Ikumbilo
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 456
- 64
Naomba mnisaidie,hivi hizi work permit fee ni kwa mwaka au kwa muda utakaofanya kazi?kama ni kwa mwaka au vyovyote bado ni ndogo sana,jamani kuna wadogo zetu wanahangaika ajiri na kipato kidogo,watu ujuzi wanao,uwezo pia,tena wanapokuja hao expert 80%ya kazi anafanya mzawa,jamani hawa foreigners wanarudisha fedha kwao,hata mishahara yao utalia ukisikia,ukitaka kujua uchungu wa hili jambo waulize Science Proffessiönals,jamani tembeeni kwenye big industries muone,hawa imigration wanajua idadi yao,anaebisha aende watampa data,pia aangalie na wataalamu wazawa na kazi anayokuja kufanya huyo expert.
Pia kuna kampuni moja lipo Mwanza limejaza Waghana tu kila kona. Nenda Barrick hapo utaona wageni kibao kila idara.Sasa sijui idara husika hazijui kuwa hawa wageni wanakuja kutuzibia? Mie nashangaa utampaje mtu work permit kama Accountant wakati tuna vyuo kibao au vyuo vyetu havikubaliki kimataifa?
Nawakilisha.
Pia kuna kampuni moja lipo Mwanza limejaza Waghana tu kila kona. Nenda Barrick hapo utaona wageni kibao kila idara.Sasa sijui idara husika hazijui kuwa hawa wageni wanakuja kutuzibia? Mie nashangaa utampaje mtu work permit kama Accountant wakati tuna vyuo kibao au vyuo vyetu havikubaliki kimataifa?
Nawakilisha.