miaka yote hiyo 10 ya Kikwete hatukuwakaribia na wala hamkuwa na wasi wasi km mliokuwa nao ss? Yn kipindi cha Jk ambapo uchumi wetu ulikuwa unakuwa kwa kasi Wakenya hawakuwa na adabu kwa Tz lkn wakati huu wa Magu ambapo uchumi wetu unasua sua ndipo Wakenya mmekuwa na adabu na wasi wasi mkuu, nadhani ss neno langu nililokuambia kwamba huwa sibabaishwi na uchumi wa kwenye makaratasi umeanza kuelewa

Kabla haujahangaika kuandika andika humu kasome historia ya takwimu zenu, kipindi cha JK pengo baina yetu lilikua linapungua, ila kwenye awamu hii ya tano ndio tumewaaga kabisa, pengo limeongezeka mpaka tunaelekea kuwapiga double, hivi mbona unakua mzembe wa kusoma data.
 
Kabla haujahangaika kuandika andika humu kasome historia ya takwimu zenu, kipindi cha JK pengo baina yetu lilikua linapungua, ila kwenye awamu hii ya tano ndio tumewaaga kabisa, pengo limeongezeka mpaka tunaelekea kuwapiga double, hivi mbona unakua mzembe wa kusoma data.
Hahahaha nafurahi kuona unatapa tapa, maamaeee yn Kenya hii ya magonjwa ya kila aina, ufisadi uliovunja rekodi, white kila kona ndo iizidi Tz ya viwanda inayoujenga uchumi wake jumuishi, uchumi unaomgusa mwananchi moja kwa moja, Tz ambayo ni middle Income, wallahi mpk kufikia 2025 km kenya bado inaongoza GDP ya kwny makaratasi nafunga accnt Jamii Forum
 
Hahahaha nafurahi kuona unatapa tapa, maamaeee yn Kenya hii ya magonjwa ya kila aina, ufisadi uliovunja rekodi, white kila kona ndo iizidi Tz ya viwanda inayoujenga uchumi wake jumuishi, uchumi unaomgusa mwananchi moja kwa moja, Tz ambayo ni middle Income, wallahi mpk kufikia 2025 km kenya bado inaongoza GDP ya kwny makaratasi nafunga accnt Jamii Forum

Kenya unayoijua ni ile ya kuambiwa vijiweni, ila narudia tena, pengo baina yetu limeongezeka kwa kasi kwenye awamu hii ya tano, nafuu yenu ilikua kipindi kile cha JK, leo hii mumejawa makele na visasi ila matendo zero.
 
The World Bank is to officially declare Tanzania a middle income country as of 1st July 2020. Jumuiya ya Afrika Mashariki sasa inakuwa na mataifa mawili kwenye kundi la MICs.

Swali: Itakuwaje kuhusu East African Community - European Union Economic Partnership Agreement? Maana Tanzania iligoma ikiamini kwamba italindwa na ile special arrangement kwa nchi maskini. Yetu macho!
Hongereni watanzania!

hii ni faraja na pongezi ila ina changamoto kwa serikali sababu huu ndiyo mwisho wa kupata mikopo nafuu pamoja na baadhi ya misaada.
 
Ukwel ni kwamba wenye akili tumeshajua malengo ya huu ulaghai wa kijinga kabisa mabeberu wanajitoa kiakili kuisaidia tanzania MISAADA INAKWENDA KUPUNGUZWA SANA ILI TULIMIE MENO📣📣📣📣
 
Kenya unayoijua ni ile ya kuambiwa vijiweni, ila narudia tena, pengo baina yetu limeongezeka kwa kasi kwenye awamu hii ya tano, nafuu yenu ilikua kipindi kile cha JK, leo hii mumejawa makele na visasi ila matendo zero.
a tone of desperation.
 
Kenya unayoijua ni ile ya kuambiwa vijiweni, ila narudia tena, pengo baina yetu limeongezeka kwa kasi kwenye awamu hii ya tano, nafuu yenu ilikua kipindi kile cha JK, leo hii mumejawa makele na visasi ila matendo zero.
Ss unakataa kwmb kenya hakuna cholera, hakuna locusts, hakuna covid-19, hakuna tembo weupe, km unabisha fanya km unajikuna nikuletee ushahidi, nauliza unabisha? Ss hayo mambo ndiyo yanafanya sisi tuwe juu yenu on ground, kwnz pambaneni na hayo niliyokuambia zen mkimaliza mtatukuta wenzenu tupo Upper Middle Income status.
 
Ss unakataa kwmb kenya hakuna cholera, hakuna locusts, hakuna covid-19, hakuna tembo weupe, km unabisha fanya km unajikuna nikuletee ushahidi, nauliza unabisha? Ss hayo mambo ndiyo yanafanya sisi tuwe juu yenu on ground, kwnz pambaneni na hayo niliyokuambia zen mkimaliza mtatukuta wenzenu tupo Upper Middle Income status.

Utakua dogo mwenye matatizo, ila natumai umepata darasa, pengo litaongezeka mpaka mtie akili.
 
Halafu wao hawasemi lower middle wanasema tu middle income country sjui kwa nn MATAGA bwana
 
Haya sasa umeona walivyo tuingiza MIC huku tukiwaita mabeberu na WB wanakuja kumbembeleza magufuli akope Pesa yoyote hatakayo
WB wanaanggalia takwimu za Uchumi, na kila mtu anajua formular ya GDP na kutafuta GDP/capita, hata North Korea ikiamua kuchapisha takwimu zake za kiuchumi leo na kulingana na hesabu ikaingia High Income Country, WB watakua hawana budi ila kuwaeka katika hio category manake formular imekubaliana nao!

Hayo ya loan na mengineyo ni mambo mengine.... Kwahivyo WB haijawaingiza MIC, ni unchumi wenu kukua kwa 7% kwa zaidi ya miaka kumi ndo kumewawezesha kuingia MIC kuandia mwaka ujao
 
Halafu wao hawasemi lower middle wanasema tu middle income country sjui kwa nn MATAGA bwana
Kwa nini neno 'Lower' limekuwa committed kwenye haya masifa? Ni bahati mbaya ama makusudi? Lower Middle Economy. Naona kuna Upper Middle Economy. Tuambizane ukweli jamani!
CC:
GANG MO


Hio ni katika hali ya kufupisha maneno tu, Barabara ya leni moja bado tunaita barabara, na ikiwa na leni nane bado tunaita tu barabara. Si eti kila saa utakua unataka uzi tofautishe na majina yake kamili.....



Vile vile, Lower-middle income na upper-midlle income zote bado ziko kwa category ya middle income. Na infact, kulingana na WB hakuna Middle-income country, kuna either lower-middle au upper-middle..... kwahivyo hilo neno la Middle Income inachanganya wote (i.e lower na upper middle income)

1593773490567.png




Alafu hapa ukumbuke tunaongelea kutoka kwa low income kuingia kwa middle income, so tofauti kati ya Lower-middle and upper-middle income sii hoja muhimu, hoja ni kati ya Low-income na kuingia middle-income
 
Ondoa mashudu hapa

Sasa unataka kubisha kwamba hamkusaidiwa 1$b sababu ya kushindwa kugharamia budget yenu ama?
Wewe umesema tuliomba $4B tukapewa $1Billion...
Mimi nimekwambia hakuna siku tushawai omba $4B kutoka kwa WB, leta ushahidi wa Kenya kuomba $4B kwa WB wacha kukwepa hoja!
 
Ni wimbo nimeusikia tangu kuijua Tanzagiza.

SGR Dar to Morogoro ilikuwa ifunguliwe November 2019 , one year later bado tunangoja.
Tega tako tunapiga fimbo moja baada ya nyingine sgr no fimbo inakuja very soon BRT phase 2 ni fimbo nyinginge
 
GDP Per Capita sio kipimo cha umaskini au utajiri wa wananchi wa taifa lolote unaweza ukakuta hiyo GDP imezalishwa na watu wachache sana.

Kitu muhimu ni Employment Rate ikoje, kama wananchi wengi wana vipato hapo sawa lkn kwa mazingira yetu ya Tanzania haya mambo ya uchumi wa kati ni usanii mwingine tu wa WB kuombwa na serikali ya Tanzania iwasaidie wakati huu wa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu. Ni porojo tu hizi.
 
Hongera kwa watanzania wote kwa kuipeleka Tanzania katika uchumi wa kati.

Taarifa ya uchumi wa kati toka WB imepokelewa kwa vifijo na nderemo tokea magogoni mpk nanjilinji. Hakika watanzania tunaweza!Ni wakati sasa watanzania hasa watawala wawe tayari kuyaruhusu masikio yao yasikilize hata zile taarifa zinazotukosoa toka kwa mabeberu, taarifa hizo ni zile zinazojumuisha maswala ya demokrasia, haki za binadamu,utawala bora kadhalika na kadhalika.

Hii kasumba ya kuchekelea baadhi ya taarifa hasa zile zinazotufurahisha na kulaani mabeberu pale wanapotoa taarifa za kutukosoa si jambo la busara hata kidogo na halitujengi kama taifa. Ktk hili swala la uchumi wa kati sijasikia mahala popote ama mtu yeyote ameitwa beberu, hapa inatajwa WB kwa heshima zote!

Tuwe tayari kuyaruhusu masikio yetu yasikilize hata vile tusivyopenda kusikia toka kwa wengine. Maendeleo hayana vyama.
 
Hongera kwa Rais Magufuli.
Hongera sana kwangu mimi kama mtanzania na kwa watanzania wote.
pia hongera nyingi zikufikie wewe mleta mada kwa ushauri wako mzuri kwa viongozi.
 
Back
Top Bottom